Habari wanajamvi, poleni na majukumu ya kila siku.
Mimi ni mwalimu kwa taaluma ,nimesoma Bachelor of science with Education (Bsc EDUCATION) Na nimehitimu mwaka 2017.
Nina uzoefu wa kufundisha Chemistry na Biology Kwa miaka mitano(5) Kwa NGAZI zote yaan A-Level na O- Level. Napatikana kitunda...
Habari za jioni wakuu mabibi na mabwana
Huyu binti namfahamu tangu akiwa mtoto. Anatoka kwenye mazingira magumu kuliko ngumu wenyewe.
Hamjui baba yake mzazi, hajawahi kumsikia wala kumuona.
Mazingira ambayo mama yake hawezi kumiliki hata simu ya elfu20, hawezi lipa kodi vyumba2 vya elfu 60...
Somo la Physics, somo la Physics.
Je, Tz hatuna walimu wabobezi kwenye hili somo amaa ni somo gumu sana?
Nakumbuka mimi pia nlivyokua nafanya mtihani wa physics, kidato cha sita, niliteseka sana kwa kukutana na maswali ambayo sikujua hata nianzie wapi kusolve.
Bado namkumbuka mwalimu wangu...
Leo nilikuwa natafuta swali la jumla ya idadi ya nishati ulimwenguni, imepelekea kunistua na kuyumbisha concept ya draga ya God is the ENERGY na kuipaisha concept ya a4afrika ya God is the LOGIC. Na kuibakisha imara kabisa concept ya Uhakika Bro ya kwamba God is the IDEA!!
Someni hii scientific...
Wakuu wapenzi wa Physics ni matumaini yangu hamjambo.
Niende moja kwa moja kwenye swali:-
Hivi ikitokea mtu akatoboa tundu katika ya dunia, tundu hilo litobolewe hapo ulipo na lipitie katikati ya dunia (the core) na litokeze upande wa pili wa dunia, tundu hilo liwe kubwa la kuweza kupenya...
Nilifaulu mtihani WA form six Resit Physics D na ADvMath D General study F lakini kupata cheti niliambiwa haiwezekani maana masomo ni kidogo. Je, hii ikoje? Nina result slip tu.
Je, Kuna mabadiliko yoyote?
Naitwa Pastory Augustino
Nipo morogoro
Naomba kama kunamtu anafahamu sehemu yenye uhitaji wa mwalimu wa masomo tajwa anisaidie aisee,
Level yangu ni diploma
Kwa wale mnaopenda kuelewa na kuchunguza mambo, hasa hasa kama ulisoma physics advance,
Mimi ni msomaji mzuri wa vitabu, hii ndio starehe yangu, ila sikuwahi kujua kuwa PHYSICS ni somo tamu sana maana nilikuwa nikilisoma kwa kukalili ilimradi nifaulu tu,
Basi juzi kati nimemkuta dogo mmoja...
JOB OPPORTUNITIES
The Al Muntazir Schools are managed under the auspices of KSIJ Central Board of Education, a Non-Profit Organization, providing quality education to students from multicultural backgrounds and comprises several schools spread over many campuses, providing education at Toddlers...
No wonder some people on this forum reason like they reason.
=======
READ: - TAMISEMI: Zipo Shule ambazo Wanafunzi hawajawahi kuwaona Walimu wa Physics na Hesabu
Waziri Ummy Mwalimu amesema kuna Shule takriban 1,000 za Sekondari ambazo Wanafunzi hawajawahi kukutana na Mwalimu wa somo la Physics uso kwa uso.
Akiwa Bungeni leo, pia amesema zipo Shule zipatazo 400 ambazo Wanafunzi wa Sekondari hawajawahi kuona Mwalimu wa Hesabu akiingia Darasani.
Ametoa...
Hawa wasomi wanashangaza.
Hivi ninyi ni walimu?🤣
Hivi taaluma yenu mnaijua kweli.
Hivi inakuwaje mtu anaenda kusoma kozi chuoni ambayo hajui mwisho wa siku hajui atakuwa nani ?
Au ni ilimradi tu "boom" lipo na kitaa wanakujua uko chuo🤣
Anyway, mimi sijui.
Wakuu,
Kuwa na six park sio mbinu ya kumfikisha mwanamke kileleni. Watu wamekazana kwenda jim kuvimbisha vifua wenzako wanatumia sayansi ya mapenzi.
Kama tu kidole cha pete kinaweza kumfikisha mwanamke kileleni kwanini mnahangaika kunyenyua mivyuma. Mapenzi ni sayansi, na sayansi ya mapenzi ni...
Yaani haujashika hata chaki haujaanza hata kuandika wanafunzi hawajakuelewa kuwa unafundisha vibaya au vizuri unaanza kujisifu tu mm ninajua kufundisha bila hata kusolve hata swali moja.
Nawashauri waalimu mnapotaka kuleta ushawishi wa namna yenu ya kufundisha fundisheni tu kwa juhudi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.