KUUNDA PEPO KUPITIA PUNYETO NA UASHERATI
Wakati mtu anatoa mbegu bila sababu matone hayo ya mbegu hutoka na kupaa hewani.
Matone hayo hayaingii kikoa takatifu, na hazipati mahali pazuri.
Badala yake, zinatangatanga bila kusudi, na kuunda viumbe vya uharibifu ambavyo vinazurura ulimwengu...
Hello jamiiforum.
Hope mko salama
Happy birthday to me ,
Nimezaliwa tarehe 2
Mwezi wa pili
Miaka mingi iliyopita.
Hivyo ni kumbukizi nzuri kwangu
Leo tuone madhara ya punyeto kiroho si kimwili, ipo hivi punyeto au kujichua ni hali ya kujisisimua kwa kuvuta picha ya mtu fulani anatevutia...
Kama kichwa cha habari kinavyosema nilikua mraibu wa punyeto kupita kiasi takribani robo tatu 3/4 ya umri wangu na maisha yangu..
Nilianza uraibu wa punyeto baada ya kubalehe tuu na niliijua kupitia kwa kiongozi wa dini ambaye mpaka leo na muona kuwa ni shetani. yeye ndiye aliyenifunza kupiga...
May all souls find enlightenment,
Moja kwa Moja kwenye mada, nianze kwa kusema Mimi ni mwanaume (45) nimepata na pamoja na mambo mengine katika ndoa yangu naenjoy sana sex ofcourse nina michepuko kadhaa pia. Sinywi pombe, sivuti sigara, napenda kula vizuri (starehe yangu nyingine) nafanya...
Wakuu kwema aisee nina tatizo tatizo kubwa mimi nimeanza punyeto 2014 nilifundishwa na ndugu yangu aisee kuanzia pale nikawa nafurahia huu mchezo mpaka leo
Sasa kuna tatizo limenikuta aisee nikifanyq mapenzi huwa natumia mda mrefu saana na sikojoi kabisa yaani mpaka mpenzi wangu anachoka ila...
Wakuu
Tukio la kushangaza kutoka Kenya limekuwa gumzo mitandaoni baada ya video ya CCTV kuonyesha mwanamume akifanya kitendo cha aibu ndani ya duka huku akimwangalia mwanamke aliyekuwa dukani hapo.
Jamaa huyo alinaswa akipiga Punyeto, kitendo cha kujiridhisha waziwazi, jambo lililowafanya...
Addiction ni tatizo lingine kabisa, unafanya kitu flani kinakupa raha, ukiendekeza sana kinakukamata akili na nafsi,
Kusema kuutibu mwili kwa kumeza vidonge, mizizi, kuogea dawa, kufukizwa, n.k. utahangaika sana, Tatizo sio mwili bali ni akili, mtu anaamua mwenyewe kwa hiari yake.
Dawa za...
Wavulana wengi wamekuwa wakiathirika sana na tatizo hili la kujichua, hasa wanapokuwa katika shule na vyuo, mchezo huu wa kujichua wamekuwa wakiutumia sana.
Sababu kuu inayopelekea kujichua ni kutamani, wengi huangalia picha za utupu(xx) katika mitandao ya kijamii na baadaye fikra huathiriwa na...
Dawa ya kuacha punyeto hii hapa
Nenda kwenye duka za asili nunua unga wa kibiriti upelele changanya na mafuta ya mizeituni, nunua chumvi ya mawe walau nusu.
Weka chumvi ya mawe kwenye maji usiku jitahidi usiogee bafuni, jitamwagie hayo maji yaenee mwilini pote...ukimaliza jifute Na taulo safi...
ni asilimia 1 tu ya wanaume walio na access ya kuangalia porno kila siku ama kila saa bila kujichua.ulidanganywa ulipoambiwa picha za ngono ni kwa ajili ya kujifunza style za tendo la ndoa.
Porno ni kwa ajili ya ku stimulate.Na wengi sana hujichua ndani ya maofisi,ndani ya vyumba vyao na...
Unaweza kuhitimisha kwa kusema,
Inafedhehesha sana,
Inasikitisha sana,
Inasononesha sana kwakeli.
Uzuri wanakiri wenyewe kupiga nyeto kwa muda mrefu sana.
Ni aibu mno ndrugu zango..
Hivi sasa wanajutia nguvu imara sana za kijinsia, walizopoteza bafuni kwa nyeto kwa uhodari sana, lakini pia...
wana group nimegundua watu wanapitia magumu kuhusu punyeto...
NAAMINI KUPITIA HILI SOMO UTANISHUKURU
SOMO MUHIMU*
👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾
Ili uweze kuacha kupiga punyeto fanya yafuatayo:-
➡️Andaa calendar ya mwezi mzima
➡️Kisha amua na sema nimeacha kuanzia leo.
➡️Kisha jiwekee target mfano, nataka...
PUNYETO -Hapa siongei sana 😂😂😂😂😂 mara moja moja usiwe kama kina drone yaani wenyewe kwa siku mara 7.
kuna watu now wanasumbuliwa sana na nguvu za kiume, Usahaulifu uliopindukia (ukungu kwenye ubongo)
Unajiuliza mbona huyu mzee anasahau sahau sana kumbe deep down mzee alikua CHAPUTA😂😂😂😂😂
Hapa mtaani Kuna tukio limenisikitisha mno kijana etu mdogo miaka 19 anaenda jela miaka 30 kosa la kubaka niliwaonea huruma san wazazi wake.
Hivi haya matukio ya ulawiti, ubakaji pamoja na vifungo vya jela na magonjwa ya hatari kama HIV n.k, yanazidi kuiathiri jamii yetu has upande wa wanaume...
Unakua mchoyo wa penzi, halafu matokeo yake ukifika nyumbani unaishia kupiga punyeto,huku ukijutia kupoteza fursa uloikataa bila sababu ya msingi, baada ya kuombwa penzi na mtu wa maana sana.
Na mbaya zaidi saa zingine, ukimkuta mtu yule yule uliemkataa anatoka na mtu mwingine na wanapendana...
Nazungumzo na wewe ambae unatoka bafuni kupiga punyeto usirudie tena sawa?
Na wewe unaejiandaa kwenda kupiga punyeto bafuni acha hiyo ujinga bana..
Na nyie mliomaliza kusagana hapo, tafadhali msirudie tena huo uchafu.
Sikia, nyie mabinti mnataka kuanza kufanya nini hapo, embu acheni huo...
Jamani hamjambo?
Mimi Mimiamadiwenani, nilianza maisha yangu yangu ya punyeto rasmi nikiwa kidato cha sita. Hii ilikuwa ni kwa ushawishi wa rafiki zangu wa karibu, ukizingatia shule niliyosoma ni ya wavulana tupu. Unaweza uka imagine hapo.
Nilianza mdogo mdogo kwa ila nilianza kuwa addicted as...
ili kurejesha uimara wa misuli ya uume wako na kuifanya iwe komavu chukua kanuni hii, tafuta asali mbichi ya nyuki wa dogo, tafuta unga wa mvunje haltiti.
Tafuta mafuta ya zaituni, tafuta kitunguu saumu
Maandalizi
Chukua zaituni mils 20
Chukua kitunguu thaumu kisage upate mafuta yake mils 10...
Wazee mi nilijuaga hii mishe watu wanaacha automatically wakiwa wanaachana na ule umri wa kubarehe kumbe ni addiction kama addiction nyingine tu.
Kumbe kuna Married men wanapiga punyeto, Womanizers wenye mademu lukuki lakini bado nao ni hivyo hivyo.
Aisee achana na kitu kinaitwa addiction...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.