Mimi ni mwanaume mwenye miaka 31, mkazi wa Dar es Saalam, Mkristo, nnaejishughulisha.
Elimu niliyonayo ni kubwa, urefu wangu ni 6'1 mrefu fulani hivi, maji ya kunde, sina mtoto wala sijawai kuoa.
Natafuta mke wa kuoa, mwenye sifa zifuatazo;
~ Umri miaka 25 kushuka chini
~ Mweupe
~ Elimu yoyote...