plot

  1. S

    Plot4Sale Nunua kiwanja Kigamboni Buyuni

    Unapoweka Lengo au unapolielekea Lengo Ulilojiwekea na Ukaona Kuna Vikwazo Vingi Katika Kulifikia au Kulielekea Lengo Hilo Kamwe Usibadili Lengo Lako. Jambo Muhimu Ni Kubadili Njia , Mkakati au Mbinu za Kulifikia Au Kulielekea Lengo Hilo . NUNUA VIWANJA NA TRUST SOLUTION COMPANY LTD. TRUST...
  2. Inevitable

    Plot4Sale Nina 180,000,000. Natafuta kiwanja kilichopimwa (Surveyed plot) jijini Dar

    Wakuu, Niliandika hapa Novemba 2020 (ref Natafuta Kiwanja cha kujenga jijini Dar. Nina Sh. Milioni 40 ) nikitafuta kiwanja na wakati huo nilikuwa na 40m tu. Viwanja vingi nilivyopelekwa ilibidi nirudi kujipinda nitafute pesa zaidi ili nipate kiwanja ninachotaka hasa. Kwa sasa bajeti yangu ni...
  3. M

    Plot4Sale Plot for Sale 40x30 metres

    Kiwanja kinauzwa haraka Singida kipo maeneo ya uwanja wa ndege. Ni flat hakihitaji levelling. Bei rahisi 4m tu. Vile vile, kuna viwanja vya size mbalimbali vinauzwa eneo la Mwaja, SIngida. Kwa mawasiliano zaidi piga 0787-851
  4. Q

    Plot4Sale Beach Plot Nunge Bagamoyo Mjini

    Beach plot inauzwa Nunge Beach Bagamoyo Mjini. Nunge Beach ni maeneo ya ilipokuwa Paradise Hotel and Resort. Ni eneo linalofaa kujenga Hotel za kitalii. Size ya kiwanja ni 11 acres. Bei ni $2M. Serious customers wawasiliane nami kupitia 0687320462.
  5. M

    Natafuta Beach Plot/ eneo ambalo ni mita chache toka ufukweni sehemu yoyote Dar es Salaam

    Wakuu, Natafuta eneno ambalo ni mita chache toka ufukweni. Sehemu ambayo nitaweza kujenga nyumba ya makazi. Budget yangu ni kati ya Milioni 12 mpaka milioni 30. Hii itategemea na sehemu. Unaweza nicheki inbox kama una eneno na upo serious kuuza. Nitalipa pesa kwa mkupuo pindi tutapo fanya...
  6. RealEstate Agent

    INAUZWA Special Thread: Tunauza Viwanja, Mashamba na Nyumba

    Mbwewe barabara ya Tanga kabla ya kufika mkata Mashamba kilomita Kilomita 1 Kutoka barabara kuu ya lami : 250,000 kwa heka Kilomita 3 Kutoka barabara kuu ya lami : 200,000 kwa heka Kilomita 10 Kutoka barabara kuu ya lami : 100,000 kwa heka MUHIMU : Unaweza kupata Kuanzia acre 10 Mpaka acre 500...
  7. Ramon Abbas

    Plot for sale: Igoma Jijini Mwanza

    Kiwanja chenye nyumba na frem za maduka kinauzwa Igoma Jijini Mwanza Details Size: hatua 60 kwa 40 (hatua za miguu za mtu mzima) Huduma zote za kijamii zipo wakuu wangu. Eneo lilishaendelea zamani tu ndio maana bei imechangamka.!! Bei: 75 million. Piga simu 0683011003 JINSI YA KUFIKA...
  8. Magari Nusubei

    Special Thread: Tunauza Vitu mbalimbali (Magari, Nyumba, Mashamba na Viwanja)

    Toyota Rav4 Old Model Model 1998 Engine 3S Cc 1990 Kilometer 82095 Colour Silver New Tyres & Rims Price 14.5ML simu 0677 818283
  9. Da'Vinci

    Most confusing and plot twisting series ever

    Hello there....👋👋 Hua napenda nikikutana na series au muvi nzuri nishee nanyi “wakulungwa” wapenda motion pictures maana sharing is caring, I scare because I care. Hua napenda series na muvi ambazo ukitazama unakua unakuna kichwa kuielewa, muvi zenye plot twisting na brain storming. Baadhi ya...
  10. Joshua kachala

    Plot4Sale Beach plot for sale Bagamoyo

    Beach plot for sale Bagamoyo Viwanja vipo eka 3 na lina hati miliki kila eka moja bei yake 120million maongezi yapo. [emoji1428] eka moja tsh: 120million maongezi yapo [emoji3591]viwanja vinagusa maji kabisa [emoji3513]0712943877=0789076089 kalibuni sana
  11. Heci

    Plot4Sale Beach Plot in Mbweni for sale

    Beach Plot No 1 kina Sqm 1,808 kinauzwa Tshs 100,000,000/ ila Hati bado inabidi kilipiwe kiasi na Hati ikitoka zinamaliziwa. Beach Plot No 2 kina 1,323 sqm kinauzwa Tshs 95'000'000/ kina Hati. contacts 0787069996 and 0717454455
  12. Magari ya Biashara

    Tunauza Viwanja na Mashamba kwa bei nafuu

    Habari wana JF.Nina hekari 2,000 za shamba maeneo ya mazinde wilaya ya korogwe mkoani Tanga. Ninatumia heka 1,000 tu.Zimebakia heka 1,000 kwa mwekezaji yoyote wa kilimo aje. Pembeni limepakana n mto ambao haujawahi kukauka maji. Nauza 1,000,000 Kwa Heka 1. DIRECTION YA SHAMBA LILIPO Ukiwa...
  13. Ibrah

    Plot4Sale Premier Plot For Sale at Mwongozo Kigamboni

    Kiwanja kizuri kinauzwa Mwongozo, Kigamboni karibu na nyumba za NSSF na NHC. PLOT DETAILS Plot no: 336, kinayo hati ya miaka 99 (attached) Location: Mwongozo, Kigamboni; Karibu na nymba za NSSF na NHC; Kiwanja kimezungukwa na barabara pande zote, kinafaa kwa matumizi ya biashara kama ujenzi...
  14. K

    Plot for sale

    KIWANJA SAFI KABISA NAUZA . PRICE MILION NANE (8) . LOCATION KIVULE CCM ILALA (DSM) . UKUBWA sqm 500 . MAWASILIANO 0764519006 . HUDUMA ZOTE ZA KIJAMII ZIPO KARIBU NA KIWANJA, .KIWANJA KIPO KARIBU NA SHULE YA SEKONDARY KIVULE,KANANURA HIGH SCHOOL,ABOOD JUMAA SECONDARY,KITUO CHA POLISI...
  15. Mathanzua

    Globalist Plot to Mandate COVID-19 Vaccine Exposes Shocking Satanic Conspiracy

    #KWA UKWELI HUU,WAKAZI WA DUNIA LAZIMA TUUNGANE KUPINGA CHANJO YA COVID-19 KWA NGUVU ZETU ZOTE. Here’s the main reason why the NWO globalist cabal is dead set on mandating a universal COVID-19 vaccination program: No, it has nothing to do with vaccine-induced immunity being the only way to...
  16. Press Estate Agent

    Plot zinauzwa Goba

    GOBA-KULANGWA Plots zinauzwa zipo kwenye good location ndani ya Goba Kulangwa. size of plots A 1.sqm 400- 26m (negotiable) 2.sqm 400 again ikiwa na nyumba ndogo-27m (negotiable) 3.sqm 700_30m (negotiable) -Hati inatolewa kwa jina lako ila vyote vimepimwa -MAJI yapo -UMEME upo size of plots...
  17. frama

    Plot4Sale Near the beach at Mbutu Mkwajuni, Kigamboni

    Kimepimwa (surveyed) 400 meters kutoka baharini 3 kilometers kutoka Dege Eco Village Barabara nzuri inapitika muda wote Kumeendelea (kumejengeka) Kiwanja square meters 574 Bei ni Tshs 9,000,000 (9 millions Tsh mazungumzo yapo) Mawasiliano: +255714908121
  18. BASIASI

    Plot inauzwa Moshi Soweto SQ 10" 000 eneo zuri

    KIWANJA KINAUZWA KINANYUMBA NDOGO PEMBENI VYUMBA VIWILI MAHALI SOWETO MOSHI UKUBWA SQM10" 000 KINA DOCS ZOTE HALALI ZA WIZARA BEI MILIONI 65 CONT 0713458722/ 0688552275
  19. BASIASI

    Plot na nyumba (unfinished)vinauwa -Mbweni Masite

    BEI 55 MIL PLOT 23*20 +Unfinished house Ina VYUMBA VINNE KIMOJA N MASTER BED ROOM DINING NA SITING ROOM KUBWA CHOO NA STORE NA JIKO KUBWA MBWENI MASITE HAKINA UDALALI MADALALI.MNAKARIBISHWA WASILIANA NA HUYU SOJA +255713458722/0688502275
  20. F

    Plot4Sale Eneo ekari 3.77 linauzwa ndani ya jiji la Dodoma, liko barabarani

    Eneo liko Msalato almaarufu kwa mwinyi (Arusha Road) kunakojengwa Dodoma International Airport. Eneo liko barabarani linapakana na hotel ya kitalii ya FANTANCY.....lina ukubwa wa ekari 3.77, Eneo limepimwa na limeingizwa kama lilivyo kwenye master plan ya jiji la Dodoma kama ilivyo onekana...
Back
Top Bottom