private

  1. Expensive life

    Shule nyingi za private zinaajiri waalimu kutoka kenya kama taifa tunafeli wapi.

    Ndugu zangu licha ya utititiri wa waalimu wengi kuhutimu vyuo mbalimbali lakini wengi wao wapo tu mitaani wapiga miayo, huku shule nyingi za private zikienda nje ya nchi kusaka waalimu. Mzazi ukienda kutafuta shule kwa ajili ya mwanao basi sifa utakazopewa kuhusu shule husika basi utaambiwa...
  2. Technophilic Pool

    Hivi mnaofanya kazi Sekta za Serikali nako kuna maneno maneno na kuchongeana kama Private?

    Wakuu makazini mambo ni mazito. Hasa private yaan umbea, unafiki, kuzushiana maneno,kuchongeana kwa boss, kuchunguzana na kuharibiana kazi kupo saana. Mtizamo wangu labda serikalini hayapo haya. Change my mind sijawai fanya kazi serikalini
  3. winnerian

    Why a Government System's Failure Leads to the Collapse of All Sectors, Including the Private Sector

    In Tanzania, we have often heard that agriculture is the backbone of our country, emphasized repeatedly by leaders, institutions, and policies. While agriculture plays a significant role in sustaining livelihoods and contributing to the economy, I argue that it is not the true backbone of this...
  4. R

    Mji wa Mwanza mbona nafasi za kazi hamna kabisa kwa Private Sector?

    Habari viongozi, Nimechunguza muda mrefu na kugundua Mwanza ni jiji lakini fursa za ajira hamna kabisa, hasa hasa kwa private sector, ukiangalia matangazo ya ajira ni Dar na Arusha tu na Dodoma kidogo, Mwanza ni mara chache sana, Au Mwanza mnapeana kazi chini kwa chini?
  5. Mrs Gudman

    Dodoma kuna shida gani mbona kupata kazi kwenye Private Sector ni ngumu sana?

    Kuna ndugu yangu alikuja Dodoma kutafuta pa kufanya kazi Baada ya kumaliza chuo, Ni mwaka wa pili huu kazi hapati, wala hata kuisikia zikitangazwa hamna. Kazi nyingi zinatangazwa location ni Dar, Bado naji uliza nafasi za kazi kwa Dodoma zinatangaziwa wapi?
  6. Logikos

    Why Public Private Partnership Dont Work (The other Side of the Story)

    Wakati tunapigia chepuo hii PPP's kwamba ndio magic wand nimeona nilete pdf hapa (report by David Hall) ambayo kwa hoja za mwandishi ni kwamba PPP's zimegubikwa na sintofahamu za kutosha na loopholes za Upigaji na kwa nchi kama yetu ya mafisadi huenda hii ikawa ni kuongezea watu mirija ya...
  7. and 300

    Tetesi: Private jet ya Jux kuwasili Jumanne

    Private jet ya Msanii na Mfanyabiashara maarufu duniani, Juma Jux inatarajiwa kuwasili Jumanne saa 7 mchana katika Uwanja wa ndege wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam. Wote mnaalikwa kwenye mapokezi.
  8. Obama wa Bongo

    Private Lecture Quantitative Technics anahitajika haraka

    Habari wa jukwaa natumaini ni wazima,Nina kimeo carry ya quantitive Technics Postgraduate natakiwa ndani wiki mbili zijazo nikafanye mtihani,please naomba nipate mwalimu wa kunibrush niweZe kuchomoka, 2hrs per day ,Malipo ni mazuri nikichomoa supplementary bonus pia nitatoa Natanguliza...
  9. MIXOLOGIST

    A valuable lesson: Sustainable use of private parts

    Kwenu Tan Gen Zee Wakati tukitafakari yanayojiri kwa wenzetu Kenya, ni vyema kutafakari mambo mengine ya msingi haswa kwenu nyinyi Tan Gen Zee Nikisoma nyuzi nyingi humu naona kuna shida mahala, yaani kuna mahali watu hawafanyi kazi yao, pengine ni makasisi, wachungaji, masheikh, wazazi au...
  10. C

    Chuo Bora Cha private diploma kwa course ya dental au radiology

    Habari Wana JF ....nimefanya maombi ya chuo diploma serikalini ila sijapata hovyo naulizia chuo Cha private kizuri ambacho naweza pata mojawapo ya hzo course nikasome maana Nina mpango wa kwenda degree
  11. C

    Ni chuo gani Bora Cha private ngazi ya diploma kwa course ya radiology na dental?

    Kichwa Cha habari chajieleza naomba msaada Wana JF maana nimeomba vya serikali nimekosea hovyo naulizia vyuo vizuri vya private maana Nina mpango wa kujiendeleza na degree
  12. HONEST HATIBU

    Keep Your Financial Status Private

    Keep Your Financial Status Private 1. Don't share your salary details on social media. 2. Don't flaunt your investment successes online. 3. Avoid posting about your financial struggles publicly. Reality is... 1. Not everyone will support your financial achievements. 2. Many comments may be...
  13. HONEST HATIBU

    Keep your Personal Life Private

    Keep Your Personal Life Private. 1. Don't advertise your happy marriage on social media 2. Don't advertise your kids achievements on Social media 3. Don't advertise your expensive buys on social media Reality is... 1. Not everyone is going to be happy for you 2. Most of the "Nice" comments...
  14. AmKATRINA

    Member's mlioweka private profile zenu mnatukosesha nondo zetu...😔

    Habarini za muda huu wanajukwaa wenzangu. Nawasalimu kwa nia njema kabisa. Naomba niongee kidogo juu ya hili suala la mwana Jf KUTORUHUSU KU-VIEW PROFILE LAKE. Hili suala kwa kweli linaumiza sana,najua si kwangu tu, hata kwa mwingine na mwingine. Najua ni haki ya kila member kufanya atakalo...
  15. R

    SoC04 The government to cut off taxes and subsidize some costs in private schools to reduce school fee burdens on parents

    In Tanzania, education is a cornerstone for sustainable development, serving as the foundation for a progressive society. Presently, parents with children in public schools are relieved of school fees from primary through secondary education. As opposed to parents who choose private schools for...
  16. Akotia

    Transforming Police Mess Masaki: A Call for Private Sector Management

    As a proud and patriotic Tanzanian citizen, I feel compelled to shed light on the current state of Police Mess Masaki in Dar es Salaam. This prime facility, located on the cliff of Coco Beach with ample parking and breathtaking views, holds immense potential to significantly increase revenue for...
  17. Engager

    Naona si sahihi mtu kuweka plate namba ya Jina lake

    Inawezekana sina hilo gari lenye hadhi ya kuwekea private registration plate, au labda sina gari kabisa. Lakini kiukweli nikipishana na gari njiani lina plate namba imeandikwa jina la mtu, uwa namuona huyo mtu ni limbukeni mshamba mmoja tu. Hata hivyo hata wao ulimbukeni ukiwaisha uwa...
  18. G

    Nilisoma shule ya msingi private day tunatoka saa saba na tulipasua freshi tu, siku hizi wanatoka jioni na kuhimiza boarding kuna kipi cha ziada?

    Hasa ukizingatia masomo ya shule ya msingi ni ya kawaida sana hayana mambo mengi, Sijaona ulazima wa kuwafanya watoto wadogo wasome utadhani wapo form 6. Watoto wanabaki mpaka jioni, Shule zinahimiza watoto wabaki boarding, elimu ya msingi ni ya kukamiwa kiasi hicho? Nakumbuka hapo zamani...
  19. J

    Ushauri: Nimeomba kazi Polisi pamoja na Kampuni binafsi. Kwa wenye uzoefu, ni wapi niende?

    Naombeni mnisaidie ushauri, nimeapply Kazi sehem mbili, Ajira za polisi pamoja na private company as sales engineer. Kwa wenye uzoefu Ni wap niende.
  20. B

    Private valuation companies

    PRIVATE VALUATION COMPANIES: Habari wana jamii forum Naulizia kampuni binafsi za valuation(Uthamini) kwa Dar es salaam, kwa ajili ya field
Back
Top Bottom