Mwanamke, mwanamke, mwanamke, mwanamke, mwanamke.
Kuna mamilioni ya wanaume ndoto zao zilikufa kwa sababu ya wanawake, na kuna mamilioni ya wanaume ndoto zao zilisonga na kufanikiwa kwa sababu ya wanawake. Mpaka leo sijaoa, sijaoa kwa sababu sijaona sababu ya kufanya hivyo kwanza.
Naona ndoa...
Waislamu duniani mara zote wanapopatwa na shida walitegemea wapate utetezi wa hali ya juu kutoka kwa utawala wa Saudi Arabia kwanza kabla ya kwengine kokote.Misaad hiyo ingeweza kuwa ya kimali,kijeshi na hata kauli za kisiasa.
Kinyume chake mara zote kumetokea maangamizi mabaya kwa waislamu bila...
PEPO LA UMASKINI
Ukiwa huna pesa unakua na mawazo mengi ya maendeleo na unatamani Mungu apitishe walau ka laki mikononi mwako.
Mungu akileta laki, unagundua kua dagaa sio mboga, ni vichoma Koo na kisamvu kina aina Fulani ya sumu inayo ua seli za mwili, hivyo una resolve kula hotelini...
WAKATI Simba ilionekana kama imekosea kuwasajili Victor Akpan na Nassor Kapama katika dirisha kubwa lililopita la uhamisho, hatimaye Januari ikafika. Mtu mmoja mwenye busara zake akaishauri Simba iongeze mchezaji wa kiungo baada ya Akpan na Kapama kuonekana hawafahi.
Mtu huyo akawasiliana na...
Pepo la Umaskini
Pepo la mikosi
Pepo la kukosa ndoa
Pepo la kuzalia nyumbani
Pepo la ugumba
Pepo migogoro na mafarakano
Pepo la wizi, utapeli na udanganyifu
Pepo la madeni na mikopo isiyolipika nknk
Haya mapepo hutembea na vizazi mpaka cha tatu ama cha nne.. Unapoona kwenye familia yako kuna...
Wakuu nawasalimu.
Baada ya kutaka kujiua kwa mzigo wa madeni nilienda kwa mganga mmoja Mbeya akaangalie shida kwangu ni nini na anipe msaada nifunguke.
Ajabu ni kuwa mganga ambaye kila wakati huwa anapandisha pepo linalomsaidia kutambua matatizo ya watu ameshindwa kuliita pepo na akaniambia...
MSURURU wa visa vya mauaji ya kutisha na vituko vingine vya ajabu vinavyoendelea kuripotiwa katika eneo la Gusii, umeibua hofu tele miongoni mwa wakazi na Wakenya kwa ujumla.
Viongozi wa kidini na wazee wa Baraza Kuu la Jamii ya Abagusii wanaungama kuwa, iwapo hatua za haraka hazitachukuliwa...
Yaani pisi hata iwe kali vipi nikiigonga mara mbili tu naiona ya kawaida sana,siitafuti tena mpaka initafute.
Huwa nashangaa kuona watu wapo kwenye mahusiano miezi kadhaa au miaka kadhaa,mnawezaje?
Nadhani hili ni pepo mnaosali kwa Mwamposa vipi hili linaweza kukemewa au ndio nitaambiwa acha...
Alhamdulillah ijumaa imeingia tayar na ningependa tukumbushane mawili matatu ili tujiweke tayari kukutana na hiyo siku ya Mwisho tukiwa tumeridhiwa na Mwenyezi Mungu.
Firdaus ndio pepo ya juu zaidi kuliko zote Kwa maana nyingine hii ndio pepo ambayo ni first class,na hii watairithi Mitume na...
Kumekuwa na sintofahamu katika namna ya kushughulikia Hawa vibaraka wa ibirisi. Mapepo Kwa aina zake.
Makosa ambayo nayaona.
1: Watu wanaomba na mapepo, Tena wanapiga na Magoti na kufumba macho.
Hakuna hiyo scene kwenye maandiko. Hatuombei mapepo tunayafukuza. Yakikomaa na sisi tunakomaa Hadi...
Bwana Yesu akitoa mamlka kwa kila Muumini kushughulika na vijini/pepo.
Ni utapeli kuwageuza waumini watuhumiwa wa mapepo alafu eti kuna MTU mmoja star. Ndiye anayeyatoa.
Kwa Mujibu wa Yesu hii ni KAZI mdogo kuliko zote kanisani na inafanywa na muumini tu. Tena ilitakiwa watoanie mapemo huko...
Rais sema tu kuwa kuanzia sasa hakuna Wanafunzi wa Vyuo Vikuu kukopeshwa Pesa na kwamba kuanzia sasa Wanafunzi wote wenye Sifa za kwenda Chuo Kikuu Serikali itawasomesha bure na kuwapa 100% ya Mahitaji yao.
GENTAMYCINE nimekuomba hili nikijua kuwa liko ndani ya Uwezo wako, Uchumi unaruhusu na...
Habari zenu wanafamilia wa JamiiForums? Ni imani yangu kuwa mu bukheri wa afya na mnaendelea kushiba chakula cha maandishi kinachopikwa asubuhi, mchana na jioni na waandishi chipukizi kwenye jukwaa letu pendwa la uandishi wa mtandaoni wenye kuleta mabadiliko yaani "Stories of change".
Hakika...
Nimekuwa nikitafta namna ya kumhoji shetani!
Lakini rasimi kafunguka! Kasema kwamba baadhi ya mambo mengi binadamu tunamsingizia shetani!
Mfano:
Anayekufunga kwa hira ni Binadamu mwenzako tena kutwa yupo kanisani
Anayewanyima haki binadam wenzake ni binadamu huyuhuyu aliyeapa kwa katiba...
Huyu ni rafiki yangu tangia zamani na mpaka leo tupo karibu, tunafanya nae kazi shirika moja na ni moja ya marafiki zangu wachache ambao tumejuana muda mrefu.
Sasa huyu rafiki yangu anapenda sana muziki kuucheza tangu sekondari, huko chuo ndio kabisa alikuwa mzee wa disco sana, na hata...
Habari wadau?
Kwanza naomba ieleweke lengo la hoja hii ni kuelimishana.
Nilikuwa nasikiliza mawaidha ya Sheikh, ambaye bahati mbaya sijaweza mpata jina, akielezea juu ya maisha baada ya kifo. Ujumbe wake ni kuwa wanadamu watii maamrisho ya Mungu, huku wakiahidiwa pepo yenye maisha ya starehe...
Tulikuwa wapenzi miaka kadhaa nyuma.
Tukaachana kwa amani.
Majuzi tukakutana ghafla tena,
Yeye akiwa Kaolewa na Vitoto viwili vizuuriii pacha.
Kiukweli kapendeza hadi Udenda unanichuruzika.Ila, nikawa nashindana na shetani wa matamanio,
Shetani shindwa!!
Lawama kibao ananimwagia;
"una tabia...
Iphone tunatumia lakini kuna mambo mengine ya apple tunajikaza tu, ni ya kiduwanzi ile mbaya, kimoja wapo ni hili jinamizi la iTunes, msema kweli mpenzi wa Mungu.
Nenda apple app store download VOX.
Hili li iTunes la Apple eti ukicheza playlist mwimbo wowote inaanzia ulipoishia mara ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.