nzuri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Rabonn

    Siku nzuri inavyokwenda, we mwenyewe utaipenda.Kwako kunapoungua kwa mwenzako kunateketea

    Habari gani wadau. Poleni na majukumu, ndio maisha yalivyo kikubwa uhai. Moja kwa moja kwenye mada. Kwanza nimshukuru sana Mwenyezi Mungu, sifa na utukufu vimrudie yeye maana kui controll hii dunia na mipangilio yake ni kazi mnoo..imagine wewe unavyolia mwingine huko anacheka... na kuna...
  2. Meneja Wa Makampuni

    Bright and Genius Editors wanatafuta mtaalam wa ku-design website nzuri

    Kwenu marafiki; Bright and Genius Editors wanatafuta mtaalam wa kudesign website nzuri. Kama wewe ni mtaalam wa kudesign website tafadhari tu PM.
  3. Kibosho1

    Ukiacha Dar, kuna mji mwingine wa kula bata nzuri na machimbo makali kama Moshi?

    Kwakweli mimi sijazunguka mikoa mingi sana ila kwa nilipopita bado sijaona sehemu nzuri za kula bata kama Moshi. Isipokuwa Dar es Salaam Kwanza nilichopendea hakuna sehemu ya kiwango cha chini zote ni kama VIP ambazo kwa Dar lazma ukute vinywaji vinauzwa bei juu. Pamoja na kuwapo na wageni...
  4. kavulata

    Freeman Mbowe elimu nzuri sio kuzungumza Kiingereza

    Mikutano imeruhusiwa na Mama lakini mchague kwa makini nini mtakwenda kuwaambia wananchi kwenye majukwaa ya kisiasa. Mbowe aliwaambia wananchi wanaomsikiliza kuwa Watanzania hawawezi kwenda kutafuta kazi nchi za nje zikiwemo Ulaya na Marekani kwakuwa hawajui kuongea Kiingereza kama ushahidi wa...
  5. kavulata

    Mbowe warudishe Halima na wenzake kundini kwanza

    Mgogoro wa CHADEMA na akina Halima ulipangwa kama mkakati wa kujiua chama cha chadema. Chadema msikubali kunaswa na mtego huo. Warudisheni kundini makamanda wetu akina Halima na wenzake. Hii itaifanya CCM itetemeke na CHADEMA iheshimiwe kimataifa. Kama CCM imewarudisha kundini Lowasa, Sumaye...
  6. Nyamwage

    Hatua nzuri kwao tecno phantom v fold & galaxy z fold 4 wanachuana vikali samsung wapunguze bei tu

    Habari Hawa mabwana wapika kande leo wamezindua biriani la ngamia ni hatari na nusu alafu kwa nusu bei great job kwao
  7. Berlin storm

    Njian nzuri ni ipi?

    Jaman Bado nateseka Hali yangu inazid kuwa mbaya juzi nimetokewa na malenge lenge kat ya mapaja na chini ya korodan panazidi kuwa peusiii mno Kila nikipak detoll panakauka na mangoz yanabanduka na maumiv makal mno nikitembea ni kama nachwanwa korodan msaada jaman😭😭😭😭
  8. G

    Sehemu ipi nzuri kushiriki na online slots?

    Kuna michezo ya casino hii kama online slots na live casino inakuja kwa kasi sana sikuizi watu wanaopoa pesa nyingi sana huku. Kuna site zipi nzuri ambazo zinafaa sana kushiriki na michezo kama hii na je ni michezo ipi hasa mfano slots zipi ni nzuri?
  9. Superbug

    Uzi wa kuchambua na kutambua nyimbo nzuri za chekechea

    Wimbo wangu bora wa nursery ni POP GOES THE WEASEL. Wako ni upi? Kama ulisomea kayumba huu uzi haukuhusu!
  10. K

    Logde nzuri maeneo ya Moshono Arusha

    Wakuu naomba mniambie Logde nzuri maeneo ya Moshono Arusha..au yoyote ya karibu na maeneo haya. Bajeti yangu 30k-40k
  11. aka2030

    Zuwena nyimbo nzuri japo amesample

    Nyimbo nzuri video yake ni kama short movie Changamoto ni melody ya nyimbo amesample kutoka kwenye nyimbo ya zilipendwa ya wasafi
  12. R

    Rais Samia anafanya kazi nzuri na amezungukwa na watu wema. Orodha yao hii hapa

    Waswahili hawakukosea waliposema " nioneshe rafiki yako nikwambie tabia zako" Sote tunakubali mpaka sasa( hatujui hapo baadae) Mh Rais Samia( PhD honorius causas) Ni rais wa pekee sana. Ni wa pekee kwa sababu ndio Rais ambaye ameweza kwa uwazi kukemea mambo maovu yaliyokuwa yakitendeka hapo...
  13. Kimbakuli

    Shule nzuri ya form V

    Habari Gani Mataalam. Aisee kina bwana mdogo wangu amefaulu anataka kwenda FormV. Kwa sababu hapa ni nyumbani kwa wajuzi naomba mnisaidie shule nzuri ya formV kwa kuzingatia haya. 1. Mchepuo wa sayansi 2. Iwe mchanganyiko(Girls&Boys) 3. Ada iwe around 2M-3M Thanks
Back
Top Bottom