NYUMBANI
Ilikuwa saa saba mchana , jumatatu ya tarehe kumi mwezi wa kumi na mbili mwaka elfu mbili na arobaini na tano, Ilisomeka hivyo kwenye saa ya kidigitali iliyotoa mwanga ulioelea hewani ambao ndio ulioonyesha saa na tarehe ya siku ile .Ilikuwa imewekwa juu ya meza pembeni kidogo ya...