nyingi

Dorothy Wanja Nyingi is a Kenyan ichthyologist and recipient of the Ordre des Palmes académiques (Order of Academic Palms) for her work on Fish Biodiversity and Aquatic Ecology. She is the head of the Ichthyology Department at the National Museums of Kenya. She is the author of the first guide to fresh water fish in Kenya, Guide to the Common Freshwater Fishes of Kenya.

View More On Wikipedia.org
  1. DR HAYA LAND

    Inaweza kukugharimu pesa nyingi Hadi uhai kwa kujifanya unapesa.

    Nilichogundua kukaa kimya ndo akili za kitajiri maana huwezi muomba pesa au kumdhuru kirahisi mtu ambaye huna background yake ya kipato Kama anacho au Hana Sisi masikini %kubwa tunapenda kujionesha tuna pesa na mwisho wa siku inatugharimu pesa nyingi Hadi uhai Nimefatilia visa vingi vya mauaji...
  2. U

    Kati ya Harmonize na Diamond nani ana nyimbo nyingi in total?

    Kupima ukubwa wa mtu ni lazma kujua ana nyimbo ngapi ametoa Toka ameanza Kuimba muziki, msaniii harmonize amerelease nyimbo 127 Toka ameanza Kuimba, na hii idadi amemuacha diamond mbali sana ambaye hata nyimbo 100 hafikishi, pia harmonize amefanya kolabo nyingi zaidi ya diamond, na pia ana album...
  3. BARD AI

    Michael Jordan bado anaongoza kwa Wanamichezo 10 wa Muda Wote wanaolipwa Fedha nyingi duniani

    1. Michael Jordan - Tsh. Bilioni 7.7 2. Tiger Woods - Tsh. Bilioni 5.8 3. Arnold Palmer - Tsh. Bilioni 3.9 4. Jack Nicklaus - Tsh. Bilioni 3.8 5. Cristiano Ronaldo - Tsh. Bilioni 3.7 6. LeBron James - Tsh. Bilioni 3.5 7. Lionel Messi - Tsh. Bilioni 3.4 8. Floyd Mayweather - Tsh. Bilioni 3.3 9...
  4. GENTAMYCINE

    Yaani tumewahonga Mtibwa Sugar FC tushinde nyingi ili Mashabiki wajae Mechi na Horoya FC tupige Pesa?

    Hovyo kabisa mbona huu Mpira wa leo Wachezaji wetu hawakuucheza Mechi kama Nne zilizopita na tukawa tunashinda kwa Taabu huku Sisi Mashabiki wenu GENTAMYCINE nikiwepo tukiwa tunajituliza kwa Dawa za Maumivu za Panadol? Nitarudi hapa baadae Saa 4 Kamili na mengineyo.
  5. T

    Ni kama wanachama wa CHADEMA hawaelewi kinachoendelea juu ya kesi ya Mdee lakini tulisema siku nyingi.

    Mbowe ana mengi kifuani mwake na Mdee na wenzake wana mengi sana. Kitendo cha kujifanya wamesusa lakini nyuma ya pazia wanasasambua ruzuku kama kawa ni jambo lililowashtua sana wanaCHADEMA. Sitaki kusema mengi lakini tulioneemeshwa kuona kwa jicho la tatu tuliandika haya kupitia uzi usemao Kama...
  6. K

    Wale wanaotamba "Najua kuacha sijui kuachwa" mara nyingi baadae huwa wasumbufu kwa wapenzi waliowaacha

    Kuna wale wanajionaga mafundi wa mapenzi sababu ya mionekano yao,uzuri au fedha zao wanajiamini kwamba wanajua kuacha hawajui kuacha,ila baadae hujaga kuwa wasumbufu. Nakumbuka nilikuwa na demu mmoja mzuri, ki ukweli huyu demu alikuwa mzuri Black beauty bonge la figure, halafu mara nyingi...
  7. GENTAMYCINE

    Kwanini Simba SC ikizifunga Timu Pinzani (ikiwemo Yao) Goli Nyingi (Dazani) haitambi Kishamba kama Wao?

    Wao wenyewe Wameshakula (Wameshafungwa) mno nasi Goli 6 kwa 0, Goli 5 kwa 0 huku hizi Goli Nne Nne (4) akiwa ameshafungwa mara nyingi tu ila Watu wa Simba SC wala Hawawehuki hovyo na Kishamba kama Wao. Wakimbahatisha tu Kumfunga Mjinga Mjinga Goli nyingi Wataanza Kutamba Mitaani, Mitandaoni na...
  8. L

    Nchi nyingi za Afrika zasema hapana dhidi ya Marekani

    Tukiuliza kama kuna nchi yoyote ambayo inajaribu kutawala dunia, watu wengi watajibu ni Marekani. Katika miaka ya hivi karibuni, Marekani imedai "kurudi tena Afrika", lakini kwa lengo halisi la kudumisha nguvu zake za kijeshi, kiuchumi na kiteknolojia. Juu ya hilo, nchi za Afrika zinajua vya...
  9. M

    Kazi ni nyingi ajira ni chache au "vice versa"?

    Kazi unayofanya sasa hivi uliiisomea? Au ajira yako ya sasa inaendana na ulichosomea? Wale mnaofanya kazi ambazo hamjasomea na life linasonga tu basi tumia uzi huu kuwapa vijana tips na moyo kwasababu kuna wimbi la depresssion sasa hivi. Nb: Ndugu zangu wenye degree fanya chochote cha...
  10. Kaka yake shetani

    Kwanini Vitambulisho vya Taifa kutokubalika kwenye matumizi sehemu nyingi au kutokuwa na maana sehemu tofauti

    Unasajiri laini ya simu kwa NIDA ila cha kushangaza wanakuwekea ndani ya miezi mitatu imefutwa. Unaenda kuomba mkopo benki lakini kitambulisho cha NIDA ni kama umepeleka Passport tu kwa nijuavyo. Suala la kitambulisho cha taifa tulivolichukulia kiukweli tumekosea kiwango kikubwa tena...
  11. K

    Nini Sababu ya mtura kutoweka kwenye Baa nyingi Mjini?

    Mambo vipi WanaJf? Tatizo ni nini hadi MTURA kupotea kwenye Baa nyingi mjini? Wapishi hakuna? Nilikua Kahama miezi mitatu iliyopita pale Choma Zone Mtura ulikuwepo lakini ghafla mpishi akatoweka, Mtura nao ukatoweka! Likawa linapatikana Bomu, mimi silipendi sana. Bado najiuliza kwanini Mtura...
  12. Hemedy Jr Junior

    Hivi kuna mwanamke tajiri anayemiliki pesa nyingi duniani kuzidi matajiri wa kiume?

    Naomba kufahamu maana kila siku naona list za wanaume tu. Sasa mbona wanapambana sana, hela zao wanawekeza wapi?
  13. T

    DOKEZO Wanywaji wa pombe kali tuwe makini, kuna pombe kali feki nyingi nchini

    Kama ni mnywaji wa hard liquor inabidi uwe makini sana. Mimi nilishanunua jagger shopperz, nafika home nafungua tu, ikatoka kaharufu fulani not amazing. Second chupa haina filter, nikarudi shoppers nikawaambia, huu mzigo feki, wahindi wakagoma goma. Nikawaambia filter ni lazima iwepo...
  14. The Assassin

    Kwa nini Tanzania huduma nyingi za kisasa za mitandao hazipatikani?

    Kwa nini huduma nyingi za kisasa kama YouTube premium, blue twitter nk hazipatikani Tanzania. Kwa mfano natumia YouTube premium ila natumia address ya Nigeria hivyo nalipa Naira 1000 kwa mwezi na awali nilikua natumia ya UAE, gharama ilikua kubwa kidogo kuliko Nigeria. Sasa natumia Twitter...
  15. Meneja Wa Makampuni

    Nafasi nyingi za ajira zilizotangazwa leo ni wewe tu kutuma maombi yako

    Wanahitajika Laboratory Managers, Laboratory Supervisors, Chemists, Laboratory Technicians na Laboratory Assistants kwenye Mgodi wa Dhahabu. Andaa CV yako, barua ya maombi na vyeti vyako kwaajili ya kutuma maombi: Mengineyo Bright and Genius Editors tunawapenda Tumewaletea huduma ya...
  16. Pang Fung Mi

    Kwa hoja: Ndoa nyingi za madhabahuni ni feki

    Wasalaam JF Ndoa nyingi za huko mahekaluni ni feki. Sababu hizi 1. Kama hujaoa bikra na mwanamke hajatubia hio dhambi 2. Alievunjwa bikra na asiye mumewe hafai kuolewa. 3. Kama mshazini na kutoana bikra kabla ya ndoa. 4. Mahudhurio ya Ma ex wenu wakati wa kufunga ndoa na viapo vyake. 5...
  17. Digxam-TZ

    Kuna Siri Nyingi Zimefichwa Kwenye Biashara za Online Njoo Tujadili Kwa kina

    Kuna siri nyingi zimejificha kwenye soko la biashara za online kwaujumla hasa kwenye ubora.Siku hizi ukipitia kwenye mitandao ya kijamii utakutana na manung'uniko mengi kutoka kwa watu hususan waagizaji wa bidhaa mtandaoni kuuziwa bidhaa ambazo ziko chini ya kiwango nfano vifaa vya...
  18. L

    Msingi wa UNGA ni muhimu kwa uhusiano wa pande nyingi

    Hivi karibuni, Rais wa Baraza Kuu la 77 la Umoja wa Mataifa (UNGA) Csaba Korosi alifanya ziara ya siku nne nchini China, ambapo alikutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa ngazi ya juu wa serikali ya China. UNGA ni chombo kikubwa cha majadiliano cha Umoja wa Mataifa, na ni jukwaa muhimu kwa...
  19. Expensive life

    Hizi hapa mechi tatu kali za kimataifa Simba vs Yanga je ni nani atakusanya point nyingi kuliko mwenzie?

    Ligi ya mabingwa Africa pamoja kombe la shirikisho kutimua vumbi kuanzia week ijayo, huku Tanzania ikiwakilishwa na Simba na yanga. Ikumbukwe kuwa simba na yanga wote wataanzia ugenini, je ni nani atafanya vizuri katika mechi tatu hizi za awali? 👇👇👇👇👇👇
  20. Makonde plateu

    Azam mmeweka channel nyingi sana za kidini za akina kuhani Gregory,Koses na Rogatusi

    Ama hakika nakerekwa na Azam tv kitendo Chao cha kujaza Channel nyingi za akina kuhani Gregory ama hakika inanikera yaani kama azam wasiponitelekezea hili nitauza king'amuzi cha Azam tv Sijui kwanini Azam mna udini kiasi hiki mna upendeleo mkubwa kwa hii dini ya makuhani! Acheni hizo
Back
Top Bottom