nimechoka

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    Natamani siku ifike haraka hata kama ni kutoka tutoke tu, nimechoka!

    Natamani hiyo siku ifike haraka tucheze tumalize, hata kama tutatoka tutoke tu, nimechoka na hii mijadala! Yaani hii wiki moja ya kusubiri marudiano imegeuka na kuwa kama mwaka, dah! Tucheze tu, hata kama tutatoka siyo mwisho wa dunia.
  2. Komeo Lachuma

    Hapa nilipofika nimechoka, nisije pata ugonjwa unaokosa dawa. Wanawake mnataka nini?

    Unampata mwanaume mchekeshaji ana pesa. Unaenda kutoka tena na mwanaume mkimya hana pesa. Ukimpata mwanaume MKIMYA unaenda kutoka na mwanaume MCHEKESHAJI. Ukimpata mwanaume hana PESA unaenda kutoka na ASIYE NA PESA. Ukimpata ASIYE NA PESA unaenda kutoka na MWENYE PESA. DADA ZANGU MNATAKA NINI...
  3. co fm

    Nimechoka kuishi Bongo, nataka niende mamtoni

    Habarini za humu wanajamii, humu JF kuna watu mbalimbali wengine wanakaa Buza huko kwa mpalange, wengine Masaki na Osterbay, wengine Mwananyamala kwa kopa huko ila wengine wapo mamtooni huko pande za akina Biden. Sasa wale wa kwa biden na ulaya huko ndo naomba ramani za kwend kuzama huko. Je...
  4. Melki Wamatukio

    Nimechoka kuhudumia, nahisi ni wakati wangu sahihi wa kuanza kuhudumiwa

    Nahisi ni wakati sahihi sasa wa kuumaliza mwendo. Haiwezekani posho yangu ya 135k kwa wiki igombaniwe na kila aina ya rika. Hapo hapo ndugu, jamaa, marafiki, bia, usafiri, vocha, tozo, umeme😥 Halafu hapohapo bado kuna mpenzi🥺 huyohuyo mpenzi mara aje na matawi yake ya hela ya kusuka, kubandika...
  5. Akili Unazo!

    Tulivyoachana aliniambia mtoto siyo wa kwangu, ameachwa tena anataka nimrudie

    TULIVYOACHANA ALINIAMBIA MTOTO SIYO WA KWANGU, AMEACHWA TENA ANATAKA NIMRUDIE. Dunia hii hawa Wanawake wamekuwa Vichaaa siyo Bure.... kaka nimekwama najitaji ushauli naomba nisaidie. "Nilikuwa na mpenzi wangu nilikuwa naishi nae ingawa tulikuwa bado hatujaoana ila tulikuwa tunaishi pamoja kama...
  6. Chizi Maarifa

    Mimi nimekata tamaa kabisa... Nimechoka...

    Wanawake wa siku hizi mtatuua sisi wanaume ambao bado tunahisia za mapenzi. Kuna sehemu huwa naenda mara moja moja kufanya service. Sasa kutokana na kuwa nikipeleka gari huwa napenda kusubiria hapo hapo kufuatilia utendaji wa fundi. Basi nikajenga mazoea ya kukaa kwenye kiduka flani ambacho pia...
  7. Mikhail Tal

    Naona nikienda kuwa academician, nimechoka ajira kwenye private sector

    Kiukweli wakuu, mimi ni mmoja wa watu ambao kwa sasa nazipigania hizi ajira za u tutorial assistant kwa kiu kubwa sana. Ni kwamba nipo kwenye private sector lakini ki uhalisia kabisa baada ya kujitafakari, nimeona endapo nitabaki huku nilipo kwa sasa, sio tu kwamba uchumi wangu utadumaa ila kwa...
  8. BM X6

    Leo sijaenda kazini na sijatoa taarifa, nimechoka

    Hivi nyie wenzangu mko sawa? yani hamjachoka? Unaamka tu na kwenda kufanya kazi na uko sawa? Na uko sawa kujua lazima uendelee kufanya hivyo kila siku? Yani mzunguko wako wa maisha ni ule ule [emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini[emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini Ukiongezea hapo labda umeenda...
  9. Komeo Lachuma

    Hili jibu nimechoka kabisa.

    Hawa wapemba bwana na migahawa yao. Nimeagiza msosi kwa mpemba mmoja hapa town. Mletaji ameleta msosi na akawa hajaweka samaki. Nikamuita mara ya pili kumkumbusha kuwa niliagiza na samaki. Akasema anakumbuka. Anakuja. Kweli baada ya dakika akawa anakuja amemshika samaki mkononi. Nlichukia...
  10. Unique Flower

    Pleasee eleweni siitaji tena mchumba na wala siitaji tena watu wanisumbue inbox ukihitaji mpenzi toa post

    Please understand muelewe siitaji tena mchumba no more. Mume hutoka kwa bwana sio hapa very sorry Asanteni kwa wote waliokuja ila for now noo. Siitaji.
  11. Jicho la Tai

    Nimechoka kutembea na mizigo isiyo ya lazima mwilini mwangu

    Baada ya jana kurudi nimechoka sana nyumbani, nikaanza kuwaza kwanini nafika nmechoka nyumbani ilihali sikuwa na kitu cha maana nilichokifanya wala kubeba mzigo wowote. Nikasema nuvue kila kitu ili mwili upate hewa vizuri, ndipo nikagundua kuna mizigo binadamu tunaibeba kila siku na inatuchosha...
  12. Robert Heriel Mtibeli

    Rafiki yangu karudi kutoka Uingereza, nimechoka dharau zake

    Habari Wakuu! Kukaa miaka mitano tuu ndio ujifanye Mzungu? Kukaa miaka mitano tuu ndio ushindwe kuongea Kiswahili bila kuchanganya na kimombo? Ati mjanja! Ati anajiita Civilized, Mpuuzi tuu! Kitu kidogo utasikia; yaani wabongo hampo civilized! Mara ataje Ridiculous! Na msamiati mingine...
  13. N

    Nimechoka watoto wangu kusomeshwa 'eat more, the slogan say' kila siku!

    Mimi nimesomeshwa hilo, yaani kila teacher wa lugha niliyokutana nao ktk kipengele cha poems basi hapo ndo Kimbilio. Mengine ni: A freedom song Development n.k Miaka zaidi ya 15 baadae, watoto wangu nao habari ndo hiyo hiyo; eat more, the slogan say! Hv watunzi wameishaaa au? Wataalamu wa...
  14. jogijo

    Nimechoka kuwa mwalimu

    Wakuu habari, naomba niende kwenye mada moja kwa moja. Nimesoma Education (bachelor of education in policy planning and management) nikispecialize kwenye Economics and accountancy kama teaching subjects, Sikuwahi kupenda kuwa mwalimu lkn baada ya kumaliza form six niliona sina option zaidi ya...
Back
Top Bottom