Wakuuu Niajeeee,
Kuna hizi tabia za baadhi ya watanzania,
Hata ukiwa umepotea ukajikuta sehemu huielewi, baaaasi ujue hapo upo bongoland, Haina kuuliza,
Oky let's get it started.......
1.MASIKINI KUMCHUKIA MASIKINI MWENZIE
Masikini anamchukia Sana masikini mwenzake awe amepata au awe hajapata...