A prince is a male ruler (ranked below a king, grand prince, and grand duke) or member of a monarch's or former monarch's family. Prince is also a title of nobility (often highest), often hereditary, in some European states. The feminine equivalent is a princess. The English word derives, via the French word prince, from the Latin noun princeps, from primus (first) and capio (to seize), meaning "the chief, most distinguished, ruler, prince".
Mnaombwa wote wana utopolo msikose jumapili kutakuwa na suprise kubwa sana anashuka
prince Dube,
Siphiwe Tshabalala legendary wa south africa
na jopo la makocha kutoka team ya Auxerre ya ufaransa
Wote hao wameomba kujiunga na team hiyo baada ya kufurahishwa na ujio wa msemaji mpya ambaye...
Ni mechi muhimu kwa Yanga kuendeleza matumaini kuwania ubingwa wa ligi kuu ya Tanzania Bara na kurejea kileleni ikiwa imeshinda mechi zake mbili zilizopita. Azam baada ya kusuluhu mechi iliyopita na Dodoma jiji itajitahidi kushinda mechi ya leo.
Yanga yenye alama 57 na michezo 26 itaikaribisha...
MOTO uliouwasha Prince Dube sio wa kitoto kwani jamaa unalijua goli balaa. Mpaka sasa Dube ndiye unayeongoza kwa mabao kwenye Ligi Kuu ukifungana na mfungaji bora wa msimu uliopita Meddie Kagere wa Simba.
Dube ndiye unayeibeba Azam kwa sasa, pale Yanga sioni beki wa kukuzia kwa maji anayomwaga...
Leo ndio mazishi ya Prince Philip wa Uingereza waweza angalia moja kwa moja tv ya SKYNEWS
Maandalizi yote ya msiba wake aliyaanda mwenyewe kabla kufa na ratiba aliindaa mwenyewe.
Katika maagizo aliyoagiza ni kuwa ni maruku padre kuhubiri mahubiri mahubiri kwenye msiba wake na kanisani...
Rais Samia Suluhu Hassan amemtumia salamu za rambirambi malkia Elizabeth wa Uingereza kufuatia kifo cha mumewe Prince Phillip.
Ikumbukwe Prince Phillip alifika Tanganyika mwaka 1961 wakati tunajipatia uhuru.
Source BBC Dira ya Dunia
Mume wa Malkia Elizabeth II, Mwanamfalme Philip amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 99. Taarifa hiyo imetolewa na Kasri la Buckingham
Imeelezwa, Mwanamfalme Philip (Duke of Edinburgh) amefariki asubuhi ya leo Windsor Castle
=====
Prince Philip, Queen Elizabeth II's husband, has died aged...
The Crown Prince HE Muhammad bin Sulaiman, deputy prime minister and minister of defense has congratulated Madam Samia Suluhu Hassa for becomming President of Tanzania. Below is the quote from the Saudi gazette.
"RIYADH — The Custodian of the Two Holy Mosques King Salman has sent a cable of...
Prince Philip, 99, was admitted to King Edward VII's hospital in Marylebone on 16 February after feeling unwell.
He later underwent a successful procedure for a pre-existing heart condition at another London hospital - St Bartholomew's.
The 28-night stay was the duke's longest-ever in...
Prince Philip ndiye mwana familia ya kifalme mwenye umri mkubwa zaidi. Akiwa na miaka 99 anategemea kuadhimisha miaka 100 ya kuzaliwa mwezi Juni mwaka huu. Hali ya afya yake imekuwa tete na familia imeanza kujiandaa kupokea habari zozote.
======
The Queen's husband Prince Philip, 99, has had...
Baada ya Prince Harry na mke wake Meghan kuihakikishia familia ya Kifalme kuwa hawatarajii kurudi Uingereza na kuendelea na kazi za Kifalme. Moja ya majukumu ya Harry ilikua mlezi wa mchezo wa Rugby.
Prince Harry na Meghan wametangaza kutarajia mtoto wao wa pili, habari hii waliitoa siku ya...
Kuna kitu kimoja kwenye soka la Tanzania! Soka ni Simba na Yanga!
Maamuzi, uendeshaji, uratibu, mipango nk yote inategemea /inahusu siasa za Simba na Yanga. Hii ni hatari kwa mustakabali wa Soka letu!
Chukulia mfano mdogo wa nyota wa Azam hivi sasa, Dube.
Huyu ni Striker hatari, lakini...
Habari yenu wanajamii.nimekuja humu kuomba ushauri kwa faida yangu pamoja na kwa faida ya wengine.
Kama kichwa cha habari kinavyosema...Nahitaji kufahamu kwa mtu anayetaka kulima kilimo cha mpunga je atatumia gharama za shilingi ngapi kwa kuzingatia vitu vifuatavyo
1)Gharama kukodi shamba la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.