nigeria

  1. Analogia Malenga

    KLM na Etihad miongoni mwa ndege zilizopigwa marufuku kuingia Nigeria

    Safari za ndege ndani ya Nigeria zilirejelewa Nigeria imepiga marufuku mashirika ya ndege kutokanchi kadhaa kuhudumu nchini humo kuanzia Jumamosi hii. Mashirika kumi ya ndege yamezuiliwa kuhudumu- Ikiwemo Air France, KLM kutoka Uholanzi, Lufthansa kutoka Ujerumani, na Etihad Airways ya Milki za...
  2. Tz boy 4tino

    Nigeria kufungulia Anga lake kwa nchi tu ambazo zinaruhusu raia wa Nigeria kuingia katika nchi zao

    Mkuu wa kitengo cha usafirishaji wa anga ( Nigeria Civil Aviation Authority) wa nchini humo ametoa tamko rasmi kuwa nchi yake itafungua anga yake kwa safari za kimataifa. Bw Sani Aliyu amesisitiza miongoni mwa masharti ya ufunguzi ya anga lao ni kuruhusu ndege kutoka mataifa yanayoruhusu raia...
  3. Kipala

    Utumwa wa Kiafrika kwa macho ya Nigeria

    Wengi wanapenda kulaumu "Waarabu" au "Wazungu" waliowatendea Waafrika vibaya kwenye siku za utumwa. Si wengi wanaozingatia haikuwa kawaida kwa hao wageni "kuwinda" watu (ingawa ilitokea hapo na pale), na biashara ya kawaida ilikuwa Waafrika kuwauza wenzao kwa hao wageni. Bila mahitaji ya soko...
  4. King Loto

    Kwanini tusifanye kilimo biashara cha konokono kama Nigeria?

    Hey wakuu! Hii topic nilitaka nibandike kule jukwaa la kilimo ila nikaona Ohlaah sisi twapenda biashara zaidi kuliko kilimo. Ushasikia kilimo cha konokono snail farming, kwa naija wanapractice hichi kilimo na walaji wapo either kimatumizi ya chakula (edible) or kimatumizi ya mafuta soften body...
  5. King Loto

    Kwa nini tusifanye kilimo biashara cha konokono kama Nigeria

    Hey wakuu! Hii topic nilitaka nibandike kule jukwaa la kilimo ila nikaona Ohlaah sisi twapenda biashara zaidi kuliko kilimo. Ushasikia kilimo cha konokono snail farming, kwa naija wanapractice hichi kilimo na walaji wapo either kimatumizi ya chakula (edible) or kimatumizi ya mafuta soften body...
  6. Infantry Soldier

    AFRIKA BARA GIZA: Were there xenophobic attacks against black foreigners or just diplomatic and political standoff between South Africa and Nigeria?

    Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa Jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Ndugu zangu watanzania eti; Were there xenophobic attacks against black foreigners or there was diplomatic/political standoff between SOUTH...
  7. T

    Mkurugenzi wa TAKUKURU ya Nigeria Bwana Magu amekamatwa kwa rushwa

    Wanasema Nigeria vituko na matukio yasiyo ya kawaida ni vitu ambavyo sio vipya na vinatokea mara kwa mara Mkurugenzi wa taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa bwana Ibrahim Magu amekamatwa kwa rushwa Bwana Magu amekua mkuu wa taasisi hiyo toka mwaka 2015 Nigeria’s anti-corruption boss...
  8. Tz boy 4tino

    Namna mpango mzima wa kukamatwa Hush Puppy (Bilionea wa Kinigeria) ulivyo chezwa

    Kwa wale ambao ni wafutiliaje wazuri wa mtandao wa Instagram, Jina la Hush Puppy lazma litakuwa sio jina geni kwako. Hush Puppy kijana wa ki Nigeria mwenye mbwembwe nyingi, Hush kijana ambae amejijengea umaarufu mkubwa sana kutokana na maisha yake ya kifahari na uhusiano wake wa karibu na watu...
  9. Analogia Malenga

    NIGERIA: Watu 60 wauawa katika shambulio la ISWAP

    Wanajesho 20 na wananchi 40 wameuawa na wengine wengi wakijeruhiwa na wapiganaji wa Islamic State West Africa Province, ISWAP katika jimbo la Borno Wapiganaji hao pia wamechoma Ofisi za Umoja wa Mataifa, UN, na walichoma kituo cha pilisi.Wapiganaji hao waligawa barua zenye ujumbe wa kuwaonya...
  10. RAKI BIG

    Tammy Abraham, mchezaji wa chelsea F.C na timu ya Taifa ya England aikana nchi yake ya Nigeria

    "Kuna sababu za msingi ambazo zilinifanya nichague kuichezea timu ya Taifa ya England badala ya Nigeria, sababu ya kwanza ni wazi Nigeria haina nafasi kwenye michuano ya Kombe la Dunia wakati England ina nafasi kubwa ya kushinda Kombe la Dunia. Sababu ya pili ni kwamba siwezi kuimba wimbo wa...
  11. Miss Zomboko

    Nigeria: Taharuki yatanda mitandaoni kutokana na mauaji ya mwanafunzi aliyekuwa akijisomea Kanisani

    - Mwanafunzi huyo alikuwa anajisomea ndani ya kanisa la Redeemed Christian Church of God (RCCG) wakati wa tukio hilo - Familia yake ilipokea simu kutoka mama mmoja wa kanisa hilo - Uwavera alikimbizwa hospitalini baada ya mlinzi kumpata sketi yake ikiwa imechanika na blauzi yake ikiwa imelowa...
  12. Magonjwa Mtambuka

    Madagascar sends Corona Virus Cure, 'COVID Organics' to Nigeria

    Madagascar sends coronavirus cure, 'COVID Organics' to Nigeria Madagascar's breakthrough on coronavirus, 'COVID Organics' is expected to land in Nigeria soon. The drug is for the prevention and cure of the disease, according to a news report by Daily Post. The consignment coming to Nigeria has...
  13. Uponyaji na uzima

    Pastor Chris wa Nigeria asema "Magufuli is a wise president" kwa kugundua udhaifu wa vipimo vya Corona

    Sikiliza mwenyewe Amemtaja kama 'a smart guy' na 'a wise president' Amemaliza kwa kusema "is time to think"
  14. The Sheriff

    Dar: Washukiwa wa biashara ya dawa za kulevya watiwa mbaroni

    MAMLAKA ya Kudhibiti na kupambana na Dawa za Kulevya jana tarehe 15 April 2020, imefanikiwa kumkamata kigogo wa dawa za kulevya raia wa Nigeria Kanayo David Chukwu (39) mkazi wa Masaki jijini Dar es Salaam. Pia inawashikilia raia wawili wa Tanzania Alistair Amon Mbele(38) ambaye ni mkutubi wa...
  15. Sky Eclat

    From Monday 11.PM Abuja, Lagos and Ogun State in Nigeria will be on a lock down

    NO MOVEMENT IN ABUJA, LAGOS AND OGUN STATES FROM 11.00 PM ON MONDAY NIGHT -President Muhammadu Buhari
  16. Suley2019

    Nigeria confirms first death from coronavirus

    Nigeria confirmed its first fatality from coronavirus, the Nigeria Centre for Disease Control said in a tweet on Monday. The patient was a 67-year-old man who returned following a medical procedure in the United Kingdom with underlying medical conditions including multiple myeloma and diabetes...
  17. M

    Top 7 Worst Prisons in Africa, number 3 is in Nigeria

    The conditions in many African prisons are harsh and difficult for inmates, comparatively speaking, prisons in Africa are among the worst in the world. Here are the 7 worst prisons in Africa: 7. Black Beach Prison, Equatorial Guinea This prison is synonymous with guard brutality, malnutrition...
  18. Superbug

    Nilianza mapenzi na mke wangu kwenye concert ya wimbo wa Ashawo wa Mr. Flavor, Nigeria

    Nimeamini mapenzi yanayoanzia kwenye muziki yananoga Sana na hasa ukiukumbuka wimbo maalumu wa enzi ya mapenzi yenu. Mimi mapenzi na mke wangu yalianzia kwenye wimbo wa ASHAWO CONSERT Abuja Nigeria Mr flavor. Sawasawa sawaleeee x 2 Ausha x 4 popopoooo Acha kabisaaaaa hapo nikiwa boya tu...
  19. Ndengaso

    Nigeria: Mgonjwa wa kwanza wa Virusi Vya Corona (COVID-19) agundulika

    Mamlaka ya Afya ya Nigeria (Federal Ministry of health) imetangaza kugundulika kwa mgonjwa wa kwanza wa COVID-19, waziri wa afya amesema mgonjwa huyo ni raia wa Italia anayefanya kazi Lagos na siku za karibuni alirejea kutoka Milan (Italy), kwasasa mgonjwa huyo yupo katika uangalizi wa...
  20. Analogia Malenga

    Homa ya Lassa yaua watu 41 nchini Nigeria

    Kituo Kudhibiti Magonjwa ya Kuambukiza nchini Nigeria (NCDC) kimetangaza habari ya kufariki dunia watu 41 kutokana na kuzuka wimbi jipya la homa ya Lassa nchini humo. Katika taarifa yake ya jana Jumatano, kituo hicho kimesema kuwa, maambukizi ya homa ya Lassa ambayo huzuka nchini Nigeria kila...
Back
Top Bottom