Wachezaji wa timu ya Taifa ya Angola wamepewa simu [ Iphone 15 ] na kampuni ya UNITEL hii ni baada ya kufanikiwa kuingia Robo Fainali.
Aidha Angolan Bank pia imetoa dola 6,000
kwa kila mchezaji kwa kufika hatua hii ya Robo Fainali.
Kama haitoshi Angolan bank, imetoa ahadi ya dola $9,600 sawa...