petrol

Gasoline () or petrol () (see the etymology for naming differences and the use of the term gas) is a transparent, petroleum-derived flammable liquid that is used primarily as a fuel in most spark-ignited internal combustion engines. It consists mostly of organic compounds obtained by the fractional distillation of petroleum, enhanced with a variety of additives. On average, a 160-liter (42-U.S.-gallon) barrel of crude oil can yield up to about 72 liters (19 U.S. gallons) of gasoline after processing in an oil refinery, depending on the crude oil assay and on what other refined products are also extracted.
The characteristic of a particular gasoline blend to resist igniting too early (which causes knocking and reduces efficiency in reciprocating engines) is measured by its octane rating, which is produced in several grades. Tetraethyl lead and other lead compounds, once widely used to increase octane rating, are no longer used in most areas (they are still used in aviation
and off-road and auto-racing applications). Other chemicals are frequently added to gasoline to improve chemical stability and performance characteristics, control corrosiveness, and provide fuel system cleaning. Gasoline may contain oxygenating (oxygen-enhancing) chemicals such as ethanol, MTBE, or ETBE to improve combustion.
Gasoline can enter the environment uncombusted, both as liquid and as vapor, from leakage and handling during production, transport, and delivery (e.g., from storage tanks, from spills, etc.). As an example of efforts to control such leakage, many underground storage tanks are required to have extensive measures in place to detect and prevent such leaks. Gasoline contains known carcinogens. Gasoline emissions are estimated to cause over 100,000 premature deaths every year. Burning a liter of gasoline emits about 2.3 kg of CO2 contributing to human-caused climate change.

View More On Wikipedia.org
  1. G

    Kikao cha wadau wa Petrol

     Nimeikuta maharishi Kikao cha dharura kati EWURA na waagizaji wa mafuta hakijafua dafu baada ya kutawaliwa na shutuma dhidi ya mkurugenzi wa EWURA na waziri wa nishati na jinsi wanavyojaribu mfumo mzima wa bulk procurement na upendeleo na rushwa zinazofanywa kuwapa watu vibali...
  2. Mparee2

    EWURA Kuondoa ushindani kwenye Petrol ni sawa?

    Binafsi sioni kama ni sawa kuondoa ushindani kwenye bidhaa (kibiashara) Nilitamani EWURA watoe bei Elekezi ya juu, ila bei ya chini waache kila mtu ajipangie Tumeona hii ikifanyika kwenye ada za Shule za private nk Kuna vituo vya mafuta vyenye uwekezaji mkubwa na wanamitaji mikubwa hivyo...
  3. REJESHO HURU

    EWURA tuambieni ukweli ni upi kuhusu upungufu wa mafuta ya petrol wiki ijayo

    Mod usifute huu uzi na upaste kama ulivyo andikwa kigogo media Kiburi cha rushwa ,uhuni na ujeuri wa EWURA na waziri wa nishati wafikisha mgogoro wa upungufu wa mafuta ngazi za juu serikalini, chanzo chetu ndani ya EWURA kinatujulisha asubuhi na mapema leo hii. Baada ya kuona nchi inaingia...
  4. GISAMBO

    INAUZWA Pressure washer petrol

    Rated voltage/Fre: 220V/50Hz Engine:KM170F/212CC/70*55mm Motor speed: 2800rpm Rated pressure: 2465PSI Max, pressure:2700PSI Flow: 9L/MIN Alternator: Copper Aluminum pump head Plastic pressure pipe and gun Dsm - kimara Call 0686449612 650,000
  5. Mjuzi Wenu

    Wafungaji wa mfumo wa gas asilia (CNG) kwenye magari ya petrol na diesel

    Kutokana na gharama za mafuta kupanda juu. OKEMI technical services tumekuja na huduma ya kufunga mfumo wa gas fuel kwenye magari yote yanayo tumia diesel na petrol Gas fuel ina gharama nafuu kwa kulinganisha petrol na diesel, kwa kutumia gas fuel system unaweza kupunguza gharam za manunuzi ya...
  6. Mjuzi Wenu

    Wafungaji wa mfumo wa gas fuel kwenye magari ya diesel na petrol

    Kutokana na gharama za mafuta kupanda juu. OKEMI technical services tumekuja na huduma ya kufunga mfumo wa gas fuel kwenye magari yote yanayo tumia diesel na petrol Gas fuel ina gharama nafuu kwa kulinganisha petrol na diesel, kwa kutumia gas fuel system unaweza kupunguza gharam za manunuzi ya...
  7. Dr Akili

    Mpango wa waziri Makamba wa kupunguza bei ya petroli kwa 75% na Tanzania kuwa petrol hub umeishia wapi?

    Ni zaidi ya mwaka mmoja sasa tangia waziri wa nishati, Mh. January Makamba, atangaze mpango wa serikali utakaoiwezesha nchi yetu kuwa petrol hub itakayokuwa inasambaza mafuta haya kwa nchi nyingi za SADEC na Afrika Mashariki. Mpango ulikuwa kwa kushirikiana na nchi rafiki za OPEC+ kujengwa kwa...
  8. Iziwari

    Umeshawahi kusikia kidonge cha kupunguza matumizi ya mafuta kwenye gari na vyombo vya moto. Kimekufikia

    kidonge kinaitwa Govvi petrol pill Kimeshatumika sana duniani na kimeshafanyiwa tafiti nyingi na kuonekana kuwa kinafanya kazi. Uki youtube au ku google kidonge hiki utakikuta kinajulikana sana. Na sasa kuna watu hapa Tanzania wanakitumia. Utaweka petrol kidogo kwenye gari au chombo chako cha...
  9. B

    Kigogo anaposhindwa kutoa sababu ya unafuu Petrol Zanzibar

    Habari hii ina ukakasi wa kutosha: Ni vipi makamu wa rais kushindwa kutoa sababu bayana kwanini bei za mafuta Zanzibar, ni chini kuliko bara kwahakika inashangaza.
  10. Narumu kwetu

    Marekani kuanza kusitisha uzalishaji wa magari yanayotumia petrol kuanzia2035

    Wenzetu wako mbele sana ,wakati sisi tunapambana na tozo. Jimbo la California ndilo ltaanza na hiyo program ,sidhani kama mbeleni vitukuu vyetu vitaendesha magar ya mafuta. California has laid out an audacious goal: In 13 years, it should no longer be possible anywhere in the state to buy a...
  11. Suzy Elias

    Petrol imeadimika mno tokea jana

    Vilio kwa ndugu na jamaa hasa bajaj,bodaboda na gari nyingi zinazotumia mafuta ya petrol ni kikubwa kuanzia jana. Mfano eneo la kuanzia Moshi mjini hadi Arusha kuanzia jana ni vituo vichache mno vilivyokuwa na mafuta ya petrol! Vilevile muda huu kwa mujibu wa mimi mwenyewe nikiwa hapa mji wa...
  12. Samatime Magari

    Jua tofauti ya Unleaded na Super/Premium Unleaded Petrol

    Nakujuza Ili siku nyingine ukiona hii usitoe macho kama Jamaa wa Masters aliyeapply kazi ya sensa na akakosa, kabla hatujafika mbali unatakiwa kujua unleaded petrol ni petrol isiyokuwa na kiambata [additive] cha lead... . Hiki ni kiambata ambacho kilikuwa kinaongezwa kwenye Petrol ili kuongeza...
  13. Magazetini

    Bungeni: Mjadala wa dharura kuhusu kupanda kwa bei ya mafuta nchini. Mbunge asema tozo mbili zinaongeza 792 kwenye bei

    Leo May 5, mbunge Kilindi, Omary Kigua ametoa hoja ya kuahirisha shughuli zake za kawaida ili kujadili dharula ya ongezeko la bei ya mafuta. Kigua amesema kuna changamoto ya kupanda kwa haraka sana kwa mafuta ya taa, dizeli na petroli ambapo hivyo vikipanda ni kimepandishwa kila kitu na...
  14. Trubarg

    Petrol na diesel Tanzania ni ghali kuliko Kenya

    Uchunguzi wangu mdogo inaonyesha kwamba kwa mwezi huu wa Mei Dar ✅Petrol ni Sh. 3100+ ✅Diesel Sh 3200+ Nairobi ✅Petrol 144+ Ksh=2884Tsh ✅Diesel 125.5= 2503Tsh. Mombasa ✅Petrol Ksh. 142=2850Tsh ✅Diesel Ksh. 123=2463Tsh Bado sijaelewa sababu ya hii difference ilihali wote tunasingizia vita ya...
  15. sky soldier

    Majirani Wakenya, bei za mafuta Tanzania zimepanda 157.6 - 168.3 petrol & 163.2 - 169.7 diesel. Kwenu vipi?

    hizi bei zimeanza kutuchoma kama pasi wenye vipato vya kawaida hali ipo vipi kwa Kenyatta huko? Petrol 3,148 tshs / 157.66 kshs >>> 3,361 tshs / 168.3 kshs Disel 3,258 tshs / 163.2 kshs >>> 3,390 tshs / 169.78 kshs
  16. C

    Hivi wauza mafuta / (petrol, dizeli) ni akina nani nchi hii?

    Wana JF, Wananchi.. Hili ni swali... Hebu tusaidiane hapa kujua kiunaga ubaga, hawa wauza mafuta Tanzania ni akina nani.. Yani wale wa jumla, na wa rejareja (hizi petrol stations) Nalenga hasa kupata wenye hisa/ au wamiliki, na marafiki zao... Naomba tusaidiane tujue kwa sababu, si kosa...
  17. Mparee2

    Kiwanda cha kusafisha Petroli Kigamboni

    Hivi tuna mkakati wowote wa kufufua kiwanda cha kusafisha mafuta Kigamboni au Pengine kujenga kingine Kipya kule bandari yaTanga Ili kiende sambamba na Ukamilishaji wa Mradi mkubwa wa Bomba la mafuta ghafi kutokea Uganda Nauliza tu isijekuwa tuna subiri mafuta yapite hapa kwetu yaende Arabuni...
  18. Meneja Wa Makampuni

    Nilitegemea kipindi kama hiki viongozi washauri baadhi ya Watanzania kutumia gesi asilia badala ya petrol kwenye magari

    Ili kupunguza gharama za maisha nilitegemea kipindi kama hichi viongozi washauri baadhi ya watanzania kutumia gesi asilia badala ya petrol kwenye magari. Gesi asilia (CNG) ni nishati ambayo hutumiwa kama mbadala wa petroli kwenye magari. Vilevile hutumiwa kama mbadala wa dizeli pia. Mfano...
  19. Mparee2

    Mtazamo: Tanzania haina wafanyabiashara wa Petroli

    Kwa mtazamo wangu Tanzania haina wafanya Biashara wa Petrol bali ina wasambazaji wa Petrol Hii ni kwa sababu, Petrol inanunuliwa kwa usimamizi wa serikali, inapangwa bei na Serikali, wasambazaji wanachukua kupeleka vituo vya mafuta kuisambaza kwa bei waliyo pangiwa na Serikali (kama MSD inavyo...
  20. J

    Bei ya Petrol Ngara yafikia 5000 kwa lita. Mamlaka ya Maji yashindwa kutoa huduma

    Wilaya ya Ngara mkoani Kagera inakumbana na changamoto ya ukosefu wa bidhaa ambapo sasa lita moja ya Petrol inauzwa tsh 5000. Wakati hayo yakijiri, mitambo ya kusuma maji imezimwa kwa siku tano sasa kutokana na upungufu wa umeme. Kwa upande wa mafuta ya magari, vituo rasmi vya kuuza bidhaa...
Back
Top Bottom