Habari WanaJF.
MIMI ni kijana wa kitanzania, umri miaka 25.
Makazi: UBUNGO Dar es salaam
Elimu: Shahada ya usimamizi wa majengo na nyenzo. (2021).....Elimu sio kipaumbele changu hapa.
Naombeni mwenye connection ya kibarua/kazi anisaidie, ili niweze kukimu majukumu ya familia yangu.
Nipo...