Leo nilikuwa kwenye kampeni fulani Sinza, pale nyuma ya hospitali ya Sinza Palestina, nikapita njia nyuma na hospitali nikakuta kuna kibao kimeandikwa "USIPITE HAPA"
Kwa kuwa najua kusoma nikarudi nyuma, ila niliona kuna WANAJESHI
Swali langu ile njia kwa nini imefungwa?
NB: Nasikia ukipita...
Hellow,
Wakuu naomba kujuzwa kuhusu habari hii tajwa hapo juu ama kama kuna threads ilishawai kuzungumzia Palestina pamoja army power yake tafadhali.
Kuna mahala nilisikia kwamba Palestina hawana Jeshi zaidi ya Jeshi la Polisi pamoja na intelligence na kitengo cha kumlinda Rais.
Wajuzi wa...
Rais wa Mamlaka ya Palestina Mahmoud Abbas amesitisha mahusiano yote na Marekani na Israel, yakiwemo yanayohusiana na usalama, baada ya kuupinga mpango wa amani ya Mashariki ya Kati uliopendekezwa na Rais wa Marekani Donald Trump.
Abbas alikuwa mjini Cairo kuuhutubia mkutano wa dharura wa...
Nauliza tu ili niwe na uhakika sehemu za kupata huduma za kiafya niwapo wilayani Ubungo.
Nijuavyo Ubungo wana miundombinu mingi sana tena ya kisasa. Pale Mburahati kuna kituo cha kisasa kabisa cha polisi kadhalika panajengwa soko la kimataifa
Stendi kuu ya mabasi ya mikoani n.k, n.k...
Inabidi tuanze kujifikirisha tena kidogo kwa fikra yakinifu dhidi ya Faida na Hasara za Uhusiano wa kidplomasia na Mataifa yenye Migogoro ili tusije kuingia kwenye kaburi ya Halaiki lililochimbwa na Reputations za Migogoro hiyo kwa kuingia Kichwa kichwa. Leo Tunashuhudia Palestina wakitupa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.