nifanye

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Optimists

    Ushauri unahitajika nifanye kipi kati ya haya?

    Wakuu habari! Niende moja kwa moja kwenye mada husika. Humu kuna watu wana experience walishafanya au bado wanafanya itasaidia kwa namna moja au nyingine. Niko na idea mbili tatu sijajua nifanye hipi naomba mnipe msaada wa mawazo kutokana na experience yenu. Niko na mtaji kidogo wazo langu la...
  2. Robert Heriel Mtibeli

    Panapo majaliwa mwakani nitajiunga rasmi na siasa za nchi hii. Je, ungependa nifanye siasa na chama kipi?

    Kwema Wakuu! Baada ya kuzifuatilia Siasa za nchi hii Kwa takribani miaka kumi sasa, nachelea kusema mwakani Mungu akipenda nitajiunga na mambo ya Siasa. Nitafanya Siasa za kuibadilisha nchi hii naam kuikomboa nchi hii pale walipoishia wakombozi wengine. Nitafanya Siasa za kubadilisha fikra za...
  3. gimmy's

    Nguruwe wangu amezaa lakini maziwa hayatoki na watoto wanahangaika njaa. Nifanye nini?

    Tafadhali naomba nisaidiwe kwa yoyote mwenye kufahamu, Kuhusu chakula sio tatizo ninakitabu kinaniongoza namna nzuri ya uchanganyaji chakula cha nguruwe. Natunguliza shukurani, Thnx.
  4. K

    Kuongea na mhudumu wa Voda Mpesa kipi nifanye?

    wanajamvi naweza fanyaje kuongea na mhudumu wa mpesa moja kwa moja bila kupitia haya maneno ya mashine ya 100.Asante
  5. machiaveli

    Nifanye nini mtu niliyemsaidia kupata mchongo anataka kunipindua kwenye kitengo changu?

    Mtu niliyemuamini nikampa nafasi kwenye kazi za kitalii ninayofanya tangu akiwa waiiter mpaka Sasa anataka kunipindua kitengo changu cha u-chief guide ikiwezekana hata kunimaliza kabisa! Kuniharibia kazi, uchonganishi na mabosi isitoshe Mimi nilimkuta kitaa hana ramani anakunywa banana akaomba...
  6. ommytk

    Nina milioni 5 nataka ninunue IST niifanye Uber

    Hali kwasasa changamoto kidogo sasa nina kihela changu kama milioni 5 hivi sijui ninunue ist nifanye uber niendeshe mwenyewe sijui itanilipa
  7. J

    Nifanye biashara gani ambayo naweza kuingiza laki moja kila siku

    Hello nifanye biashara gani, lengo langu nipate angalau laki moja kila siku. Binafsi napenda saloon ya kike lakini sina uhakika kama nitaingiza laki moja kwa siku. Naomba Ushauri wenu tafadhali.
  8. R

    Tujuzane: Maisha Lugalo MATC yakoje, ni ya kishuleshule au kichuochuo, nifanye maamuzi sahihi

    Maisha ya kila siku Lugalo MATC yakoje? Ni kama sekondari? Maana naona joining instructions kama za sekondari! Nisaidieni nifaye maamuzi sahihi, sitaki maisha ya kishule shule, ki- sekondari tena. Mara uniform, mara ufagiio, mara kudeki bweni, mara kengele ya kula, kulala, kuoga etc etc...
  9. my name is my name

    Najihisi kama muuaji ila inabidi nifanye

    Sipo okay kabisa physically, psychologically & emotionally sipo sawa na najua nafanya kosa kubwa sana ila inabidi nfanye. Nna ujauzito wa 4 weeks lakin kesho Mungu akipenda naenda kutoa. Nafanya ivi bila kumshirikisha my fiance wala familia yngu. Hakuna mtu anajua km ni mjamzito zaidi ya...
  10. Mr. MTUI

    Wizi wa catalytic converter kwenye magari 'Masega'

    Aisee kuna wizi unafanyika kwenye magari. Mafundi wasio waaminifu wanakata exhaust na kuremove unga unga uliopo kwenye exhaust (bomba la moshi). Inasemekana wanauuza huo unga kwa watu wnaorexycle na wanauza kuanzia laki hadi laki tatu kwa kiloSo kuwa makini na mafundi wako. Catalytic converters...
  11. B

    Nina Mil 30, nifanye biashara gani kurudisha pesa na kupata faida ndani ya mwezi?

    Wadau, salaaam? Nina 30m, nataka kuingiza katika biashara ambayo itanirudishia hiyo pesa ndani ya mwezi na kunipata faida juu. Ushauri pls..
  12. Eyume Dedu

    Nifanye nini ili niongeze kipato changu?. Kwa sasa nipo nje ya nchi

    Habari. Naombeni ushauri nifanye nini niko nje ya nchi nafanya kazi kiukweli nashindwa kutegemea mshahara kwa sababu unakua na kiwango cha ukomo naona kama unanilimit kufanya mamb yangu na sihitaji kukaa nje muda mrefu nataka kurudi nyumbani within miaka mi2. Nataka nipate kitu cha kufanya...
  13. Mung Chris

    Nina milioni 25 nifanye biashara gani itakayo nilipa robo tatu au zaidi ya hiyo kila wiki?

    Nina milioni 25 nifanye biashara gani itakayo nilipa robo 3 au zaidi ya hiyo kila wiki au biashara ipi itakayo nilipa sana na kwa haraka.
  14. Ryzen

    Nataka Nifanye hii Biashara, Wazoefu Tusaidiane

    Niaje wakuu.. Kuna Hii Biashara ya Vibanda vya Movie naona ina return nzuri asee.. 30K per Day kawaida sana. Nimeipenda kwani ina mtaji mdogo lakini pia ni ngumu kuleta Hasara na pia rahisi kufanya. Sasa mie nataka niweke Goli hilo liwe la kuuzia Movies, Miziki, vitu kama Flash na accessories...
  15. The Inspire55

    Natafuta kazi ya kujitolea ili nipate uzoefu ndani ya Mwanza

    Habari wakuu, Naitwa Juma naishi Mwanza umri ni miaka 21, nina taaluma ya ukemia upande wa madini {mineral processing engineer} na elimu yangu ni basic certificate in mineral processing na uwezo wa kukabiliana na udongo wenye changamoto nyingi, pia uwezo wa kusimamia usalama kazini (OSHA...
  16. Husna Muba

    Nina 50,000 nifanye biashara gani?

    Habari wakuu Mimi ni mama wa nyumbani mkazi wa uswahilini huku asilimia kubwa wakazi wa huku wana vipato vya chini. Sasa mimi nina elfu 50 nataka kufanya huku kwetu naomba mnisaidie ushauri Ni biashara gani itafaa kutokana na mazingira niliyopo? Pia soma: Baadhi ya njia unazoweza kutumia...
Back
Top Bottom