Wanaoijua hii simu nahitaji msaada wenu,
Je, ni simu nzuri? nimeifuatilia mtandaoni inaonekana nzuri ila nahitaji wazoefu ambao wamewahi kuitumia kabla sijajilipua kuinunua.
Naomba nitupie hii kwa CAG kama ilivyo wadau
Hello CAG
It is my hope that you are doing fine, and I am also terrific. It is a great honour for us and our nation to have you in that office.
CAG I am very much patriotic with our nation and national resources, in fact, I underline the concept of...
Nimenunua hii simu mwaka jana mwezi wa tisa
Mwaka huu mwezi wa pili simu imezima tu screen ghafla, haijadondoka,haijakwaruzika hata screen
Imetumwa samsung Dar wanasema ni FAULT which means sina mchango kwenye kuharibika kwa hiyo screen
Kikombe kiko kwa wakala wao niliponunua Arusha (mhindi...
Water pump Leo =300k
Printer canon na Hp=200k
Canon: inahitaji toner
Hp: printhead imekufa
Samsung note 9=400k
Washing machine( von hotpoint 10kg) = 50k
Washing machine: upande wa ku spin haufany kazi
Bati alaf la kigae gage 28 zipo 15pcs= 800k
Mazungumzo yapo..
Grab this Offer Now!
Xiaomi Redmi Note 10 (Global Version)
Rom: 128 GB ( store more videos, photos,etc)
Ram : 4 GB
Condition: Used for 3 Months
Battery: 5000Mah- 12 hrs +
Delivery: From Dar es Salaam to any region in TZ
OFFER: 400,000 TZs (Negotiable)
DM is Open for interested Buyers.
Pamoja na kuwa inshu ya shaidi kuingia na note book Kizimbani ijumaa wiki iliyopita Jaji alihaidi kuwa mahakama itaifanyia maamuzi Jumatatu hii. Yani ataanzia na objection ya kina kibatala.
Jumatatu mahakama haikukumbuka ata si kuianzia tu maana ndipo walipoishia. Pia nikiamini pingamizi Hilo...
Accusing a witness of “lying.”
The older lawyers also taught me that I must never directly accuse a witness or a party of “lying” while I was questioning them. Yet every week I hear lawyers doing this. This is usually done by the lawyer asking the accusative rhetorical question:
“Sir, you do...
Habari Wanajamvi,
Nauza simu yangu mwenyewe ni Samsung Galaxy Note 10+. Ina mwezi mmoja tangu niinunue, ina risiti niliyonunulia na boksi lake
Bei ni laki 8.5, inapungua kidogo sana
Kwa aliye serious anifuate DM
Location, nipo Dar es salaam
Kwa kweli simu nilizoamini ni nzuri ni pamoja na Samsung lakini kwangu imekuwa tofauti, mwanzoni simu ilikuwa vizuri lakini sasa hivi natamani kurudi kwenye tecno na infinix, maana nikiwa safarini nawaona wenzangu wakivinjari kwenye mitandao ya kijamii mwanzo mwisho wa safari lakini hili la...
Nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu mkubwa mwenendo wa kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe na wenzake watatu. Nafuatilia kwa kwenda mwenyewe Mahakamani. Hata sasa nipo Viunga vya Law School of Tanzania ilipo Mahakama Kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi kwa ajili ya...
THE SUICIDE NOTE THAT NO ONE READ
“I am trying to be strong and fight these demons but no matter how hard I try, their voices are stronger and my pace is nothing compared to theirs. Why do I feel so empty so lost, I am tired of holding onto broken pieces of a mirror that used to mirage my life...
Members msaada, nahitaj kuapdate mannual samsung note 4 ifike android 6, kwenye web ya samsung ukitaka kidownload wanataka uchague nchi ila tanzania haipo, nichague nchi ipo hapo au yoyote tu maana kwa africa naons south africa (vodafone)
Naitaji Samsung Note 10 yenye hali mzuri no michubuko, ambayo imetunzwa vizuri.
Bajet yangu ni laki sita na nusu.
Niko Dar es Salaam.
Mwenye nayo tafadhali npm tufanye biashara.
Inasemekana nyimbo nyingi zinazoimbwa hasa kwenye nyumba za ibada zinakuwa na mpangilio maalum ambao mtu yeyote akiufuata anaweza kuimba.
Sasa kuna huu wimbo una maneno kama ifuatavyo.
"Parapanda italia parapanda,
Parapanda italia parapanda"
Mwenye kujua au mtaalamu wa nyimbo anisaidie...
Wadau habari zenu.?
Nilikuwa natumia Samsung A30, ambayo nilinunua mwaka juzi ,nilipanga mwaka huu ninadilishe..
bahati mbaya jana nikiwa na mashkaji tunapiga mambo niliidondosha, haifanyi kazi kwenye screen, ofcourse huwa situmii screen protector hivyo tangu muda imepasuka kioo, ila jana kioo...
Habar wadau,
Nimeipenda simu ya xiaomi redmi note 8 pro ila ni china version
Bei yake 450,000
Kabla ya kufanya manunuzi napenda kufahamu China version ya xiaomi itashika band za Tanzania?
Pia bei hio ni reasonable kwa simu hio
Ushauri wadau.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.