nigeria

  1. Kafrican

    How dare you Kenya? Egypt, Nigeria and South Africa be asking

    Baada ya USA kuelewana na China na NAFTA (Canada, Mexico, USA), katika negotiation za bilateral trade, Next itakuwa ni EU halafu baada ya hapo ndo wengineo kama South America alafu Africa. Ndani ya North Africa, Marekani imeshaanza kufanya bilateral trade agreements mpya na Morocco, halafu...
  2. Analogia Malenga

    Nigeria: Magaidi wauana wao kwa wao

    Wapiganaji wa Boko Haram ambao ni watiifu kwa Abubakar Shekau walivamia kambi moja ya kundi hasimu ya kundi linalojiita Dola la Kiislamu la Afrika Magharibi (ISWAP) na kusababisha makabiliano makali ya risasi ambayo yalisababisha vifo vingi Mapigano makali ya kufyatuliana risasi kati ya makundi...
  3. Kurzweil

    Tanzania yatajwa kuwa miongoni mwa nchi 7 zinazotarajiwa kuwekewa vikwazo vya kuingia Marekani

    Serikali ya Marekani chini ya Rais Mtata, Donald Trump imetangaza kuwa iko mbioni kuziongeza nchi nyingine 7 kwenye orodha ya nchi ambazo Wananchi wake watawekewa vikwazo vya kuingia nchini humo (Marekani) Tanzania imetajwa pamoja na nchi za Belarus, Eritrea, Kyrgyzstan, Myanmar, Nigeria na...
  4. joseph1989

    Diamond Platnumz achaguliwa kutumbuiza katika Tuzo za CAF na Tuzo za Kituo cha Nigeria Sound City

    Diamond ana perform ktk hizi tuzo za CAF kwa mara ya tatu. ---------------------------- Diamond Platnumz aki-perform kwenye CAF
  5. Miss Zomboko

    Kituo cha usalama kinachomlinda Rais Mstaafu wa Nigeria chashambuliwa na askari mmoja ameuawa

    Kituo cha usalama kilichoko karibu na nyumba ya rais wa zamani wa Nigeria Bw. Goodluck Jonathan katika jimbo la Bayelsa, nchini Nigeria kimeshambuliwa na watu wenye silaha wasiojulikana na askari mmoja ameuawa. Msaidizi wa Bw. Jonathan anayeshughulikia mambo ya habari amesema watu hao wenye...
  6. S

    Kwanini taifa la Nigeria limetawala sekta nyingi sana na kuwa na masupa star Wengi Sana na mabilionea?

    Wana bodi, kwenye kufanya utafiti wangu mkubwa nimegundua na kuona kwamba taifa la Nigeria limedominate Karibu mambo mengi sana mfano kwenye muziki Muziki na Wana muziki wa Nigeria ni maarufu sana Africa na duniani kwa ujumla mfano Wizkid, Patoranking, Chidinma, Yemi Alade, Femi Kuti, Davido, Mr...
  7. Analogia Malenga

    Mahakama yaamua kuwa ukahaba si uhalifu Nigeria

    Mahakama kuu jijini Abuja imetangaza kwamba ukahaba sio uhalifu nchini Nigeria. Uamuzi huo umejiri katika kesi iliyokuwa inashirikisha wanawake 16 waliokamatwa kwa kufanya ukahaba. Ni mara ya kwanza kwa mahakama ya Nigeria kuamuru kuhusu uhalali wa biashara hiyo ambayo inazidi kuonekana kuwa...
  8. Sky Eclat

    Msijibu emails kama hizi, nyingi zinatoka Nigeria

    MY NAME IS BILL GATE, I AM THE RICHEST MAN IN THE WORLD Tell me one thing you need from me, and i will do it for you 1. M0NEY - 5OOK 2. CAR 3. PHONE 4. VISA 5. SCHOLARSHIP TO STUDY ABROAD 6. PROMOTE YOUR BUSINESS 7. OTHERS SIGNIFY Use the (SEND MESSAGE) button below and send me a...
  9. FRANC THE GREAT

    25-year-old Nigerian inventor releases first Nigerian made fiber sports car

    The untamed technological ambitions of the young creatives and inventors all across Africa is an attestation of a generation that is hungry to deliver cutting-edge technology to the continent. They brave heavy odds stacked against them to come up with products that are game-changing. What...
  10. Tz boy 4tino

    Wanawake wa kitanzania, mnawafahamu wa Nigeria au mnawasikia tu?

    Katika kipindi cha karibuni kumekuwa na trend ya masista du wengi hapa mjini kujipendekeza kwa wanaume wa ki Afrika Wenye asili ya Nigeria. Wengi waki hadaiwa na pesa ndogo ndogo na safari za uarabuni. swali langu kwa kina Dada WaNigeria mnawafahamu au mnawasikia tu ??. Binafsi nimekuwa na...
  11. Analogia Malenga

    Simba mlinda nyumba karibu na shule akamatwa Nigeria

    Hebu tafakari hili, unatembea mjini halafu upite karibu na nyumba inayolindwa na simba wala sio mbwa. Hiyo ndio hali waliokumbana nayo wakazi mjini Lagos, Nigeria baada ya mmiliki wa nyumba moja kuamua kutumia simba kama mlinzi. Simba huyo wa miaka miwili aliripotiwa kuonekana katika nyumba...
  12. S

    Siasa za Uchumi wa wananchi katika nyimbo za Nigeria na falsafa ya "Nchi iliyopata MAENDELEO fedha haina samani"

    Afrika ni nchi kubwa ambayo kwa uhalisia wake inawatu wanaotumiana sana kwa sababu ya housing "Afrika" lakini ni wagumu kuingiza siasa ya kuboresha maisha kwa sababu ya AIBU (hapa ndipo Pana Go and return ticket" Hebu check wimbo huu unaweza sema alikuwa namwimbia mwanamke lakini kiuhalisia...
  13. Suley2019

    Nigeria: Mvutano kati ya Rais na Makamu wake wakwamisha shughuli za kiserikali

    Imeripotiwa kuwepo mvutano wa kimadaraka kati ya Rais Muhammadu Buhari na Makamu wa Rais, ambapo licha ya Rais kwenda Uingereza kwa ziara binafsi ya siku 15, hajakabidhi madaraka kwa msaidizi wake, hivyo kulazimu nyaraka zinazohitaji saini yake kupelekwa Uingereza. Chanzo: Swahili times
  14. Miss Zomboko

    Wanafunzi 13 wa chuo kikuu cha Kogi nchini Nigeria wamepoteza maisha kufuatia vurugu zilizoibuba baina ya makundi ya wanafunzi

    Watu 13 wamefariki dunia kufuatia vurugu za mapigano zilizotokea katika chuo kikuu cha Kogi katika eneo la Ayingba nchini Nigeria. Kwa mujibu wa habari kutoka katika vyanzo vya nchi hio, mapigano hayo yalitokea baina ya makundi mawili ya wanafunzi, kutokana na vurugu hizo za mapigano zaidi ya...
  15. beth

    Nigeria: Mamia waokolewa msikitini wakiwa wamefungwa minyororo

    Polisi nchini Nigeria imewaokoa watu 259 kutoka katika kituo kisichokubalika kisheria kilichopo ndani ya msikiti katika mji wa Ibadan, uliopo katika jimbo la kusini magharibi mwa nchi hiyo la Oyo, vimeripoti vyombo vya habari nchini humo. Wengi miongoni mwa waliookolewa katika uvamizi wa polisi...
  16. Analogia Malenga

    NIGERIA: Wanajeshi watatu wakamatwa kwa utekaji na ujambazi wa kutumia silaha

    Wanajeshi watatu na mwananchi mmoja wamekamatwa wakishukiwa na tuhuma za utekaji na ujambazi wa kutumia silaha. Maafisa hao wamekuwa wakitafutwa na polisi kwa muda mrefu kutokana na matukio ya utekaji yaliyokuwa yanatokea Agenebode, Fugar na maeneo mengine nchini humo. Majina ya watuhumiwa...
  17. K

    Bill Gates Dirty Tricks in Burkina Faso and Nigeria

    🏾 *PRAY FOR AFRICA* Bill Gates Dirty Tricks in Burkina Faso and Nigeria, by Sussy Vozniak, reporter for Intelicor Press, Vienna. Paris: Secret documents leaked on the fiasco in Burkina Faso expose troubling information on the undercover activities of the American Multi-Billionaire Bill...
Back
Top Bottom