online

In computer technology and telecommunications, online indicates a state of connectivity, and offline indicates a disconnected state. In modern terminology this usually refers to an Internet connection, but (especially when expressed "on line" or "on the line") could refer to any piece of equipment or functional unit that is connected to a larger system. Being online means that the equipment or subsystem is connected, or that it is ready for use."Online" has come to describe activities performed on and data available on the Internet, for example: "online identity", "online predator", "online gambling", "online shopping", "online banking", and "online learning". Similar meaning is also given by the prefixes "cyber" and "e", as in the words "cyberspace", "cybercrime", "email", and "ecommerce". In contrast, "offline" can refer to either computing activities performed while disconnected from the Internet, or alternatives to Internet activities (such as shopping in brick-and-mortar stores). The term "offline" is sometimes used interchangeably with the acronym "IRL", meaning "in real life".

View More On Wikipedia.org
  1. Mnyuke Jr

    Msaada: Namna ya kufanya booking ya tiketi ya ndege kutoka Mpanda kwenda Dar

    Habari zenu wakuu Naomba msaada wa muongozo wa namna ya kubook online ticket ya ndege kutoka Mpanda to Dar es salaam kwa Air Tanzania Nina mpango wa kusafiri tar 18 mwezi huu na nina hitaji kubook ticket hiyo online ili nikimaliza shughuli zangu nitumie flight hiyo kurudi Dar JF Wajuaji...
  2. MR SALMIN

    Madhara na faida za kujisajili mtandaoni

    Je, ulishawahi kutapeliwa na kampuni iliyosajiliwa!? Taasisi nyingi za kiserikali na binafsi kwa sasa husajili vitu vingi online ili kurahisisha na kuongeza ufanisi. Mfano TRA na BRELA. TRA huweza kusajili TIN no. Bure mtandaoni na BRELA ukasajili kampuni mtandaoni. Hiii imesaidia vitu vingi...
  3. 24 Hours

    Nataka ninunue bidhaa online lakini sina kitambulisho chochote, inawezekana?

    Habari, Nataka kuagiza bidhaa online kwenye site kubwa kama amazon, ebay, aliexpress n.k lakini sina kitambulisho chochote kile, ila nina namba ya simu tu ambayo ni ya mtu. Sitaki yeyote aniagizie wala sitaki kutumia sanduku la posta la mtu mwingine. nachotaka nikiagiza bidhaa inifikie pasipo...
  4. Mad Max

    Ukinunua simu online (Mfano Ebay au AliExpress) kuipata ni bahati nasibu

    Kwema wakuu. Siku hizi ukinunua simu/smartphone online mfano kutoka China AliExpress au Ebay n.k aisee kuipata ni kubet. Zoezi zima la kununua litaenda vizuri, itatumwa, utaitrack, tatizo itakavyofika Tanzania. Aisee sijui ni Airport au Posta wanapiga. Tracking inaishia “item has arrived in...
  5. Jumanne Mwita

    RITA mlituletea huduma mtandao mkiwa na lengo la kupunguza foleni katika maofisi yenu, huduma hii ya online ni mbovu mno

    Kwanza kabisa ningependa kujua uwepo wenu humu kama mpo au hampo na kama mpo mje mtupe majibu kwanini huduma hii ni mbovu hivi? Ubunifu huu nauunga mkono wa kuji-hudumia au kuomba vyeti Online ila shida inayowakumba waombaji ni kubwa mno kuliko raha wanayopata baadhi. Mwaka huu ulivyo anza...
  6. I

    Hivi vyeti vinavyotolewa online na mashirika kama google na etc vina soko kwa waajiri?

    Kama kichwa cha habari hapo kinavouliza. Je hizi online course zinasaidia kwenye kupata ajira kweli? Maana kama ni skills kweli mtu unajifunza ila je vyeti vinavyopatikana kwa njia hii viko marketable?
  7. R

    Msaada: Namna ya ku register police loss report online

    naomba mwenye kujua namna ya kusajiri mali iliyopotea onlie anisaidie ie police loss report online register. Nikijaribu kufungua link inanipa error. How do i proceed?
  8. sanalii

    Hili bando nimenunua 35,000 gb 25 voda, nataka niirudishe hii hela online

    Leo nimetoa shilling 35,000 kununua bando la internet Vodacom nikapata gb 25, hii hela inabidi izalishee hela nyingine kwa kupitia mtandao, nitaletaa mrejesho hapa
  9. Daktari wa Manchester

    How to protect yourself from online shopping security threats

    How to Protect Yourself from Online Shopping Security Threats Here are easy actions which will reduce your risks during online shopping. ☑️ Update Your Browser and OS. These updates protect devices from vulnerabilities and online attacks. ☑️ Use Powerful Antivirus/Anti-Malware Software. Built...
  10. Sky Eclat

    Yesterday morning at Abidjan port. They were waiting for two Toyota Corolla vehicles, bought online from Dubai

    Yametokea jana bandari nyama Ivory Coast iitwayo Abidjan.
  11. njumu za kosovo

    Msaada! Kozi za kusoma online kwa hapa Tanzania

    Umuofia kwenu, Mimi ni muajiriwa wa serikali katika kada moja nikiwa na ngazi ya diploma kutokana na mabadiliko mbali mbali ya kimfumo na kimikakati imenilazimu nitafute degree kwa njia ya online. Kwa sasa nipo dar kwa yeyote ambae amewahi kusoma online degree tafadhali naomba muongozo wake...
  12. Vedasto Leopold

    Kupata mkopo online kwa kutumia simu

    Habari zenu wadau. Kama kuna watu wamewahi chukua mkopo online kwa kutumia simu watujuze maana siku hizi matapeli wengi. Kama kuna taasisi za kuaminika kwa njia hiyo mtupe ujuzi.
  13. Mlatino Zeshalo

    Online Interview kwa post ya Business Development Officer

    Habari za kazi wakuu, Katika jaribu jaribu nimebahatika kupata interview kwenye moja ya shirika kubwa hapa bongo na Interview itafanyika online. Binafsi siyo mgeni kwenye interview lakini sijawahi bahatika kufanya online (face to face). Nimewahi kufanya paper ilitumwa kwa email lakini hii ya...
  14. Infopaedia

    Kusajili TIN online bado ipo?

    Nawauliza TRA, ile huduma yenu ya kusajili TIN number online bado ipo?. Siku ya tatu leo nimesajili TIN online lakini bado naambiwa ombi linashughulikiwa. Kipindi kile mmeanzisha hii huduma ilikuwa ndani ya masaa kadhaa unapata TIN number yako. Kwenye tovuti yenu kuna number ya whatsapp...
  15. JMisiru

    How to check form one selection online In Tanzania & Kenya

    In Tanzania students who complete their primary school (standard seven) and perform well in their PSLC NECTA exams are normally selected by TAMISEMI to join various secondary schools located in every ward all over the country to pursue their O-level education for four years. Whereas in Kenya...
  16. Digging deeper

    Always online member

    .
  17. polokwane

    TAMISEMI: Haiwezekani kuandaa mfumo kuhama wa tumishi wakubadilishana vituo wakafanya online transfer

    Napendekeza TAMISEMI wangeanzisha mfumo wa kubadilishana vituo vya kazi yaan kuwe na mfumo ambao unawatambua watumish wote na vituo vyao vya kazi kwa kila idara halafu watumushi waweze kuutumia Mfano:mfumo unakuwa na transfer request hivyo mtumishi anaye taka kuhama ana request wilaya au kata...
  18. Mr_Plan

    Nahitaji kununua wireless microphone kwa ajili ya online TB

    Kama kichwa cha habari kinavyojieleza naitaji Wireless Mic ya kununua ya Bei nafuu kwaajili ya Online TV.
  19. Ego is the Enemy

    Huwa unapata wazo gani unaposikia online business

    Uzi tayari. Mana utaambiwa ni hela unatengeneza huku umekaa tu
  20. CHENGU MANURE

    Njoo utupe mbinu za kupata wateja online kwa wepesi

    Wasalaam Watu wengi sasa wameanza kuamini biashara kwa njia ya mtandao. Leo jioni nimekuwa kwenye ofisi moja idadi ya wateja na Mahala ilipo hakuna uhusiano. Baadae nikagundua wote wanawatolea online. Kuna jamaa aliishiwa hadi akataka kurudi kwao kigoma kutoka Dar. Jamaa sio msomi Hata wa...
Back
Top Bottom