pakistan

Pakistan, officially the Islamic Republic of Pakistan, is a country in South Asia. It is the world’s sixth-most populous country with a population exceeding 212.7 million people. In area, it is the 33rd-largest country, spanning 881,913 square kilometres (340,509 square miles). Pakistan has a 1,046-kilometre (650-mile) coastline along the Arabian Sea and Gulf of Oman in the south and is bordered by India to the east, Afghanistan to the west, Iran to the southwest, and China in the northeast. It is separated narrowly from Tajikistan by Afghanistan's Wakhan Corridor in the northwest, and also shares a maritime border with Oman.
The territory that now constitutes Pakistan was the site of several ancient cultures and intertwined with the history of the broader Indian subcontinent. The ancient history involves the Neolithic site of Mehrgarh and the Bronze Age Indus Valley Civilisation, and was later home to kingdoms ruled by people of different faiths and cultures, including Hindus, Indo-Greeks, Muslims, Turco-Mongols, Afghans and Sikhs. The area has been ruled by numerous empires and dynasties, including the Persian Achaemenid Empire, Alexander III of Macedon, the Seleucid Empire, the Indian Maurya Empire, the Gupta Empire, the Arab Umayyad Caliphate, the Delhi Sultanate, the Mongol Empire, the Mughal Empire, the Afghan Durrani Empire, the Sikh Empire (partially) and, most recently, the British Indian Empire. Pakistan is the only country to have been created in the name of Islam. It is an ethnically and linguistically diverse country, with similarly diverse geography and wildlife. Initially a dominion, Pakistan adopted a constitution in 1956, becoming an Islamic republic. An ethnic civil war and Indian military intervention in 1971 resulted in the secession of East Pakistan as the new country of Bangladesh. In 1973, Pakistan adopted a new constitution which stipulated that all laws are to conform to the injunctions of Islam as laid down in the Quran and Sunnah.A middle power, Pakistan has the sixth-largest standing armed forces in the world and is also a nuclear power as well as a declared nuclear-weapons state, the second in South Asia and the only nation in the Muslim world to have that status. Pakistan has a semi-industrialised economy with a well-integrated agriculture sector and a growing services sector. It is ranked among the emerging and growth-leading economies of the world, and is backed by one of the world's largest and fastest-growing middle class. Pakistan's political history since independence has been characterized by periods of military rule, political instability and conflicts with India. The country continues to face challenging problems, including overpopulation, terrorism, poverty, illiteracy, and corruption. Pakistan is a member of the UN, the Shanghai Cooperation Organisation, the OIC, the Commonwealth of Nations, the SAARC, the Islamic Military Counter Terrorism Coalition and the Major non-NATO ally.

View More On Wikipedia.org
  1. Lady Whistledown

    Watu 20 wa Ukoo mmoja wafariki kwa ajali ya Mashua Pakistan

    Miili 20 imeopolewa na na takriban watu 30 hawajulikani walipo baada ya mashua iliyokuwa imebeba zaidi ya watu 100 wa ukoo mmoja kupinduka kwenye mto katikati mwa Pakistan. Boti hiyo iliyojaa mizigo ilikuwa ikielekea katika harusi ya kifamilia ilipopinduka katika Mto Indus katika wilaya ya...
  2. Gama

    Pakistan: Pendekezo la kupunguza unywaji wa chai - Serikali lawamani

    Waziri anayehusika na Mipango wa Pakistani amependekeza kuwa wananchi wapunguze unywaji wa chai kwa kuwa Serikali hutumia fedha nyingi kuingiza chai kutoka nje ya nchi, pendekezo hilo limesababisha hasira ya wananchi dhidi ya serikali na kusema kuwa uchumi umedorora kutokana na serikali kuwa na...
  3. beth

    Pakistan: Waziri awaomba wananchi kupunguza kunywa chai

    Wananchi wameshauriwa kupunguza unywaji wa chai ili kusaidia Uchumi wa Nchi. Waziri wa Mipango na Maendeleo, Ahsan Iqbal ametoa wito huo akisema, "Tunakopa ili kuagiza Chai, kunywa vikombe vichache kutashusha gharama kubwa za uagizaji" Inaelezwa kuwa, Akiba ya Fedha za Kigeni ya Pakistan...
  4. JanguKamaJangu

    Pakistan: Waziri Mkuu wa Zamani atangaza kufanya maandamano dhidi ya Serikali

    Waziri Mkuu wa Zamani wa Pakistan, Imran Khan ametangaza kuongoza maandamano ya amani ya kudai uchaguzi mkuu ikiwa ni muda mfupi tangu aondolewe madarakani kwa kupigiwa kura ya kutokuwa na Imani na Wabunge. Khan amewaomba wasuasi wake wa Chama cha Pakistan Tehreek-e-Insaf (PTI) na raia wote wa...
  5. Artifact Collector

    Pakistan ni nchi ngumu sana kuiongoza

    Tokea ipate uhuru Pakistan hakuna waziri mkuu aliyedumu kwa mda wa miaka 5, wengi wao ni miaka 4, 3 au siku kadhaa tu, hii inatokana na mfumo wao wa bunge ambao Mara nyingi unamuwih vigumu kwa mgombea kuwa na majority bungeni, hii inalazimisha kuunda serekali ya mseto ikitokea pande moja uhalali...
  6. John Haramba

    Waziri Mkuu Mpya wa Pakistan, Shebaz Sharif: Pakistan inapendelea zaidi Amani na Uhusiano wa kushirikiana na India

    Waziri Mkuu mpya wa Pakistan, Shebaz Sharif amesema nchi yake inapendelea zaidi amani na uhusiano wa kushirikiana na India, mtazamo ulioonesha kuchaguliwa kwake huenda kukatoa nafasi mpya ya kuwepo maelewano ya kidiplomasia kati ya nchi hizo mbili jirani zenye silaha za Nyuklia. Katika ujumbe...
  7. Lady Whistledown

    Shahbaz Sharif, Waziri Mkuu mpya Pakistan

    Bunge la Pakistan limemchagua Shahbaz Sharif kuwa Waziri Mkuu mpya wa nchi hiyo, baada ya Imran Khan kuondolewa madarakani kwa kura ya kutokuwa na imani naye mapema siku ya Jumapili Aprili 10, 2022. Kiongozi wa muungano wa upinzani ambaye alikuwa amefanya kazi ya kumwondoa Khan alipata uungwaji...
  8. Miss Zomboko

    Bunge la Pakistan kupiga kura ya kutokuwa na imani Waziri Mkuu Imran Khan

    Bunge la Pakistan linatarajiwa kukutana Ijumaa kwa lengo la kushiriki zoezi la kupiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu Imran Khan, katika kile kinachotazamwa kuwa ni wakati mgumu kwake tangu aingie madarakani 2018. Mapema mwezi huu muungano wa vyama vya upinzani nchini humo uliwasilisha...
  9. S

    "Mnatuchukuliaje? Watumwa wenu?" Waziri mkuu wa Pakistan awachana EU kwa kuishinikiza Pakistan kuilaani Russia

    Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan amewacha viongozi wa Umoja wa Ulaya kufuatia viongozi hao kuikosoa Pakistan juu ya msimamo wake wa kukalia kimya vita ya Russia nchini Ukraine. Pakistan imekuwa ktkshinikizo la kutakiwa kuilaani Russia kwa operesheni hiyo ya kijeshi nchini Ukraine ikizingatiwa...
  10. Miss Zomboko

    Pakistan yaanzisha sheria ya uhalifu inayolenga ukosoaji mtandaoni

    Serikali ya Pakistan imeanzisha sheria mpya ya uhalifu wa mtandaoni ambayo inaweza kuwafanya watumiaji wa mitandao ya kijamii kufungwa hadi miaka mitano jela kwa kuchapisha "habari za kughushi " kuhusu jeshi, mahakama au maafisa wa umma. Sheria hiyo iliidhinishwa na baraza la mawaziri la Waziri...
  11. Rumi96

    Msaada namna ya kusafirisha mzigo kwenda Lahore, Pakistan

    Wakuu! Habari ya majukumu. Naomba msaada wa kampuni ya usafirishaji kwenda Pakistan, gharama kwa mzigo wa nusu kilo, iwe kwa ndege au meli. Mzigo ni iliki. Natuma sample nusu kilo, akiipenda, nitatakiwa kumtumia kama kilo 100+. Natanguliza shukrani.
  12. Dr am 4 real PhD

    Donations to Temeke hospital from Pakistan community

  13. K

    Kampuni gani ya kusafirisha mizigo kutoka Pakistan kuja Tanzania?

    Habari wakuu! Kama title inavojieleza hapo juu napenda kufahamu ni kampuni gani ambazo zinajihusisha na kusafirisha mizigo kutoka Pakistan kuja Tanzania? Na kama zipo wanatumia njia gani ya anga ama?
  14. beth

    Pakistan: Tetemeko la Ardhi laua takriban 20 na kujeruhi zaidi ya 200

    Ripoti za awali zinasema takriban watu 20 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 200 kujeruhiwa kufuatia tetemeko la ukubwa wa 5.7 lililotokea mapema leo Kusini mwa Pakistan. Imeelezwa, idadi kubwa ya waliopoteza maisha ni Wanawake na Watoto ambao walikuwa wamelala. Majengo kadhaa yakiwemo ya...
  15. stakehigh

    CCM ni kati ya vyama vikubwa duniani (nyuma ya India, China, Pakistan na Uturuki)

    - Wanasema "NUMBERS DONT LIE": Katika list ya mwisho ya MAY 2020, wazi ikionyesha chama cha 10 duniani zenye wanachama kati ya mil 5 mpaka 50: lakini ikiwa ya 12 kwa jumla ya vyama vyote duniani https://en.wikipedia.org/wiki/List_of_largest_political_parties - CCM inapoendelea na sera zake...
  16. MK254

    Pakistan imports of Kenya tea rise 11pc

    Tea purchases by Pakistan, Kenya’s largest buyer of the product, rose by 11.4 percent to Sh3.9 billion in the first four months of the year. The increase in value comes at a time when Kenya is experiencing one of the worst price declines in the last 10 years, attributed to lower demand for the...
  17. Sam Gidori

    Pakistan: Zaidi ya watu 30 wafariki baada ya treni mbili za abiria kugongana

    Treni mbili za abiria zimegongana nchini Pakistan mapema siku ya Jumatatu na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 30, huku wengine zaidi ya 100 wakijeruhiwa. Treni moja, Millat Express ilitoka nje ya reli kabla ya kugongwa na treni nyingine, Sir Sayed Express. Haijafahamika mara moja...
  18. Mlaleo

    Kambi ya Iran nchini Syria yashambuliwa tena mara ya tatu ndani ya wiki moja na Israel - Wanajeshi wa Pakistan 18 wafariki

    Ni baada ya Balozi wa UN kudumu wa Israel Gilad Erdan kuliomba Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuwa Jeshi la Iran na wafuasi wake waondoke haraka sana nchini Syria kwani itawaangamiza wote Alielezea kwenye barua yake aliyomuandikia Mkuu wa Baraza hilo. Report: 19 pro-Iran fighters killed...
  19. Cannabis

    Raia wa Pakistan akamatwa kwa kuingia nchini kinyemela kwa kisingizio kuwa Tanzania hakuna Corona

    Idara ya uhamiaji mkoani Kagera inamshikilia mtu mmoja raia wa Pakstan aliyeingia nchini kinyume na taratibu akitokea nchini Uganda Baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kutangaza Tanzania ni salama na hakuna Corona. Akitoa taarifa hiyo kwa waandishi wa...
  20. MK254

    Pakistan sasa ndio inaongoza kwa kuagiza bidhaa kutoka Kenya, ikumbukwe na Marekani tunaingia nao mkataba

    Hongera na pongezi za dhati ziwafikie timu inayopambana kutafuta soko la mbali, hii muhimu sana maana humu EAC na Afrika ya kati wote tushawatia kwapani, sasa ni mwendo wa kuhakikisha na huko nje wote tunawaburuza. Pakistan ambao tunawauzia majani chai kwa wingi, uagizaji wao ulipandisha 19.37%...
Back
Top Bottom