nisaidieni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    Majina ya wanaojiunga na JKT kwa mujibu wa sheria hayafunguki, nisaidieni mwenye llink inayofunguka

    Majina ya waliochaguliwa kujinga na JKT kwa Mujibu wa sheria hayafunguki. Mwenye link inayofunguka anisaidie please
  2. Jiko Koa

    Nahitaji msaada wa mawazo tafadhali, mpenzi wangu ana mimba

    Kwa masikitiko makubwa, mchana huu nimepokea taarifa ya "Nahisi ni mimba." Ujuwe nilikuwa nachukulia simple nikimuona mtu anashtushwa na taarifa kama hii, lakini leo nahisi kichwa kimewaka moto na nimekosa utulivu hadi kwa mara ya kwanza nimetamani kunywa pombe. Sijawahi kumpenda bali ni nyege...
  3. B

    Msaada: Wamiliki wa Makampuni ya Ulinzi Binafsi wanapataje faida?

    Habari zenu, Nauliza hivi; wamiliki wa Makampuni ya Ulinzi Binafsi wao wanapataje faida? Nimeuliza hivyo kwasasabu usajili wa Makampuni ya Ulinzi Binafsi unaongezeka kila kukicha na inavyoonekana ni biashara nzuri. Nawasilisha.
  4. K

    Wachawi wanatumia sura yangu kwenda kurogea. Wakuu Nisaidieni

    Wachawi wanachukua sura yangu wakati wa Usiku kwenda kuwanga. Nashangaa naambiwa mi mchawi wakati sijawahi kuwa mchawi nilipofatilia nikaambiwa wachawi ndo wanatumia sura yangu na kunishikisha uchawi bila Mimi kujua. Wakuu akina Mshana jr na wengineo nisaidieni nitumie mbinu gani kujikinga!?
  5. warzone

    Nisaidieni kumuajiri mdogo wangu wa kike

    Habari wakuu, nina mdogo wangu wa kike ambaye ana shahada ya HR miaka 26, naomba msaada wenu apate kazi yoyote ndani ya Dodoma au Dar(sababu ya sehemu ya kuishi) pia ni mzoefu kwenye kazi za mahoteli na kuuza mafuta (sheli), kwasasa yupo tuu nyumbani naona anakata tama, atayeguswa naomba...
  6. H

    Nimempa ujauzito housegirl, wife amekwenda mahakamani anataka niondoke nimuachie nyumba na watoto

    Mimi ni mwalimu, mke wangu nae ni mwalimu, tunafundisha shule tofauti lakini ziko jirani. Tumejenga nyumba yetu na tuna watoto wadogo. Tatizo langu limeanza baada ya kupata house girl mpya ambaye alikuwa ananitega. Uzalendo ulinishinda, tukitoka na wife asubuhi mimi namuacha shuleni kwake na...
  7. GENTAMYCINE

    Mliobarikiwa na Mwenyezi Mungu Maarifa na Ubobezi wa Wanyama na Wadudu hebu nisaidieni katika hili Nielimike

    1. Pua za Panya zipoje kwani nimetoka Kula Samaki na kwa Makusudi nimebakisha baadhi (tena Kufunga katika Mfuko usiopitisha Hewa) ili Kesho Asubuhi niwape Paka wanaojiandaa Kuniwangia na Kunilimisha Mzanaki Mimi Usiku huu nikilala ila nashangaa Panya wameshajua hadi nilipoficha na sasa wananilia...
  8. R

    Wanasheria/Mawakili nisaidieni kwa illustrations hizi limitation sections

    Nisaidie maelezo ya hizi sections by giving ILLUSTRATIONS 17. (1) Where a person, who would, if he were living, have a right to institute a suit or make an application, dies before the right accrues, the period of limitation shall be computed from the time when there is a legal representative...
  9. God over everything

    Natafuta Kazi, iwe Kibarua kwa siku au kwa mwezi

    Habari za Mahangaiko Members. Mimi ni kijana wa kiume (27), Naishi Dar es salaam. Elimu yangu ni ya Form Six Nimekuja mbele yenu kuomba Msaada wa Kazi iwe Kibarua kwa siku au kwa mwezi. Nimeandamwa na malimbikizo ya Kodi ya CHUMBA. Mungu amguse yeyote mwenye uwezo wa kutoa Msaada kwangu...
  10. King Sae

    Je, mtu anaofuta usajili, records zinabaki kuwa laini ilitumika na mtu fulani?

    Yaani mfano… Mtu akisajili laini then akaamu KUFUTA usajili. Je, records zinabaki kwamba hii laini ilitumika na mtu fulani kusajiliwa au?
  11. Meneja Wa Makampuni

    Nisaidieni kugundua makosa ya hii floor plan

    Hapo katikati pana uwazi wenye upana wa 3m hadi 3m
  12. music mimi

    Wadada nisaidieni kurasa nitakazopata urembo maridadi

    Hapa panawahusu wadada so naomba nijibiwe na wadada. Mie sio mtaalam sana wa vitu vya kike vilivyo kwenye trend. Ila nataka kumnunulia wifi yenu zawadi kwa ajili ya valentine so ninataka kununua kidogo kidogo mpaka siku hiyo maana mwaka jana sikumnunulia zawadi alipoa mpaka nikakosa raha...
  13. Lameckjr

    Naomba kujuzwa namna ya kufika Canada

    Ndugu wanajamvi habari zenu, Natumaini mko powa kabisa na mnaendelea na shughuli za hapa na pale Kwenye maisha ya mwanadamu kila mtu anakuwa na ndoto zake ambazo hana budi kuzipigania!! Binafsi toka nikiwa mdogo ndoto zangu zilikuwa ni kuishi Canada, hapa katikati ni kama zilipotea vile...
  14. R

    Naomba kujua time limitation ya kufile execution proceedings ni ipi?

    Naomba kujua time limitation ya kufile execution proceedings ni ipi? My search could not give me any clue! Assisit please
  15. Liverpool VPN

    Nisaidieni kuziondoa hasira za mdogo wangu/dada yangu...

    INTRODUCTION Ni mdogo angu (family friend). Kwao ni wa mwisho kuzaliwa (last born). Ana miaka 26 na ana mtoto mmoja wa kike. Yeye na huyo baba mtoto waliachana ila mtoto anatunzwa fresh. SCENARIO Huyu binti Wana JF ana hasira sana. Na hapo mwanzo nilishawahi kumuhoji akasema ""Muda mwengine...
  16. T

    Nauponda sana upinzani ila nikitaka kuisifu CCM nafsi yangu inanisuta

    Ukweli ni kwamba tuna aina ya upinzani dhaifu sana katika nchi yetu, upinzani ambao huoni mwelekeo wake katika siku za hivi karibuni ama siku nyingi zijazo. Jambo hili linaniumiza sana moyo wangu kama mtanzania mzalendo mpenda nchi, kwani naamini kwamba bila upinzani madhubuti ni nadra kufikia...
  17. M

    Ushauri: Kila fursa nikijaribu Wazazi wanasema sio hadhi yangu, sasa nipo nyumbani nafokewa kuwa sitafuti kazi

    Habarini wanaJF, Natumaini ni wazima wote Kwenda moja kwa moja kwenye hoja yangu. Mimi ni mhitimu wa chuo mwaka huu mwezi wa saba. Kiukweli napata changamoto kwa wazazi wangu kwa sababu kila fursa nikijaribu kufanya wananiambia hio sio hadhi yangu(fursa za halali). Lakini cha kushangaza mimi...
  18. cold water

    Nimesikia mpenzi wangu anavuta bangi, nifanyaje?

    ....
  19. Mzee nazi

    Nisaidieni kuokoa ndoa yangu jamani

    Ndugu zangu wanajamvi habarini. Mimi mwanenu na ndugu yenu nimekumbwa na tatizo, uume kusimama ka ulegevu na kuwahi kufika kileleni within a minute. Naomba msaada sana ndugu zangu
  20. cold water

    WhatsApp haipatikani ukimpigia simu lakini text zinakubali

    Inakuaje mtu No yake ya WhatsApp, normal call haipatikani lakini ukimtumia text whasap zinaonesha tick 2 kuna mtu anatumia wasap yake au.
Back
Top Bottom