A prince is a male ruler (ranked below a king, grand prince, and grand duke) or member of a monarch's or former monarch's family. Prince is also a title of nobility (often highest), often hereditary, in some European states. The feminine equivalent is a princess. The English word derives, via the French word prince, from the Latin noun princeps, from primus (first) and capio (to seize), meaning "the chief, most distinguished, ruler, prince".
Msanii wa muziki Barakah Da Prince aliyewahi kutamba na nyimbo kama Siachani nawe, Siwezi na Sometimes, jana ameondoka kwa gadhabu kwenye interview ambayo aliifanya na MJINI TV.
Interview hiyo ni sehemu ya media tour anayoifanya baada ya kuachia wimbo wake mpya kwa jina la Goodbye.
Katika...
UTAWALA WA SASA IRAN UNAMULIKWA KWA KURUNZI KALI, NA SABABU ZA IRAN KUFADHILI VURUGU MASHARIKI YA KATI
Interview na Crown Prince Reza Pahlavi mwana wa Shah wa mwisho wa Iran Shah Mohamed Reza Pahlavi
https://m.youtube.com/watch?v=Gn_glW0wGQ8
Source : Valuetainment
Crown Prince Reza Pahlavi...
FENCORP ya Marekani, DAVID RICHARD INVESTMENT NA PRINCE KREATIVE za Tanzani, watadhamini Miss Utalii Tanzania 2023.
Kwa kuanzia wanadhamini ushiriki wa Tanzania katika fainali za Miss Tourism Africa 2023, zitakazo fanyika Lagos Nigeria Oktoba 2, 2023
Mara nyingi utasikia hadithi na sifa kwa wachezaji wa Simba na Yanga. Ila kiukweli Mchezaji Price Dube ni bonge la Straika.
Kati ya Mastraika ambao timu nyingi na haswa Simba SC, hawatawasahau basi ni Prince Dube.
Mtoto wa Mfalme Charles na hayati Princes Diana, Prince Harry anakiri katika kitabu chake kipya kuwa aliwahi kutumia dawa za kulevya aina ya Cocaine akiwa na umri wa miaka 17, lakini anasema "haikuwa ya kufurahisha sana".
Matukio hayo yanaonekana kuja baada ya babake, Mfalme Charles III...
Leo saa 4:00 usiku kwa saa za Afrika ya Mashariki Simba Queens watashuka dimbani kumenyana na AS Far Club ya Morocco.
Ikumbukwe kuwa Simba Queens ndio wawakilishi wa ukanda huu wa Afrika Mashariki. Hivyo hawawakilishi nchi pekee bali ukanda wote huu.
Tutaleta live updates hapa kuanzia saa 4:00...
Wawili hao ni miongoni mwa watu maarufu waliochukua hatua za kisheria dhidi ya Kampuni ya Daily Mail ya Uingereza wakidai kuna ukiukaji mkubwa wa faragha.
Wanadai Dail Mail wametumia vifaa kusikiliza mazungumzo yao binafsi kwenye gari na nyumbani, pia wamewalipa watu wanaowafuatilia maisha yao...
Mwanamuziki Henry Zamani maarufu kama Ice Prince anashikiliwa kwa tuhuma za kumpiga na kumteka nyara askari wa barabarani aliyekuwa amemkamata kwa kuendesha gari iliyokuwa haijasajiliwa
Msemaji wa Polisi jijini Lagos, Benjamin Hundeyin amesema baada ya Msanii huyo kusimamishwa, alimwingiza...
Crown Prince wa Abu Dhabi ktk United Arab Emirates, Mohammed bin Zayed Al Nahyan amesema kuwa anaamini kuwa Russia ina haki ya kuhakikisha usalama wa taifa hilo (Russia) hauhatarishwi. Maneno hayo kiongozi huyo ameongea alipokuwa akizungumza kwa simu na rais wa Russia, Putin.
Viongozi hao...
Picha hapo chini:
kutoka kulia ni abdhullwahid Sykes na mdogo wake ally Kleist Sykes,
wamevaa gwanda za kijeshi za king's African rifles, waliposhiki vita vya pili vya Dunia.
Na hawa ndio waanzilishi wa TANU
Prince Andrew has reached a settlement with Virginia Giuffre who accused him of raping her as a child, it has been revealed.
Court documents, filed in Manhattan on Tuesday, reveal that a settlement was agreed upon by both parties with the Queen’s son paying an undisclosed amount to Ms Giuffre...
Mercedes' British F1 driver Lewis Hamilton poses with his medal after being appointed as a Knight Bachelor (Knighthood) for services to motorsports, by the Britain's Prince Charles, Prince of Wales, during a investiture ceremony at Windsor Castle in Windsor, west of London on December 15, 2021...
Queen Victoria with her arm on the future King Edward VII. A typically beautiful Winterhalter work - if you look to the left you’ll see Prince Alfred (future Duke of Edinburgh) dressed in feminine or, perhaps more accurately, gender-neutral clothing that was then used for most male infants.
The...
December 6, 1803: Maria Josepha Amalia of Saxony, Queen of Spain, was born in Dresden to Prince Maximilian of Saxony and Princess Carolina of Parma. Their youngest daughter, she lost her mother when she was only a few months old, and she was convent-raised, sparking in her in a fierce Catholic...
Donald Trump has accused the Duchess of Sussex of "using" Prince Harry and being "disrespectful" to the Queen in a wide-ranging interview.
===
Donald Trump has accused the Duchess of Sussex of "using" Prince Harry and being "disrespectful" to the Queen in a wide-ranging interview.
Speaking to...
November 10, 1926: His Royal Highness Prince Leopold of Belgium wed Her Royal Highness Princess Astrid of Sweden at the Cathedral of St. Michael and St. Gudula in Brussels, six days after their civil wedding ceremony. The groom was the son and heir of King Albert of Belgium, the bride the...
Prince Alemayehu of Ethiopia ("abducted /stolen /taken by Britain) with his guardian Speedy, 1868
🇪🇹 🇬🇧
For 150 years, Ethiopians have been asking when Prince Alemayehu will come home. The orphan prince, a descendant of Solomon, was taken to England – some say “stolen” – after British...
The Queen, Charles and Prince William warmly welcomed the business leaders and members of the Government including Foreign Secretary Liz Truss, who donned a cobalt blue ensemble, and International Trade Secretary Anne-Marie Trevelyan.
Justin Bieber amepewa jina jipya 'Prince of Pop' baada ya muziki wake kupata wasikilizaji Milioni 83.3 ndani ya mwezi mmoja katika mtandao wa Spotify na kuweka rekodi mpya ya msanii aliyesikilizwa zaidi ndani ya mwezi mmoja.
-
Rekodi hii awali ilishikiliwa na Ariana Grande. Wasanii wanaofata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.