• Direction: Muhoro
• Plot Area: 850 sqm
• Document: Title deed
• Price: TZS 800 million
• Viewing charge: TZS 30,000
.
✓ hapa ni mahali pa soko la kibiashara la kimataifa
✓ plot inafaa kwa makazi na biashara
.
Call/Watsap: +255 767 15 77 88
.
In Real Estate We Connect
• Direction: Magogoni, mita 300 kutoka Ferry
• Plot Area: 300 sqm
• Document: Title deed
• Price: TZS 70 million
.
✓ inatazama barabara kuu ya lami ya Ferry-Kimbiji
✓ mita 100 mpaka baharini
✓ mjini (city center) ni mwendo wa dakika kadhaa tu ukitumia panton
✓ ndani kuna nyumba ya chini ya...
• Direction: Chama
• Survey: skwata
• Plot Area: Mita za mraba (sqm) 1,200
• Document: Leseni ya Makazi
• Price: TZS milioni 350
.
✓ eneo linachipukia ujenzi wa majengo ya kisasa kama: kanisa apartments, hospitali, kituo cha mafuta, nyumba (standalone), n.k
.
Call/Watsap: 0767 15 77 88
.
In real...
-Nauza Plots -Kibaha, Zegeleni.
ziko Mbilil, zimeungana kilometa 7 kutoka lami(Kituo cha Madafu).zimepakana na kiwanda cha Kuzalisha Mayai. Jumla ya square meter 1388.
Zina Hati Miliki ya Wizara.
Bei; 7000 per sqm.(Mazungumzo yapo)
Phone: 0752295954
Hakuna Dalali, Mimi ndo Mmiliki.
NAUZA PLOT, KIBAHA MADAFU/ZEGELENI. KM 5 KUTOKA BARABARA YA MOROGORO ROAD.
Huduma za jamii zimefika... Maji,umeme, hospital,
Total area ni 1400sq meters. Ina hati miliki
Vimepakana na Kiwanda cha kutotolesha/Kuzalisha mayai.
BEI;8,700,000TSH
Anayeitaji nicheki 0762295954
Kwa wale tunaopenda kujenga pembezoni mwa ufukwe wa ziwa ama bahari tuchukue tahadhali.
Jana habari fukwe za Afrika kusini zilivamiwa na mavimbi makubwa sana ya maji na kuharibu mali kwa kiwango kisichoelezeka.
Tukumbuke pia mwaka 2020 mvua ilinyesha ikavunja rekodi ya kiwango cha juu sana cha...
🏖️ Kaole Beach Plots Project!
Je, Unataka kuwa jirani na bahari? Mradi wa Viwanja Kaole Beach Plots unakusubiri! Eneo lipo mita 500 tu kutoka baharini, Bei ni TZS 13,000/= kwa mita ya mraba.
Huduma zote za kijamii zinapatikana, ikiwa ni pamoja na maji, umeme, na barabara. Mradi wa viwanja 48...
Mali inayouzwa: Nyumba ya kupangisha yenye jumla ya vyumba 3 na nyumba moja kubwa ambayo bado ujenzi wake unaendelea.
Ukubwa wa plot: futi 100*50 (465 sq metres).
Mahali: Chamazi, karibu na Azam Complex.
Inafaa kwa: Makazi na/au biashara
Contact person : 0693 750 391/0711 751 197 (Mr Ngunga)
Wanandugu KIWANJA KIPO SOKONI
(40 urefu kwa 22upana)
Sifa ya kiwanja
1. Kipo sehemu nzuri, karibu na Barabara ya mtaa ya gari na pikipiki
2. Hakipo mbali na Barabara kuu ya lami yaani itokayo huko BUNJU KWENDA HUKO MWENGE NA MAKUMBUSHO utaona mwenyew ukiwa eneo la tukio au tazama picha chini...
In a bid to end US hegemony and bullying,top Arab leaders including Saudis and Iranians are meeting in China to plot ‘end’ of American global dominance.While nations are now openly challenging US hegemony and bullying,Tanzania is coming closer to the American Empire of Lies and Evil.This is...
Plot for sale at Ungindoni Kigamboni, located 200 meter from main road.
ideal for commercial and residential investment.
Asking price ; 380M Tshs.
for more info contact;
+255 712 347 749
+255 746 474 849
Ungindoni plots
👉 Viwanja Kigamboni Kimbiji
👉 Mashamba tambalale
Kwa ufupi.
Eneo la ekari 3.5 beach area
Lipo mkoa wa pwani Kisiju
Karibia na bandari ya Kisiju
Kituo ni Sotele
Km 87 kutoka City Center DSM
Bei ni milioni 12. (Negotiable)
+255746 474849
Update**
Heka zaidi ya 100 zinauzwa kisiju wilaya ya...
Habari gani wanazengo? Nahitaji Plot safi maeneo ya Moshono, Arusha.
Budget yangu TZS 7,000,000/= mpaka 9,000,000/=
Kati ya Sqm 450 na 600sqm
Kisiwe mbali na Lami.
Iwe imepimwa safi kabisa.
Mwenyenacho, tafadhali tutafutane.
Plot for sale in Zanzibar - Makunduchi:
Area : Makunduchi, opposite VETA college.
Document : Title deed
Distance: 1.5 kilometer from the beach (Clove Island Zanzibar Villas)
Location: 6°24'27.6"S 39°33'52.2"E
Size: 600 square meters
Contact: 0682955526
Price: TZS 20 million
Karibuni wakuu.
Kiwanja kipo Msangani, Karibia na zahanati ya Kibaha kwa Mathias Msangani.
Ukubwa mita 20 kwa 24
Milioni mbili na nusu
Km 6 toka Morogoro road
Umeme na maji vipo
+255 762 689 034
IMPORTANT NOTE : Hakuna dalali!
Eneo liko baada tu ya roundabout ya kuingia Bagamoyo (kituo cha daladala cha Kosovo) na ni hapo hapo barabarani.
Eneo lina ukubwa wa 120 * 93 (m), kuna nyumba ya ghorofa moja (3 bedrooms/Jiko/ Ukumbi na mbele kuna frame 3 kubwa sana (6*8 m)
Bei ni 450...
Njoo upate eneo la biashara lenye magorofa ya kutosha, haina udalali mmiliki ni mimi mwenyewe.
Hati ipo
Unaweza kwenda jiji ukamchukua surveyor mwenyewe mkaenda nae hata bila kuniambia ukiridhika nipigie namba 0753477905 tufanye biashara.
Napakana na bustan jafo waziri(inapita katikat ya...
Tafadhali, naomba msaada wa kujua bei ya ngozo tajwa hapo juu kwa watu wanakaa sehemu za Kijichi na kuendelea mbele.
Nataka kuzinunua na cement, pamoja na kokoto kama wajua bei au unauza nisaidie nijue bei pia. Shukran
Habari Wadau, Nauza Plot yangu yenye ukubwa wa 1000SQM, Plot iko Salasala Buzilili Street, Plot ina good view ya Indian Ocean (boti ya Zanzibar inaonekana vizor kabisa), Plot in a access ya Barbara mbili...
Price Tzs 32MN KWA MOJA (ZIKO MBILI)
Karibuni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.