pharmacy

  1. Mkogoti

    Ukiwa unapita nje ya Duka la Dawa ukiona limeandikwa Duka la Dawa baridi huwa akili inafikiria nini?

    Habari Wakuu Heri ya jumapili! Mimi kwangu kwa akili yangu najua ni zipo kwenye friji 🤦😂😂 lakini nikiingia napewa za moto, najua kabisa lakini nafanya kusudi, Karibu tuichangamshe jumapili
  2. CASH MONEY BROTHER-CMB

    Mama muuza pharmacy Magu mjini

    Wiki jana nilienda Pharmacy moja kubwa tu maeneo ya magu mjini pembeni ya stand,nikamkuta mama mtu mzima kama miaka 50 hivi mnene kapanda hewani,Lengo la kwenda ile pharmacy ilikuwa kununua vidonge vya kuongeza nguvu za kiume maarufu,viagra! Yule mama akanieleza bei ni 2000 kwa kidonge kimoja...
  3. C

    OMBI: Serikali idhibiti bei kwenye vifaa vya kujikinga na kupambana dhidi ya Virusi vya Corona

    Tatizo kubwa hapa nchini ni kwamba pale inapotokea janga, mlipuko wa ugonjwa basi wafanya biashara hutumia nafasi hiyo kujinufaisha. Kuna vifaa kama hand sanitizer, medical face masks vimekuwa katika uhitaji mkubwa sana kwa ajili ya kujikinga na virusi vya corona. Serikali kupitia waziri wa...
  4. Kibaba MFS

    alpha - Medical Practice Management System

    A Robust Hospital Management System for Hospitals, Clinics, Pharmacies and Laboratories. So what we are, real? An integrated Information System for managing all ways of a hospital’s operations such as medical, financial and administrative tasks It is a web based Application that works with all...
Back
Top Bottom