pakistan

Pakistan, officially the Islamic Republic of Pakistan, is a country in South Asia. It is the world’s sixth-most populous country with a population exceeding 212.7 million people. In area, it is the 33rd-largest country, spanning 881,913 square kilometres (340,509 square miles). Pakistan has a 1,046-kilometre (650-mile) coastline along the Arabian Sea and Gulf of Oman in the south and is bordered by India to the east, Afghanistan to the west, Iran to the southwest, and China in the northeast. It is separated narrowly from Tajikistan by Afghanistan's Wakhan Corridor in the northwest, and also shares a maritime border with Oman.
The territory that now constitutes Pakistan was the site of several ancient cultures and intertwined with the history of the broader Indian subcontinent. The ancient history involves the Neolithic site of Mehrgarh and the Bronze Age Indus Valley Civilisation, and was later home to kingdoms ruled by people of different faiths and cultures, including Hindus, Indo-Greeks, Muslims, Turco-Mongols, Afghans and Sikhs. The area has been ruled by numerous empires and dynasties, including the Persian Achaemenid Empire, Alexander III of Macedon, the Seleucid Empire, the Indian Maurya Empire, the Gupta Empire, the Arab Umayyad Caliphate, the Delhi Sultanate, the Mongol Empire, the Mughal Empire, the Afghan Durrani Empire, the Sikh Empire (partially) and, most recently, the British Indian Empire. Pakistan is the only country to have been created in the name of Islam. It is an ethnically and linguistically diverse country, with similarly diverse geography and wildlife. Initially a dominion, Pakistan adopted a constitution in 1956, becoming an Islamic republic. An ethnic civil war and Indian military intervention in 1971 resulted in the secession of East Pakistan as the new country of Bangladesh. In 1973, Pakistan adopted a new constitution which stipulated that all laws are to conform to the injunctions of Islam as laid down in the Quran and Sunnah.A middle power, Pakistan has the sixth-largest standing armed forces in the world and is also a nuclear power as well as a declared nuclear-weapons state, the second in South Asia and the only nation in the Muslim world to have that status. Pakistan has a semi-industrialised economy with a well-integrated agriculture sector and a growing services sector. It is ranked among the emerging and growth-leading economies of the world, and is backed by one of the world's largest and fastest-growing middle class. Pakistan's political history since independence has been characterized by periods of military rule, political instability and conflicts with India. The country continues to face challenging problems, including overpopulation, terrorism, poverty, illiteracy, and corruption. Pakistan is a member of the UN, the Shanghai Cooperation Organisation, the OIC, the Commonwealth of Nations, the SAARC, the Islamic Military Counter Terrorism Coalition and the Major non-NATO ally.

View More On Wikipedia.org
  1. Mpwayungu Village

    Kenya, Pakistan, Peru, Djibouti, Ethiopia, USA, Somaliland waliwafukuza DP World kama mbwa

    Hizo nchi ziliwakataa hawa waarabu wa Dubai katakata na moja ya sababu kuu ni ulinzi wa nchi Yao kuwa hatarini na kuzuia ugaidi Mikataba ya DP World niyaukandamizaji ila sisi tumewachukua, ivi hii mikataba ingekuwa ni mizuri Why hizi nchi walikataa kuingia nao mikataba wengine walivunja kabisa...
  2. Yoda

    Pakistan na siasa za aina yake, uongozi huko ni jasho na damu

    Hili taifa miaka yote tangu kuanzishwa kwake huwa liko katika migogoro ya kisiasa. Mawaziri wake wakuu rasmi wote 18 waliowahi kuingia madarakani hakuna aliyewahi kumaliza awamu yake ya uongozi. Lazima moja kati ya kuuwawa, kupinduliwa, kuondolewa kwa kura ya kutokuwa na imani au kujiuzulu na...
  3. I

    Mchina anayetuhumiwa kwa kukufuru atiwa mbaroni nchini Pakistan

    Raia wa Uchina anayefanya kazi katika mradi wa umeme wa maji amekanusha madai yaliyotolewa na wafanyikazi wenzake wakidai alikufuru kwa kutoa maneno ya kashfa kwa Mungu na Mtume Mohammed hali iliyopelekea maandamano huku watu wakidai auwawe. Nchini Pakistan Madai ya kukufuru yamesababisha...
  4. M

    Pakistan wana bidhaa nzuri na bora, lakini tumekariri Dubai, Uturuki, China na Thailand

    Wakuu, Pakistan hua hatuitaji kibiashara wala hata bidha zao hatuzitaji lakini kiuhakika jamaa kwa viwanda vidogo na vikubwa nao sio haba. Bidhaa zao nyingi ni bora na za kiwango cha juu hivo ni muhimu sana kuelekeza macho nchi nyingine kama hizo, Nadhani tusiendelee kukariri sehemu ya...
  5. Wakusoma 12

    Raia wa Pakistan asiyejulikana anayeishi Marekani atoa msaada wa zaidi ya bilioni 60 kwa wahanga wa Tetemeko la Uturuki

    Wakuu haya ndiyo matendo makuu sasa, fanya mambo kisha unapotea. Mwanaume mmoja ametembelea ubalozi wa Uturuki nchini Marekani na kutoa msaada wa Dola za Kimarekani milioni 30 (zaidi ya bilion 60 za Kitanzani). Msaada huo ni kwa ajili ya huduma za kiutu kwa wahanga wa Tetemeko la Ardhi. Mtu...
  6. JanguKamaJangu

    TANZIA Rais wa zamani wa Pakistan, Pervez Musharraf afariki akiwa Dubai, mwili wake kurejeshwa nyumbani

    Musharraf ambaye alishiriki katika mapinduzi ya kijeshi kwenye Taifa lake Mwaka 1999 amefariki akiwa na umri wa miaka 79, Dubai alipokuwa akipatiwa matibabu baada ya kuugua kwa muda mrefu. Aliiongoza Nchi yake Mwaka 2001 hadi 2008 akiwa na rekodi ya kunusurika kuuawa mara kadhaa akiwa...
  7. BARD AI

    Shambulio la kujitoa Mhanga laua watu 59 wakiwemo Polisi waliokuwa Msikitini nchini Pakistan

    Kwa mujibu wa taarifa ya Waziri Mkuu, #ShehbazSharif shambulio hilo liliwalenga Polisi waliokuwa Ibadani katika #Msikiti ulioko ndani ya eneo la Makao Makuu ya Polisi na lenye ulinzi mkali Msemaji wa Hospitali iliyopokea waathirika wa Shambulio amesema walipokea maiti 59 huku wengine 157 wakiwa...
  8. JanguKamaJangu

    Pakistan: Watu 59 wauawa katika mlipuko wa kujitoa mhanga

    Mlipuaji wa Bomu hilo lililojeruhi watu 157 amefanya tukio hilo akiwalenga askari Polisi ambao ndio wamekuwa wakisali kwa wingi katika Msikiti uliopo Peshawar katika eneo linalotumiwa na Wanasalama wa makao makuu kwa ajili ya ibada. Waziri Mkuu wa Pakistan, Shehbaz Sharif amedai magaidi...
  9. Messenger RNA

    Mlipuko wa msikitini Pakistan: Takriban watu 32 wauawa baada ya mlipuko huko Peshawar

    Takriban watu 32 wameuawa katika mlipuko uliotokea kwenye msikiti mmoja katika mji wa Peshawar nchini Pakistan. Mlipuko huo ulitokea wakati msikiti huo ukiwa umejaa waumini na zaidi ya watu 150 kujeruhiwa. Sehemu ya jengo iliharibiwa, na maafisa wanasema watu wamezikwa chini ya vifusi.Wengine...
  10. MK254

    Magaidi 33 wa kidini wauawa Pakistan

    Magaidi 33 wa kiislamu ambao humpigania "mungu" wa waislamu wameuawa. Pakistani security forces have retaken a police station that was captured, killing all 33 hostage-takers, the defence minister has said. Islamist militants from the Pakistani Taliban seized the centre in the remote...
  11. MK254

    Magaidi wateka kituo cha kupambana na magaidi Pakistan

    Jamaa huwa wana mzuka sana, Wanateka taifa lenye zana za kinyuklia, ndio maana inapaswa Iran izuiwe kabisa kumiliki hayo madude, maana mataifa yanayoendeshwa kwa mizuka ya kidini ni hatari sana. DERA ISMAIL KHAN, Pakistan (Reuters) - Islamist militants seized a counter-terrorism centre in the...
  12. BARD AI

    Serikali ya Pakistan yatuma wapelelezi kuchunguza kifo cha mwanahabari Sharif nchini Kenya

    Serikali ya Pakistani imetuma maafisa watatu wakuu wa usalama nchini Kenya kuchunguza mauaji ya mwanahabari Arshad Sharif yaliyotokea siku ya Jumapili. Timu hiyo inajumuisha mkurugenzi wa Shirika la Upelelezi la Shirikisho Athar Waheed na naibu mkurugenzi mkuu wa Ofisi ya Ujasusi Omar Shahid...
  13. BARD AI

    Polisi Kenya wakiri kumuua kimakosa mwandishi wa Habari wa Pakistan

    Katika taarifa yake Jeshi hilo limeahidi kufanya uchunguzi na kuchukua hatua zinazostahili kwa wahusika waliompiga risasi Arshad Shariff. Mwandishi huyo alipigwa risasi kichwani baada maafisa kumfananisha na majambazi waliokuwa wakiwatafuta kwa madai ya kuiba gari jijini Nairobi. Kifo chake...
  14. Abdull Kazi

    The Convergence of the Narcotics Underworld and Extremists in Afghanistan and Pakistan and Its Global Proliferation Chapter Seven

    Chapter Seven Afghanistan’s Collapse and the Future of Counternarcotics By the autumn of 2021, the Taliban took complete control of Afghanistan as the government of Ashraf Ghani collapsed. This unfortunate series of events began with the signing of the Agreement for Bringing Peace to...
  15. JanguKamaJangu

    Waliofariki kwa mafuriko Pakistan wafikia 1,200

    Idadi ya Watu waliofariki kutokana na mafuriko Nchini Pakistan sasa ni zidi ya 1,200 huku mvua zikiendelea kunyesha na kuathiri wengine Milioni 33. Waziri Mkuu wa Pakistan, Shahbaz Sharif ametembelea maeneo yaliyoathirika kuona uokoaji na misaada inavyoendelea kutolewa, wakati ambapo hali ya...
  16. BARD AI

    Mafuriko yaigharimu Pakistan zaidi ya Tsh. Trilioni 23

    Taarifa iliyotolewa na Waziri wa Mipango, #AhsanIqbal inasema makadirio ya awali yanaonesha mafuriko makubwa yaliyoikumba nchi hiyo, yamesababisha uharibifu wa karibu Tsh. Trilioni 23. Tayari Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) limetoa msaada wa Tsh. Trilioni 2.5 kwaajili ya kukabiliana na...
  17. Lady Whistledown

    Pakistan: Watu takriban 1,033 wafariki kwa mafuriko, 1,527 wajeruhiwa

    Mvua kubwa na mafuriko yamesababisha vifo vya takriban watu 1,033, wakiwemo watoto 348, na wengine 1,527 kujeruhiwa huku jumla ya watu milioni 33 wakiathiriwa na janga hilo tangu katikati ya mwezi Juni Mamlaka ya Kitaifa ya Kukabiliana na Majanga nchini humo (NDMA) imeongeza kuwa watu 119...
  18. Miss Zomboko

    Pakistan yapiga marufuku matangazo ya mikutano ya Imran Khan

    Mamlaka ya udhibiti wa vyombo vya habari vya utangazaji ya Pakistan, PEMRA, imezipiga marufuku televisheni nchini humo kurusha matangazo ya moja kwa moja ya mkutano wa waziri mkuu wa zamani Imran Khan aliopanga kuufanya hii leo. Marufuku hiyo ilitolewa jana jioni, ikiwa ni siku ambayo Khan...
  19. Lady Whistledown

    Pakistan: Waziri Mkuu wa Zamani ashtakiwa chini ya Sheria ya Ugaidi

    Polisi nchini humo wamemfungulia mashtaka Waziri Mkuu wa zamani wa nchi hiyo, Imran Khan, chini ya sheria za kupambana na ugaidi kwa madai ya kutoa vitisho dhidi ya Maafisa wa Serikali. Mashtaka hayo ni siku moja baada ya Mwanasiasa huyo kushutumu Jeshi la Polisi kwa kumtesa Mwanachama...
  20. JanguKamaJangu

    Mafuriko yaua zaidi ya watu 50 Afghanistan, Pakistan

    Mafuriko yameua zaidi ya watu 50 katika Jimbo la Logar Nchini Afghanistan na sehemu ya Nchi ya jirani ya Pakistan huku baadhi ya watu wengine wakiwa hawajulikani walipo. Hasara nyingine ni nyumba zaidi ya elfu moja kuharibiwa, mazao yaliyokuwa shambani yameharibika, Wanyama wamepotea na wengine...
Back
Top Bottom