pepo

  1. M

    Kemea Pepo la Mapingamizi

    Kwa kawaida kwenye ibada wanazo shiriki wengi, kunakua na vipindi mbalimbali. Kuna praise and worship, kuna mahubiri, kuna maombezi na kadhalika na kadhalika. Upande wa siasa, waungaji mkono wa zile juhudi wamemaliza kipindi Peaise and Worship! Wanaounga mkono sasa hivi wapo kwenye kipindi...
  2. Maleven

    #COVID19 Mtazamo, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Serikali na Wananchi kuhusu Ugonjwa wa Corona - COVID-19

    Uzi huu ni mrefu. Ukichangia naomba ujikite Zaidi katika kutoa maoni yako lakini kukosoa kunaruhusiwa. Binafsi nadhani maamuzi haya yangechukuliwa mwezi mmoja uliopita pale Waziri Mkuu alipotangaza kuzifunga shule na vyuo, lakini haikuwa hivyo badala yake shule zilifungwa kisha hakukuwa na...
  3. Hismastersvoice

    Askofu Gamanywa: Pepo la kuasi liko ndani ya vyama vyote vya siasa siyo upinzani pekee

    MEZA YA BUSARA WAPO RADIO ipo hewani muda huu ni vizuri kuiskiliza, leo imekuja na hoja kuwa Upinzani ni uasi. Huku ni kipindi maalum kilichozinduliwa na Polepole wiki iliyopita mahsusi kwa kampeni za uchaguzi kwa CCM.
  4. sabuwanka

    Miaka 16 imetimia tangu nilishinde pepo la uvutaji bangi na punyeto

    Leo Ni siku ya jumapili ya mwisho wa mwezi January, napenda kuchukua nafasi hii kuongea na vijana, mtakumbuka miaka ya 1990 ni kipindi ambacho vijana wa shule ya msingi walikuwa vidume.... Vidume vikongwe vikiwa vinasoma msingi....na Mimi nikiwa kijana mdogo nilijifunza tabia zao ikiwemo kuvuta...
  5. J

    Mzee Lowassa awatakia uchaguzi mwema CHADEMA. Zikutanapo pepo za Kaskazi na Kusi hutokea kisulisuli!

    Mgombea urais wa CHADEMA mwaka 2015 amekitakia chama chake cha zamani uchaguzi mwema na kuwakumbusha kuwa zikutanapo pepo za Kaskazi na Kusi unaweza kuupata upepo wa kisulisuli. Siasa sio uadui Maendeleo hayana vyama!
Back
Top Bottom