Nee Ko Njaa Cha (acronym of Ninnem Kollum Njaanum Chavum) (English:Kill you, then Kill Myself) is a 2013 Indian Malayalam comedy thriller film written and directed by Gireesh. The story, set in Kochi and Goa, follows the lives of three friends played by Sunny Wayne, Sanju and Praveen Anidil. Poojitha Menon, Sija Rose, Rohini Mariam Idicula and Parvathy Nair form the female leads. Shooting was carried out in Goa and some shots in Kochi.
Wanajukwaa hiki kijembe cha Kigaila moja kwa moja kinamlenga Msigwa, anasema kamwe usifikirie kwa kutumia tumbo, maana njaa ikishahamia kichwani ni shida.
Hello!
Ofisi yetu ya umma ina mabinti zaidi ya 20, iko Dar es salaam.
Kati ya hao mabinti zaidi ya 20 mabinti zaidi ya 10 kila mtumishi anajua kuwa bosi kawapitia. Hapo hatujahesabu wengine ambao aliweza kutembea nao kwa siri zaidi.
Kati ya hawa mabinti wapo wake za watu na wachumba wa watu ...
Huyu binti alikuwa ni mpenzi wa rafiki yangu,sijui walizinguana nini,saa nne usiku akanipigia simu kuwa amezinguana na rafiki yangu yaani mpenzi wake na hajui atalala wapi hana hata mia mbovu
Nikamwambia njoo ulale kwangu,usiku mrefu ndugu zanguni,nilikuwa naishi kighetogheto chumba kimoja...
Nilipita mahali leo ( uswahili kidogo) nikaona maandazi aina ya half cake Dukani kwa mangi nikayatamani. kwakua sijayala muda mrefu nikasogea kwenda kuuliza bei nikaambiwa 200 moja, muuzaji akaniambia naomba hela yako iwe ya chenji sina chenji zinasumbua. nikamwambia nina elf 1 akasema unataka...
Mwanaume "mwenye kila kitu" kuna mtihani kidogo kumjua mwanamke mwenye mapenzi ya kweli. Wanawake wengi mapenzi kwa vitendo ni feeling experession na availability yake kwako, mbali na hayo basi ni kukupa dudu. Tofauti na mwanaume mwenye ziada nyingi za kuonyesha kukupenda.
Sasa kwa mwanaume...
Mkopo juu ya mikopo.
Kusaini mikataba ya kukunyonya basi tu ili upate hata kidogo cha kujikimu.
Kuridhia masharti ya mganga ya kuleta damu ya mtu.
Kuuza kiwanja kwa bei ya bure ili kupunguza makali ya tabu.
Kumuua baba ili urithi mali maana uvivu wako umekuletea njaa kali.
Kumpiga kibuti...
Unafahamu ni kwa nini gari jipya kabisa linatoka kiwandani na hook ya kuvutwa? Je watengeneza wa magari hawana imani na kazi yao?
La hasha, watengeneze magari wanaelewa kuwa pamoja na upya wake, pamoja na kuwa ni mashine ya kutegemewa, ipo siku kila gari litahitaji msaada wa kuvutwa...
Ndoa ni taasisikama serikali.
Mwanaume kazi yako kulipabills tamka kodi,mwanamke kazi yake kula kodi,
Mwanamke hakupendi bure anatafuta security au kukula hela zako.
Mke sio rafiki bali ni beberu mla kodi zako ,j
Rafiki wa kweli ni njaa tu,ukiwa huna hela ndio anazidisha kuwa karibu na wewe,bora...
Wala hakuna kisingizio cha ukoloni, nchi kibao zikiwemo india, korea kusini, China, n.k. zilitawaliwa lakini leo zipo mbali mno
Msione kuna hizi kelele za viongozi wanasema nchi ipo salama, uchumi upo vizuri, n.k. Ni kwamba kwao mambo yakiwa mazuri hawana motivation ya kusaidia wengine wenye...
Nashika tena kalamu, kwa Jina lake Karimu,
Naishika kitalaamu, nashika kiufahamu,
Napanga tungo adhimu, kama gwiji na mwalimu,
Kuaga kwa mwenye njaa, huaga na haondoki!!
Yametokea nyumbani, siku si nyingi jamani,
Hapa kwetu kijijini, nilipokea mgeni,
Mida yenyewe jioni, Mama Chanja yu...
Wakulima kanda ya kaskazini wahofia njaa baada ya kupata mavuno hafifu kwa kile wanachodai mvua kukata mapema mwaka huu.
Baadhi ya wakulima kutoka katika mikoa ya kilimanjaro ,manyara wamesema ni kweli mvua zilikuwa nyingi sana mwaka huu LakinI pia ziliwahi kukata kabla ya mazao Kufikia stage...
Wanakummbi.
Tuliaminishwa vitu vingi sana kutoka nchi za Magharibi na Ulaya kuwa ni watu makini wamenyooka hawana tamaa wanaheshimu haki za watu na siyo wizi kama watu wa Africa, binafsi nawafahamu kiasi wazungu ni binadamu kama wengine na ni wizi, waongo wanafiki angalia hiyo video ingekuwa...
Mafanikio ya pesa ni addictive, utahitaji zaidi na zaidi, leo upo middle class lakini unahisi unastahili kuwa upper middle class.
Mafanikio ya pesa ni "very demanding", utahitaji vya gharama zaidi na zaidi, leo utanunua harrier lakini unahisi kwa uwezo ulionao unapaswa ununue fortuner.
Kama...
Habari za asubuhi familia.
Naandika nikiwa na uchungu sana moyoni lengo ni kuwaasa vijana wenzangu hii kitu Watanionaje ni roho ya shetani yenye lengo la kuzuia maendeleo hasa kwa vijana kuchukua hatua ya kuthubutu fursa mbalimbali zinazokuja mbele yao kwa sababu ya STATUS.
Naandika hili baada...
Hao mashabiki huibuka muda wowote pale wanapotupiwa jero ya maji na wanatesa mjini kwa sababu ya ujinga wa wajinga hao.
Hao wajinga utawakuta msimbazi ila kwa wingi wao wapo pale jangwani.
Wamejaa ujinga mtupu, kwa sasa wako na ujinga wa kijinga kukomalia kuchamba neno Sanda lililopo kwenye...
Tufe njaa kwa kulinda misitu? mkulima na kiongozi katika hili Nani asikilizwe?
Katika maisha ya sasa na siasa mwanasiasa anasimamia Sera za nchi mkulima anavunja Sera za nchi kumlisha mtunga sera za nchi nikiwa na maana kwamba mwanasiasa au kiongozi yeyote anasimamia Sera za nchi na kumnyima...
Kuna jirani yangu ametoka safari kumfata kijana wake Kipindi Cha likizo, amejikuta akilazimishwa na walimu kuwa mtoto aendelea na masomo Kipindi hiki cha likizo.
Kwenu wadau, naombeni mwongozo kuwa kuna ulazima wa mtoto kusoma likizo shuleni?
INTRODUCTION:.
Kichwa cha habari cha husika .....
BODY:-
Heri ingekuwa taasisi ya kukusanya tu kama TRA.
Mida hii zile taasisi za kukusanya tu zinafikiria na kutunga activity za kumaliza bajeti tu, daah..!!
Ila kuna zile taasisi ambazo zinakusanya na kurudisha kwa wananchi, dah hela inaingia...
Nimekaa na wazee hapa, wananiuliza maswali ya kihistoria.
Swali waliloniuliza ni hili la Njaa ya legulegu iliyoikumba Kanda ya ziwa! Ilikuwa ni mwaka gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.