Habari wanajamvi,
Nina safari ya kwenda nchi jirani wiki ijayo. Nataka kwenda na familia. Binafsi nina passport kubwa (electronic). Sasa mama watoto anahitaji ya kwake (naambiwa siku hizi ni one time use), na nina mchakato wa kumtafutia kesho.
Mtoto ambaye ni chini ya mwaka mmoja inakuaje...
The move to have an East African Community (EAC) international passport has hit a snag in Uganda after MPs blocked it over its legality and the cost to users.
In 2016, EAC leaders agreed to upgrade the EAC passport from a regional to an international document, with Kenya and Tanzania launching...
Mi swali langu limenyooka sana. Umihimu wa kuwa na kitambulisho cha NIDA ni nini?
Maana tukienda kutengenezesha Passport mpya tunahitajika ku wasilisha vyeti vya kuzaliwa na vinginevyo.
Mimi kwa akili yangu nilikuwa nafikiria kuwa tukishapata Kitambulisho cha NIDA basi tena kutakuwa hakuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.