Mapendekezo yangu;
1. Yule mtu (binafsi) ambaye jina lake limebahatika kuchukua jina la mtaa, alipe 50,000/= kama ni kiongozi (DED, DC, RC n.k), kama ni mtumishi wa kawaida wa umma alipe 20,000/= na kama NI mwananchi wa kawaida alipe 10,000/=.
Jina lako kutumika na serikali ni heshima...