Habari wadau,
Kwanza nianze kwa kusema hii si mara yangu ya kwanza kuokota hela kama ambayo naamimi hata wewe msemaji huenda umewadia kuokota hela pengine zaidi ya mara moja.
Katika hali ya kawaida(kwani naamini ni kwa wengi), nimekuwa nikiokota hela ndogo ndogo(shilingi 1000,2000,500, n.k)...
Nataka tusaidiane na tupeane maarifa na ujuzi kuhusu Simu za samsung hasa hizi flagships za miaka ya nyuma kama S6, S8, Note 8 na S9 ambazo zinauzwa hapa Tanzania miaka kadhaa baada ya uzalishaji kupita!
wauzaji wengi wanadai hizi simu wanazouza ni mpya.. yaani wameimport brand new phones kutoka...
Nauza Redmi Note 7 Blue.
Brand New and straight From Xiaomi
Global ROM (Ina full google apps pamoja na google playstore + ni multilanguage)
ROM ni 64GB
RAM 6 GB
6.3'' inch display
Snapdragon 660 Processor
48 MP Camera
Line mbili na inasupport 4G mitandao yote Bongo
Battrey kubwa 4000 Mah (It...
Wakuu msaada . Simu yangu samsung note 5 touch yake hairespond na hata pen yake haifanyi kazi.
Je kwa wazoefu tatizo kama hili linatokana na nini na linatatulikaje? Gharama zake inaweze kuwa kiasi gani?
Kadiri miaka inavyozidi kwenda na uboreshaji wa noti zetu za Tanzania unazidi kupungua. Hii note kama ni gizani unaweza kusema bandia.
Ukiangalia hizi noti unaweza kusema ni bandia
huu mstari ndio uneniondolea was was.
Kwanzia noti za JK kufikia hizi mpya zina makasoro mengi sana.
Angalia hii...
Niaje wakuu, niliflash simu yangu aina ya galaxy note 5 N9200 (HongKong version).. hii simu baada ya kuflash haioneshi network.. yaani line haipandishi mtandao.. No service/no network connection.
Nimejaribu kuchange sim cards kadhaa, ku reflash na baadhi ya hatua kadhaa lakini bado.
Je hili...
Wakuu naomba maujanja ya app au technical kuhusu hii simu yangu
Hii simu ni note 4 nilinunua India sasa kwa kule nilikuwa napata 4g vizuri but kwa hapa bongo nashindwa kupata 4g kabisa sijui shida ni nn
Kwa yoyote mwenye uelewa pls msaada tafadhali
Nimebadilisha battery mara 2, lakini bado inapata moto hatari, japokuwa siitumii sana ila nikiiwasha tu inapata moto mno. Nimeweka apps kama Wake Lock nk lakini bado tu, tusaidiane wakuu.
Wakuu heshima kwenu,
Kama kichwa cha habari kilivyo naombeni msaada tafadhali nimetumia zile njia za kikamanda kubonyeza power button na volume button Kwa wakati mmoja imefikia sehemu sasa inataka niunganishe Wi-Fi nimekwama hapo.
Msaada tafadhali
JIPATIE BRAND NEW XIAOMI REDMI NOTE 7
YA GB 64 KWA 500,000
YA GB 128 KWA 600K.
CAMERA - 48 MP
RAM - 4 -6 GB
BATTERY - 4000mAh WITH FAST CHARGER USB TYPE C
BIDHAA ZOTE ZIKO SEALED NA MAELEWANO YAPO.
Contact : 0738985904
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.