Habari wadau.
Nani anajua vizuri hizi airpods pro copy. Naona kila anaeuza zake zina utofauti tofauti. Sasa nashindwa kujua ipi ni bora kwa sasa.
Naombeni ushauri wenu
Niwasalimu ndugu zangu nyote katika mtandao wetu pendwa JF.
Bila kupoteza muda ndugu zangu natafuta mother board ya printer hp laserjet pro mfp m125a. Kwa anayejua wauzaji wa hapa Tanzania au kama unayo tafadhali naomba ushirikiano wa kuweza kuipata.
Natanguliza shukran.
Picha ya mother board husika
Wataalam habari zenu. Naomba msaada wenu kama itawapendeza.
Bila kufahamu nilifanya updates ya window 10 na kujikuta tayari imekuwa window 10 pro na sasa inaomba nifanye change of key.
All microsoft softwares zimesimama kufanya kazi. Microsoft offices zimegima, outlook nayo imegoma.
Please...
Mwaka juzi wa 2019 Mwezi November, JF Member My Son drink water aliwahi kusema kwamba "Kenya imecheza sana ujasusi wa kiuchumi dhidi ya Tanzania, nashukuru Mungu tena dakika za mwisho TISS walistukia mchezo vinginevyo VodaCom nayo ilikuwa inakufa na ingekuja kufufukia Kenya"
==========...
Habarini Wadau
Nina hitaji kununua hii simu kutoka kwa Muuzaji yeyote aliyepo Dar, iwe Mpya Kabisaa. Mimi nipo mkoa tofauti na DAR. Lengo hapa nikujua ni Muuzaji gani naweza kumtafuta instagram ambae ni wa kuaminika na simu zake hazina magumashi.
Muuzaji ambae atapendekezwa na wengi bila shaka...
Hii ni taarifa kwa wachumia tumbo wote na wafitini.
Ni muhimu tukawaelewesha kuwa timu yetu huwa haibadiliki na majira kwani ina one and only purpose.
Timu hii itasimama na CCM katika hali zote.
Timu hii hupewa majina mengi.
Timu hii inasimamia uzalendo.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Wadau polen na majukum
Kuna simu nimeziona pale kikuu zina ram ya kutosha na internal gb nzur sn halaf bei ya kawaida nikasema ngoja nililete hapa kwa wajuvi mtujulishe juu ya ubora na uimara za hiz simu
Naomba wataalamu wa simu mtufafanulie zaid natuma na sceen shot zake
Kwa usahihi na usalama: Fuatilia stock, mauzo, matumizi na faida. Simamia biashara yako popote ulipo! Hakuna kuumiza kichwa. Pata kila kitu unachohitaji kwa ujasiri kuendesha Biashara yako.
Mfumo wetu huu unauwezo wa kufuatilia na kurecord Mauzo, Faida Hasara, Kodi, Mfumo wa Mauzo yani POS...
As a Founder and Principal Consultant of Furia Consulting Ltd, I cordially introduce you to Furia Consulting Ltd. We offer project management and consulting services in Tanzania and internationally. We categorize our services into Consulting and Training services.
Following the Project...
Natakaa kuagiza LCD hii hapa US $25.88 30% OFF|5.5
ni mara yangu ya kwanza kufanya manunuzi kwenye mtandao huu pia kama kuna option naweza kupata kwa hapa Tanzania kwa bei nafuu na nikizuri mnisaidie.
Wakuu habarini za jioni.
Naombeni msaada namna ya kuifungua simu za huawei v19 pro ziweze kutumia mitandao ya ndani ya nchi, kwani nimenunua simu tajwa hapo juu kila ninapoweka laini za mitandao ya Tanzania hazisomi isipokuwa kwa emergency calls tu, hivyo naombeni msaada kwa hilo wakuu...
Habar wadau,
Nimeipenda simu ya xiaomi redmi note 8 pro ila ni china version
Bei yake 450,000
Kabla ya kufanya manunuzi napenda kufahamu China version ya xiaomi itashika band za Tanzania?
Pia bei hio ni reasonable kwa simu hio
Ushauri wadau.
Price: 4 mil
iPhone 12 Pro Max 256GB
Availability location: Dar Mwenge.
Unapewa na vocha ya elfu 10 kwa mtandao utakaopenda
Karibuni
Call us now
+255744033555
ACHA KUTUMIA WINDOWS ZILIZO KUWA CRACKED ZINA VIRUS NA MALWARE KUFANYA MASHINE INAKUWA SLOW . JIPATIE GENUINE WINDOWS LICENSE KWA 30K TU.
CONTACT: WHATSAPP - +255688646309
Wandugu
Naitaji Cartridge tajwa hapo juu ikiwa full complete
Kwa ajili ya printer yangu ambayo nimeweka picha yake hapo chini
Mtu yoyote ambae anauza basi anidm tufanye biashara
Niko dodoma but muuzaji Hata akiwa dar es salaam sio mbaya
habari ya wakati huu wadau. ninatumia Samsung J2 Pro kwa miaka mitatu sasa. lakini sasa betri yake imechoka. ikiwa na asilimia 30 simu inazima pia betri yake imevimba. Naombeni mnijuze wapi naweza pata betry yake orijino. nipo Iringa. Natanguliza shukrani
Mimi ni mpenzi wa Android hasa Samsung miaka mingi na napemda sana hizi high end devices zake.
Ila Samsung ananiangusha kitu kimoja tu, Camera, 📷 yake sio nzuri sana kulinganisha na hata simu za kawaida za Pixel za Google, hata leo wame-launch Note 20 ila sioni kitu cha maana kipya.
Product za...
Lenovo K5 PRO BLACK *BRAND NEW*
Qualcomm Snapdragon 636
64 GB Space
4 GB RAM
5.99 inch screen
4050 maH Battery
Double Line and supports 4G all networks.
4 Cameras - 2 Back cameras (16MP,5MP) 2 Selfie Cameras (16 MP, 5 MP)
1 YEAR WARRANTY FROM LENOVO
Price : IMESHAUZWA
Contact ...
PROMINENT Congolese scholar and former University of Dar es Salaam History lecturer Prof Ernest Wamba dia Wamba has passed away in Bunia, Democratic Republic of Congo.
Until Thursday morning, there were no more details about his death.
In 1980, the demised Wamba accepted a position as...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.