Anahitajika Bachelor Pharmacist mwenye leseni kusimamia Phamarcy
Location: Dar es Salaam
NOTE : SIO LAZIMA YEYE KUWEPO PHYSICALLY
SALARY : NJOO NA DAU LAKO
Mawasiliano: 0767810030
Anahitajika Bachelor Pharmacist mwenye leseni kusimamia Phamarcy
Location: Dar es Salaam
NOTE : SIO LAZIMA YEYE KUWEPO PHYSICALLY
SALARY: NJOO NA DAU LAKO
Mawasiliano: 0767810030
Habari wana JF,
Nina rafik yangu alisoma CBG akapata division II ya 12, baada ya hapo akaenda kusoma clinical medicine akapata GPA ya 4.2.
Sasa anaomba msaada je akitaka kusoma Bsc pharmacy itawezekana kwa hivyo vigezo tajwa hapo juu?
Nipo kwenye last steps kukamilisha hiyo system ambayo inaweza fanya hivi-
1-create users with different roles and permissions
2-add stock
3-sell stock
4-truck proft and usage
5-view and export reports
And more
In lab section
Track participant from reception to doctor, lab n.k
Sina...
Habari za wakati huu ndugu zanguni.
Kama ilivyo ada na kawaida kuhabarishana habari mbali mbali zenye manufaa kwa ajili ya kuepushana na mambo yanayoonekana kutuathiri kwenye jamii na familia hii kwa ujumla wake.
Nimepata bahati mbaya ya kumuuguza mgonjwa hapa nyumbani kwangu mwenye ugonjwa wa...
Kipindi nasoma Pharmacy hili somo lilinitesa sana hadi nilipata Sapu (Supplementary).
Kwa hasira nikanunua hard copy ya Kitabu chake "Pharmaceutical calculations by Ansel 13th Edition" kwa sh. 50,000/=
Basi ilikuwa ni ku solve tu... "Humu tu...😂 Humu tu...😂"
Kwa sasa nikiwa nakiona kwenye...
Habarini ndugu..shikamooni wakubwa ! Natafuta kazi nina diploma ya pharmacy na pia nimesajiliwa na baraza la famasi.
Mimi ni binti nina umri wa miaka 24,naishi Dar es salaam. 0710293470
Wadau nimesom diploma ya pharmacy now niko chemistry degree najiuliza nikiajiriwa kwa diploma hii degree kada nitabadilishaje? Mshahara utapandaje ushauri please.
Habari zenu wakuu,
Experts wa mambo naombeni ushauri hapa. Nina 30mill, niko interested na kufungua Phamarcy/uwakala wa miamala ya pesa (simu na bank).
Je, biashara ipi itafaa na haitanihitaji mda wote eneo la kazi?
Changamoto na faida zake.
Asanteni.
Salaam kwenu, Jana nilienda kwenye kituo flani Cha afya(private) nikiwa na kesi ya vipele kwenye ngozi.
Baada ya maelezo yangu daktari aliniandikia dawa za aina 3 ila akasema hawezi kunipa za siku 14 kwani Serikali hairuhusu hivyo akaniandikia siku7.
Wakati anaandika akadai kuwa itabidi...
Wakuu, kuna mtu nipo naye hapa, anatafuta pharmacy ya kununua ndani ya jiji la Dar.
Iwe na usajili,
Iwe na mauzo mazuri (250k na kuendelea kwa siku)
Offer yake ipo vizuri tu,
Kama unayo au una connection nayo, njoo inbox,
Boss yupo straight hana njaa kabisa
Mawasiliano
0764 803 515 Normal...
Wakuu Salama??
Nina Eneo ambalo nimepambana Kujenga Kwa ajili ya Biashara ya Pharmacy na Vifaa Tiba. Lipo kwenye Finishing. Nahitaji mbia/Business partners ambaye tunaweza Kuingia Makubaliano ya Kuendesha biashara hii ya Dawa na Vifaa Tiba.
Eneo linatazamana na Kituo Cha Afya Katoro. Aidha Nina...
Mshikeshike, mtifuano unaendelea kuhusu kubadili sifa za kujiunga na astashahada kutoka D mbili za Chemistry na Biology kwenda C mbili au zaidi za Chemistry na Biology!
Kiukweli, sifa zinazopendekezwa na serikali zitaathiri vyuo vya afya vinavyotoa hii kozi! C mbili za Chemistry na Biology ni...
FedhaBook: Mfumo wa kusimamia hesabu za biashara yako hata kama upo mbali na biashara yako
Okoa muda na kujichosha kupiga mahesabu kwa kichwa na kalamu na daftari na uutumie muda huo kufanya mambo mengine binafsi na ya kimaendelea au ya kifamilia
Ni mambo gani unaweza kuyafanya ukiwa na mfumo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.