pro

  1. M

    Nahitaji MS Office for MacBook Pro

    Nahitaji MS Office kwa ajili ya MacBook? PM kama unayo na gharama kwa ajili ya installation
  2. Programu za PC

    Je, unahitaji software ya kukusaidia kazi / biashara yako?

    Habari, Je unahitaji software yoyote katika kazi / biashara zako. Nipo hapa kukusadia kupata software yoyote unayotaka katika kukusaidia kazi / biashara yako. Software au program katika kifaa chako cha kazi kama kompyuta au simu. Nitajie sofware au kazi yako inayohitaji software maalum...
  3. Kijakazi

    Tuigawanye Tanzania Pro Magufuli na Anti Magufuli, tuwe na nchi mbili tofauti!

    Tupige kura ya maoni wanaotaka kuwa pro Magufuli na wale anti Magufuli na kila mtu awe na nchi yake kwani hali ilivyo sioni jinsi hawa watu wanaweza kuungana. Nchi ya Magufuli low debt to gdp ratio, umeme wa uhakika, miundo mbinu madhubuti, no wizi vs anti Magufuli high debts, no water, no...
  4. Meneja Wa Makampuni

    Mwenye simu aina ya Huawei P20 Pro model ya kichina naomba aniuzie

    Habari wakuu, Nipo mbele yenu, nimeweza kutafuta vihela ili niweze kununua simu. Baada ya kuwaza sana nimeona simu inayo nifaa ni HUAWEI P20 PRO. Hivyyo mwenye simu aina ya Huawei P20 Pro model ya kichina naomba aniuzie. Natafuta used inanitosha sana. Kama unayo ni PM. Mawasiliano yangu ni...
  5. IBRA wa PILI

    App ya movie (Movie Box Pro)

    Mambo vipi wakuu bila Shaka mko good ok, leo nimeona niwaletee hii app kwa wale wapenzi wa movies Aina zote basi app hii utapata mpaka season cha kufanya ni kwenda Google search then pakua au download kwenye cmu yako au hata pc isipokua App hii ipo Tu kama Netflix japo hii ulipii kupakua movie...
  6. TECNO Tanzania

    TECNO tumekuletea muonekano wa kipekee wa simu yetu ya mtiririko wa CAMON 19 PRO

    TECNO tumedhamiria kuendelea kuwafurahisha wateja watu kwa kutoa toleo lenye muonekano mpya linalokwenda kwa jina la CAMON 19 PRO Mondrian. Simu hii ina uwezo mkubwa na muonekano wa kuvutia na wakipekee kuwahi kutokea
  7. dennoo_appliances

    Computer4Sale Nauza home appliances (tv, refrigerator, music system na air conditioner)

    Karibuni
  8. makaveli10

    Phone4Sale Iphone 12 Pro Max 256 GB

    Ndugu zangu nimekuja kwa niaba ya ndugu yangu. Ndugu yangu(rafiki wa dhati kabisa) kakwama, kanikuta nduguye niko dhohoful hali kiuchumi. Tatizo hili ni kama langu, mnisaidie ndugu yenu. Tunauza hiyo simu, imenunuliwa mwaka jana tu. Hata mtu akitaka kwa bondi zipo simu(hii na s9), tv hata...
  9. M

    Profesa Kabudi: Trilioni 360 za makinikia haikuwa kodi sahihi, Nilikosea kutumia neno “Jalala”

    Kauli hii ya Profesa Kabudi inadhihirisha kuwa Lissu alikuwa sahihi Sana kwa sababu hata kama ni mbinu za kutaka mjadala, kwa wasomi kama maprofesa kutumia mbinu ya uongo "ulio dhahiri" kiasi hiki ulikuwa ni upungufu wa weledi. Labda tuwasikie Wataalam wa daplomasia ya uchumi waje watufafanulie...
  10. Nyamwage

    Zoom camera ya infinix zero x pro nikufuru hilo nimelithibitisha mimi mwenyewe

    Habari. Hizi picha mbili nimezipiga mimi mwenyewe kwa kutumia hii simu ya infinix zero x pro kwa kutumia camera yake ya 8mp periscope telephoto 5x optical zoom OIS nilikua magomeni Morocco hotel na hilo jengo la watumishi house nililo zoom liko mwembe chai
  11. 42774277

    Mwanaume aghairi Harusi baada ya mchumba wake kukataa kumtaja mtu aliyempa Iphone 13 Pro Max

    Ni huko kwa wanaijeria. Walikuwa tayari wameshaengage na kilichokuwa kinasubiriwa ikawa ni Wedding. Mwanamke alirudi na Iphone 13 Pro Max na alipoulizwa kwamba nani kamnunulia simu hiyo ya Gharama akadali ni Family member. Alipoulizwa huyo Family member ni nani akagoma kudisclose Identity...
  12. BARD AI

    iPhone 14 Pro na Pro Max zinatumia sensor ya Camera yenye uwezo wa 48Megapixels

    Ni mabadiliko makubwa sana kwa sababu kuanzia iPhone 6s mpaka iPhone 13 zote zinatumia 12MP. Megapixels 48 ni tofauti na Megapixel 12 kwa sababu MP48 inakusanya details nyingi katika picha na video kuliko 12MP. Jambo la kuwafahamisha watumiaji wa iPhone 14 Pro na iPhone 14 Pro Max; picha na...
  13. BARD AI

    Mwonekano mpya wa simu ya OnePlus 11 Pro umevuja

    OnePlus ilikuwa ni brand nzuri sana katika design, lakini kwa zaidi ya miaka mingi inabadili mwonekano wake kila muda na fans wake hawapendi kuona kila model ina design yake. Mwaka jana katika OnePlus 10 Pro ilikuwa na mwonekano mpya wa kamera lakini wengi hawakupenda mwonekano ule. Jambo la...
  14. Narumu kwetu

    Trump; karata aliyoicheza putini kwa weledi mwishowe akalamba joka

    Akuna asiyejua Trump na Putin ni maswaiba walioshibana na iliaminika Russia walihusika katika kuhakikisha Trump anaingia white House, na hata uvamizi wa Russia kwa Ukraine Trump alihojiwa akadai mbona Putin yupo sahihi. US na vyombo vyake vya usalama walichelewa japokua siyo sana kuugundua...
  15. Poker

    Mauzo ya iphone 14 pro na max yavunja rekodi. Zaidi ya simu milioni 10 mpaka sasa

    Kampuni ya Apple inc kupitia devices zake za iphone leo zimeweka rekodi duniani ambayo haijawahi kutokea. Zaidi ya devices 10 ml zimeuzwa leo huku ikiwa ni rekodi duniani. Iphone wanasema hiyo rekodi haiwezi vunjwa kwa miaka 100 ijayo na kampuni zote za simu hata zikishirikiana. Congrats 👏...
  16. Poker

    Septemba 07, 2022 ndiyo iPhone 14 inazinduliwa. Wapenzi wa iPhone tukutane hapa kujuzana prices and specs

    Kesho September 7 ni iphone keynote event ambapo inatarajiwa iphone 14, 14 max na max pro zitazinduliwa rasmi. Inaaminika kutakuwa na major upgrade kwenye upande wa camera na video itaweza kurecord hadi 8k. Pia inasemekana kutakuwa hakuna sim cards slot na badala yake ni esim.
  17. mbinda_smartphones

    Phone4Sale Tunauza simu aina mbalimbali

    Sony Xperia XZ1 || 4GB RAM || 64GB Storage || Free Cover & USB || Used From Dubai || Price 220,000/= Call: 0765 683 574 Instagram mbinda_smartphones
  18. red apple

    Xiaome redme note ten pro

    Habarini? Jamani nimepoteza charger ya Xiaome redme note ten pro(fast charger) Kwa yeyote aliyenayo naomba anicheck, nahitaji Kwa haraka, maana charger za kawaida zinasumbua.
  19. L

    Karibu Studio Iris Pro

    KARIBUNI SANA STUDIO IRIS PRO KWA MAHITAJI YAFUATAYO 1. RECORDING 2. SHOOTING 3. DOCUMENTARY BEI ZETU NI NAFUU, TUNAKUFUATA POPOTE KENYA NA TANZANIA PIGA SIMU +255737817081/+255755549602 WhatsApp +255657414142 Kwa kutazama UBORA WA KAZI ZETU FINGUA LINK IFUATAYO:- STUDIO IRIS PRO...
Back
Top Bottom