paris

  1. Melubo Letema

    Kamati ya Olimpiki (TOC) wamuita Alphonce Simbu MUASI, kisa Mavazi ya mbio za Olimpiki Paris, Ufaransa

    Wakati Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa mstari wa mbele kuhamasisha na kukuza Michezo Tanzania ukiwemo wa riadha , ila kuna Vizee vilivyopo kwenye Kamati ya Olimpiki Tanzania (Tanzania Olimpic Committee ~ TOC) vinaendekeza hila na uzandiki wa kufikia kumuita mwanariadha wa kimataifa...
  2. Eli Cohen

    Unaweza kudhania hapa ni mmoja wa mtaa uliopo Rangi tatu ila hapa ni Paris

    Open borders my foot😏
  3. Waufukweni

    Rodri atua na magongo ndani ya Paris kupokea Ballon d'Or aliyoporwa Vinicius Jr

    Kwa mujibu wa ripoti, Rodri ameshinda tuzo ya Ballon d’Or na yuko Paris kupokea tuzo hiyo. Vyanzo vya habari Ulaya vinaripoti kuwa Vinicius Jr hatosafiri kuelekea Paris kuhuhudhuria tuzo za Ballon dor usiku wa leo kutokana na kuwa wamepata taarifa kuwa yeye sio Mshindi wa tuzo hiyo na hakuna...
  4. Waufukweni

    Vinicius Jr hatasafiri kwenda Paris kwa vile anajua "Hatashinda" Ballon d'Or mwaka huu

    Mchezaji nyota wa Real Madrid, Vinicius Jr, hatasafiri kwenda Paris kwa ajili ya hafla ya utoaji tuzo ya Ballon d’Or baada ya kujua hatashinda tuzo hiyo mwaka huu. Uongozi wa klabu hiyo umeamua kwamba hakuna mwakilishi yeyote wa Real Madrid atakayehudhuria hafla hiyo ya kifahari. Soma Pia...
  5. ESCORT 1

    Paris, Ufaransa: Hafla ya Ugawaji wa Tuzo ya Ballon d’Or - 2024

    Usiku wa leo, kuna hafla ya ugawaji wa tuzo za Ballon dor Kwa mara ya kwanza tuzo hizo hazitakuwa na majina ya Lionel Messi au Cristiano Ronaldo. Vinicius Junior wa Real Madrid anatajwa kama mshindi atakayetangazwa hapo baadae. Sambamba na kutangazwa kwa Mchezaji bora wa Dunia, pia...
  6. Mad Max

    Updates za Paris Motor Show 2024 (Tarehe 14 - 20 October)

    Paris Motor Show ni moja ya maonyesho makongwe ya magari (tokea mwaka 1898) yanayofanyika kila baada ya miaka miwili, ambapo makampuni mbalimbali ya magari yanaonesha magari yao mapya, concepts, teknolojia na vitu vingine vinavyohusiana na magari. Kwa mwaka 2024, zaidi ya makampuni ya magari...
  7. Nkobe

    Mpaka miaka ya 1960's Lebanon ilifahamika kama Paris ndogo ya Mashariki ya Kati

    Ukisoma historia ya Lebanon, hadi miaka ya 1960, ilikuwa nchi ya Wakristu. Kama ilivyo kawaida kwa jamii za Kikristu, Focus yao kubwa ilikuwa ni elimu, kusali na kufanya kazi kwa bidii, hii iliifanya Beirut kuitwa Paris ndogo. Kosa lililofanyika ni kuruhusu Wasiria na Wapalestina kuhamia na...
  8. K

    Felix Simbu: Nilikuwa siijui Njia vizuri kwenye Olympic Paris 2024

    Nimemskia mwanariadha wetu Felix Simbu Clouds Fm akisema alikuwa haijui njia vizuri alikuwa anakimbia tu kuwafuata wengine na akafanikiwa kumaliza nafasi ya 17 kwenye Marathon. Huyu jamaa siyo mara ya kwanza kuleta vimbweka C.c GENTAMYCINE Serikali imkamate na kumuhoji Felix Simbu kwa...
  9. Mkalukungone mwamba

    Wanariadha watatu wa DR Congo wametoweka tangu Jumapili siku ya mwisho ya michezo ya 33 ya Olimpiki

    Wakati sherehe za kufunga michezo ya Olimpiki zikifanyika mjini Paris, wanariadha watatu wa DR Congo wametoweka tangu Jumapili hii, siku ya mwisho ya michezo ya 33 ya Olimpiki. Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ilishiriki katika matukio manne (Judo, kuogelea, riadha na ndondi) nchi hiyo...
  10. o_2

    Tanzania tunakwama wapi kutengeneza wakina Beatrice Chebet kama ilivyo Kenya?

    Kushinda aje? Baada ya mizunguko yangu ya leo, nimerudi magetoni nawasha Tv supersport 9 nakutana na highlights za mashindano mbalimbali ya olimpiki yanayoendelea nchini Ufaransa katika jiji la Paris. Ghafla nakutana na mdada BEATRICE CHEBET kutoka Kenya. Ameshindana marathon M 5,000 na M...
  11. BLACK MOVEMENT

    Kule Paris Ufaransa ndiko Utalii unako Tangazwa haswa, kuliko ile Royal tour, Serikali iko busy na Yanga na Simba

    Sababu ni kwa nini Kenya inapokea watalii wengi pamoja na kuwa na vivutio vichache ni kwa sababu ya kinacho endelea Paria Ufaransa. Mashindano ya Olyimpic ni moja ya sehemu ya nchi kujitangaza bure kabisa huku Duniani, Ila Tanzania hatuyapi umuhimu kwa sababu hakuna wajinga wa kubeba mabango ya...
  12. USSR

    Isingekuwa tax za Paris Mzee Kipchoge alikuwa anafia huko

    Kwenye mbio za marathon kidunia huyu Eliud Kipchoge ndio GOAT anacho kila kitu anazo dhahabu,mshaba na fedha Sio Olympic, commonwealth na kadhalika kote amepita na umri umemtupa mkono , kitendo cha kukomalia lazima akimbie mbele ya damu changa kimemtia aibu baada ya kuonekana hakuwa hata na...
  13. Valencia_UPV

    Bombardier ipeleke Medali za Tanzanite Paris

    Katika kuwaenzi na kuwapongeza wanamichezo wetu huko Olimpiki NI wakat sasa Bombardier ipeleke Medali za Tanzanite Paris bila kukosa.
  14. Melubo Letema

    Timu ya Taifa ya Riadha Olimpiki yatua Dar, kesho kupaa Paris, Ufaransa

    Pichani : Kutoka kushoto ni Magdalena Shauri, Gabriel Gerald Geay , Jackline Sakilu na mwisho ni Nahodha Alphonce Felix Simbu. TIMU ya Taifa ya Riadha itakayoiwakilisha Tanzania katika michezo ya Olimpiki Paris 2024, imewasili jijini Dar es Salaam leo Agosti 6 ikitokea kambini jijini Arusha...
  15. The Legacy

    Kama ni Mpenzi wa Basket Ball,Angalia super sport 3.Bonge la game USA Vs South Sudan-Olympics in Paris

    Ni game Kali Wote wanamiili mikubwa na warefu. Enjoy the game
  16. Lady Whistledown

    The Olympic men's individual triathlon at Paris 2024 has been postponed

    The Olympic men's individual triathlon at Paris 2024 has been postponed after tests revealed water quality in the River Seine did not reach the required standard. The race was due to start at 07:00 BST (08:00 local time) on Tuesday and will now take place on Wednesday at 09:45 (10:45 local...
  17. JanguKamaJangu

    Paris 2024 Olympics basketball: Opals suffer shock defeat to Nigeria in opener

    Timu ya Wanawake ya Kikapu ya Australia imepata matokeo ya kushtua baada ya kufungwa Vikapu 75-62 dhidi ya Nigeria kwenye Uwanja wa Pierre Mauroy Jijini Lille. Mchezo ujao wa Australia “The Opals” itacheza dhidi ya Ufaransa
  18. USSR

    Nani ameiroga Afrika, Zimbabwe imetuma wanamichezo 9 na viongozi 67 Paris kwenye mashindano ya Olympics

    Wakati wakipita juu ya mto wakiwa kwenye boti kila mmoja alijiuliza mbona wengi sana baadaye inatoka taarifa kuwa wanamichezo ni 9 na ma-afsa wa serikali kutoka wizara mbalimbali ni 67 na watakaa kwa siku 16 zote za olimpiki hapa paris. Sijajua Bongo aka nchi ya kitu kidogo tumepeleka wangapi...
  19. Yoda

    Msafara wa Zimbabwe kwenda Paris katika Olympics wazua gumzo

    Msafara unasemekana ni mkubwa kuliko ukiwa na maafisa 67 na wachezaji 7 tu! Msafara wenyewe unaongozwa na makamu wa Rais pamoja mke wake! Waafrika weusi akili zetu tunazijua wenyewe.
  20. JanguKamaJangu

    Andy Murray kustaafu kucheza tenesi baada ya Paris Olympics

    Andy Murray Andy Murray (37) anatarajiwa kucheza katika michezo ya mmojammoja (Singles) na wawiliwawili (doubles) kwenye Michezo ya Olimpiki itakayofanyika Julai 27 – Agosti 2, 2024 Nchini Ufaransa ambayo itakuwa ya Tano kwake Murray ambaye mara yake ya kwanza kucheza Olimpiki ilikuwa Mwaka...
Back
Top Bottom