paris

  1. Miss Zomboko

    Maelfu ya maafisa wa polisi wametawanywa Paris kukabiliana na waandamanaji wanaopinga kuanzishwa pasi maalumu ya afya kwa waliochanjwa

    Maelfu ya maafisa wa polisi wametawanywa kote mjini Paris kukabiliana na waandamanaji wanaopinga kuanzishwa pasi maalumu ya afya kwa wale waliochanjwa dhidi ya virusi vya corona. Zaidi ya polisi 3,000 na maafisa wa usalama wameuzunguka mji mkuu wa Ufaransa Paris Jumamosi wakati maelfu ya...
  2. Don YF

    Uhuru did not ink Sh16bn JKIA rail contract in Paris

    Safi sana!👍 Kibinafsi I didnt see the viability of this project anymore when expressway was initiated and is on steroids right now, running concurrently na rail! How was it going to get value for money in the near term basis? Wacha French waendelee na Mau Summit - Nakuru Highway, makes more...
  3. Mnyuke junior

    Wijinaldum amesaini mkataba na PSG, miamba ya soka ya jijini Paris, Ufaransa

    Wijinaldum amesaini mkataba na miamba ya soka ya jijini paris ufaransa (PSG) kuitumikia mpaka juni 2024. Ikumbukwe Barcelona walikuwa na nafasi kubwa ya kumpata mchezaji huyu lakini akabadili na kwenda kusaini kwa miamba hiyo ya Paris.
Back
Top Bottom