note

  1. S

    Leo nimeokota noti ya shilling 10,000 ikiwa ni mara ya pili ndani ya kipindi cha mwezi mmoja.Je, hii ni bahati tu?

    Habari wadau, Kwanza nianze kwa kusema hii si mara yangu ya kwanza kuokota hela kama ambayo naamimi hata wewe msemaji huenda umewadia kuokota hela pengine zaidi ya mara moja. Katika hali ya kawaida(kwani naamini ni kwa wengi), nimekuwa nikiokota hela ndogo ndogo(shilingi 1000,2000,500, n.k)...
  2. Samsung S9, note 8 na A50

    Nataka tusaidiane na tupeane maarifa na ujuzi kuhusu Simu za samsung hasa hizi flagships za miaka ya nyuma kama S6, S8, Note 8 na S9 ambazo zinauzwa hapa Tanzania miaka kadhaa baada ya uzalishaji kupita! wauzaji wengi wanadai hizi simu wanazouza ni mpya.. yaani wameimport brand new phones kutoka...
  3. Phone4Sale Nauza Redmi Note 7 Blue *Brand New*

    Nauza Redmi Note 7 Blue. Brand New and straight From Xiaomi Global ROM (Ina full google apps pamoja na google playstore + ni multilanguage) ROM ni 64GB RAM 6 GB 6.3'' inch display Snapdragon 660 Processor 48 MP Camera Line mbili na inasupport 4G mitandao yote Bongo Battrey kubwa 4000 Mah (It...
  4. Naomba msaada wa tatizo la touch ya Samsung Note 5 haifanyi kazi

    Wakuu msaada . Simu yangu samsung note 5 touch yake hairespond na hata pen yake haifanyi kazi. Je kwa wazoefu tatizo kama hili linatokana na nini na linatatulikaje? Gharama zake inaweze kuwa kiasi gani?
  5. Picha: Hizi ndio noti zetu mpya, usipoangalia vizuri unaweza kusema ni bandia

    Kadiri miaka inavyozidi kwenda na uboreshaji wa noti zetu za Tanzania unazidi kupungua. Hii note kama ni gizani unaweza kusema bandia. Ukiangalia hizi noti unaweza kusema ni bandia huu mstari ndio uneniondolea was was. Kwanzia noti za JK kufikia hizi mpya zina makasoro mengi sana. Angalia hii...
  6. Galaxy Note 5 "No service"

    Niaje wakuu, niliflash simu yangu aina ya galaxy note 5 N9200 (HongKong version).. hii simu baada ya kuflash haioneshi network.. yaani line haipandishi mtandao.. No service/no network connection. Nimejaribu kuchange sim cards kadhaa, ku reflash na baadhi ya hatua kadhaa lakini bado. Je hili...
  7. Samsung note 4 LTE sipati 4G

    Wakuu naomba maujanja ya app au technical kuhusu hii simu yangu Hii simu ni note 4 nilinunua India sasa kwa kule nilikuwa napata 4g vizuri but kwa hapa bongo nashindwa kupata 4g kabisa sijui shida ni nn Kwa yoyote mwenye uelewa pls msaada tafadhali
  8. This is not a suicide note

    closed
  9. Hii Samsung Note 4 inapata moto balaa

    Nimebadilisha battery mara 2, lakini bado inapata moto hatari, japokuwa siitumii sana ila nikiiwasha tu inapata moto mno. Nimeweka apps kama Wake Lock nk lakini bado tu, tusaidiane wakuu.
  10. Naombeni msaada jinsi ya ku-flash Infinix Note 3

    Wakuu heshima kwenu, Kama kichwa cha habari kilivyo naombeni msaada tafadhali nimetumia zile njia za kikamanda kubonyeza power button na volume button Kwa wakati mmoja imefikia sehemu sasa inataka niunganishe Wi-Fi nimekwama hapo. Msaada tafadhali
  11. REDMI NOTE 7 64GB FOR SALE (BRAND NEW)

    JIPATIE BRAND NEW XIAOMI REDMI NOTE 7 YA GB 64 KWA 500,000 YA GB 128 KWA 600K. CAMERA - 48 MP RAM - 4 -6 GB BATTERY - 4000mAh WITH FAST CHARGER USB TYPE C BIDHAA ZOTE ZIKO SEALED NA MAELEWANO YAPO. Contact : 0738985904
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…