Assalam wanajamvi? Bila shaka mpo salama na mnaendelea vyema na majukumu!
Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada, mimi ni mwajiriwa wa taasisi moja binafsi, mwaka jana nilipata changamoto mbaya sana inayonipelekea kukosa amani sana.
Kazini mimi ni mchangamfu sina shida na mtu, na...