If magnetic flux of 6t2 + 7t mwb what is the induced Emf in 2seconds!!!! atakaepata hil swali kuna zawadi nono itatolewa.
Kumbuka 6t2 ni six times t square
Welcome
Habari ya jioni.
Nahitaji mwalimu wa masomo ya Physics na Chemistry (form 5) kwa ajili ya private Tuition.
Muda ni wiki mbili tu.
Kwa siku muda wa kusoma ni masaa 2 tu.
Topics zifuatazo:
PHYSICS
1. Fluid Dynamics
2. Newtons
3. Circular motion
CHEMISTRY
1. Physical Chemistry (sub-topics...
Habari za Leo wakuu,
Kumbe Advanced Physics na Advanced Chemistry tunayosoma form five na six ndio hiyo hiyo inayosomwa U.S, China, Ufaransa na mataifa mengine.
Tofauti ni moja tu sisi hutufanyi practical za tunacho kisoma. Ila hesabu, na maelezo yote ni yaleyale. Principal ni zile zile.
Na...
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.
Ndugu zangu watanzania eti;
Kwanini wanafunzi wasianze kidato cha kwanza "directly" na michepuo ya sayansi (Physics, Chemistry) au arts kwa kuzingatia matokeo ya darasa la saba na sio kusubiri mpaka afike kidato cha pili?
Yale masomo saba ya...
Habarini wakuu, natafuta kazi ya ualimu masomo ya physics na chemistry nimegraduate mwaka huu nipo mwanza, lakini naweza kufika sehemu yoyote Tanzania. Kwa atakenisaidia kupata sehemu ya kujishikiza siwezi kumuacha patupu.
Advance nilisoma PCB na nilipata division 2 point 12...
GPA ya Chuo...
Sifa:
- Awe na Shahada au Stashahada ya Elimu
- Jinsia (sex) yoyote
- Awe Mtanzania
- Uzoefu kuanzia miaka 0.
- Akiwa na Mathematics itapendeza zaidi (si lazima)
Shule:
QUEEN ESTHER GIRLS MPWAPWA
Mawasiliano: esthergirlschool@gmail.com
KARIBUNI SANA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.