Kiungo Mkenya na nahodha wa Montreal Impact, Victor Wanyama ni mmoja wa wachezaji wanaolipwa mshahara mkubwa katika Major League Soccer (MLS).
Wanyama anaingiza Dola milioni 3.09 (Tsh. Bilioni 7) kwa mwaka ambapo mshahara ni Dola milioni 2.4 (Tsh Bilioni 5.5) akiwa ndiye mchezaji anayeingiza...
Tovuti inayofuatilia muenendo wa biashara katika nchi za Afrika imetoa orodha ya nchi kumi za Afrika ambazo zinavutia zaidi kufanya uwekezaji kwa Mwaka huu.
Katika orodha hiyo Misri inashika nafasi ya kwanza kama nchi kivutio kwa uwekezaji barani Afrika. Sambamba na hilo nchi ya Rwanda na...
Inasikitisha sana matumizi ya silaha yanavotumika vibaya.
Kwa sasa huko Marekani msiba mzito kwao:
Hii ndio list:
Xavier Lopez, 10. He was a 4th grader at Robb Elementary
Uziyah Garcia, 10. He was in 4th grade.
Eva Mireles.
Nevaeh Bravo. She was in 4th grade
Irma Garcia
Amerie...
Lionel Messi anaongoza kundi la watu ambalo kwa pamoja wamekuwa wakijipatia zaidi ya $990m katika miezi 12 , huku kiwango cha kuwania nafasi hiyo kikipanda zaidi ya ilivyokuwa awali.
Lionel Messi alikuwa na umri wa miaka 17 alipoanza kushiriki katika kikosi cha kwanza cha timu ya Barcelona ...
Nasikia watafunguka mengi. Na hawa ndio wataweka mambo hadharani
👇
1. Job Ndugai huyu atafunguka mengi maana inasadikika namna alivyog'olewa ni sababu alitaka kuleta kauzibe kwa wapiga madili.
2. Luhaga Mpina huyu atafunguka mengi sana huko mbeleni na hali ya hewa itachafuka.
3. Dk . Bashiru...
Tangu Rais Samia ameingia nchini leo asubuhi.
Ametoa hotuba mara mbili kupitia TBC.
Moja ni pale Kwenye hafla fupi ya mapokezi uwanjani Kilimanjaro, leo asubuhi.
Na nyingine ni pale AICC kwenye uzinduzi wa Royal Tour nchini jioni hii.
Mara zote Mheshimiwa Raisi amelipa kipaumbele suala la...
Wadau nimewawekea orodha happy chini nawewe uwe huru kuongezea
Tafadhali lugha ya staha itumike kujadili uzi huu maalumu
Karibuni
Vyombo vya udongo Kukaa kabatini na kutumika pale tu anapokuja mgeni
Kuoigia mswaki nje ya nyumba hasa nyuma
Kujisaidia haja ndogo kwenye ndoo au kopo mida ya...
Hapa chini ni Orodha ya Vipodozi vilivyo pigwa Marufuku
====
TANZANIA BUREAU OF STANDARDS
LIST OF BANNED COSMETICS
A “Cream” and “lotions” containing “Hydroquinone”
1. Mekako Cream
2. Rico Complexion Cream
3. Princess Cream
4. Butone Cream
5. Extra Clear Cream
6. Mic...
Msaada,
Kwanza kabisa, mimi ni muumini wa dini ya Kiisilamu, lakini naisoma Biblia hatua kwa hatu, Mistari ifuatayo imenichanganya sana kunako swala la Ubatizo. Inaaminika kwamba kila mtu huzaliwa akiwa ni muislamu hadi pale atapobatizwa ndio atakuwa Mkristo safi. Sasa ubatizaji nimeokutana...
Wakuu Kwema!
Kuna kasumba moja ambayo watu wasiotumia akili Yao kuchambua mambo wapo nayo, kasumba hiyo ni kudhani watu wanaoshinda Mtandaoni hawana kazi Jambo ambalo sio Kweli.
Lazima watu waelewe kuwa, Mtandaoni huwezi ingia pasipokuwa na Bundle, na wote tunajua Bundle ni pesa, Nani asiyejua...
Katika pekua pekua zangu, inaelekea kuwa Benki ya Dunia imesahau kuiweka Tanzania kwenye orodha ya low income countries. Yaani kwenye low income countries duniani hatuonekani na huko kwenye middle income countries nako hatuko. Sasa tutakuwa tuko wapi duniani? Mwenye kulijua hili atujuze.
---...
Herehoa Wakuu!
Baada ya kusoma orodha ya mataifa ishirini yanayoongoza Kwa furaha Duniani. Nikaona nami nilete orodha ya wilaya za watu wenye furaha hapa TANZANIA.
Ni Kama ifuatavyo;
1. Wilaya ya Morogoro Mjini.
Kama ulikuwa haujui Morogoro ndio sehemu pekee ambapo watu wake wanaishi Kwa...
Kwema Wakuu
Verbal intelligence -VI, ni ule uwezo wa mtu kuweza kupokea, kuchambua, kuchanganua, kutafsiri na kuelezea mambo Kwa lugha inayoeleweka. Uwezo wa kuitumia lugha vizuri.
Nimeona watu wengi wakimshambulia Fid Q Kwa kile walichokiita ametia aibu na kuharibu Heshima yake aliyoiweka...
Tajiri wa Urusi, Mmiliki wa Club ya Chelsea awekewa vikwazo, vikwazo hivyo vinahusu mali zote zilizo UK na Club ya Chelsea yahusika
Uuzwaji wa Chelsea umesitishwa kwa muda. Chelsea haitaruhusiwa kuuza, kununua wachezaji.
Chelsea haitaruhusiwa kuongeza mikataba ya wachezaji waliopo.
Chelsea...
Assalamu Alyekum!
Mwezi February ulikuwa mwezi wa wapendanao. Nikasema mwezi huo nitautumia kukutana na Mabazazi, washenzi, maharamia, wateka Manuwari na nyambizi, Pia nikakutana na wakata umeme, mabuzi, wazama uvinza, wanaapolo, wabambikaji, wanakemia na Aina zote za watu wapendao ngono...
Marekani imeuonya Umoja wa Mataifa kuwa ina habari kwamba Urusi ina orodha ya raia wa Ukraine wanaopaswa kuuawa ama kuweka kwenye kambi za mateso iwapo uvamizi dhidi ya Ukraine utatokea.
Haya ni kwa mujibu wa barua iliyotumwa kwa Mkuu wa Haki za Binaadamu wa Umoja wa Mataifa, Michelle Bachelet...
Wakuu Kwema!
Ifuatavyo ni orodha Rasmi ya Watu wanaopitia Maisha Magumu katika nchi yetu ya Tanzania.
1. Single Mother.
Moja ya kundi linalopitia maisha magumu hapa nchini Tanzania ni Dada zetu waliopata watoto kabla ya kuolewa.
Ugumu wa maisha yao unatokana na mtazamo wa jamii dhidi Yao, pia...
Hii ni orodha yangu. Tafadhali iheshimiwe
Ubora umepangwa kwa mfuatano wa namba:-
1. King Majuto (Pumzika Kwa Amani)
2. Mpoki
3. Joti.
Nimemaliza, prove my list wrong.
Orodha tayari
Uzi tayari
Over & out
Bye...
ORODHA YA WATUMISHI WALIOPATA VIBALI VYA UHAMISHO WA KUBADILISHANA VITUO VYA KAZI KUANZIA NOVEMBA,2021 – JANUARI,2022 Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI
Prof.Riziki Shemdoe ameridhia kufanyika kwa uhamisho wa watumishi 1544 wa kubadilishana vituo vya kazi kwenye Mamlaka za Serikali za MItaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.