pwani

For the province in Kenya known as "पानी" in Swahili, see Coast Province.Pwani Region is one of Tanzania's 31 administrative regions. The regional capital is the town of Kibaha. According to the 2012 national census, the region had a population of 1,098,668, which was slightly lower than the pre-census projection of 1,110,917. From 2002 to 2012, the region's 2.2 percent average annual population growth rate was the seventeenth-highest in the country. It was also the 21st most densely populated region with 34 people per square kilometre. With a size of 32,407 square kilometres (12,512 sq mi), the region is slightly larger than the U.S. state of Maryland (32,133 square kilometres (12,407 sq mi)).
The region is bordered to the north by the Tanga Region, to the east by the Dar es Salaam Region and the Indian Ocean, to the south by the Lindi Region, and to the west by the Morogoro Region. The word "पानी" (pānī) in Kiswahili means "coast".

View More On Wikipedia.org
  1. Erythrocyte

    Andrew Chenge achukua fomu ya kugombea Uspika. Fahamu kuhusu wasifu wake

    Habari ndio kama mnavyoisikia ndugu zangu, mzee wa vijisenti ambaye inasemekana ana akili nyingi kuliko wagombea wengine wote waliokwishachukua fomu, leo tarehe 12/01/2022 amejitosa kwenye kinyang'anyiro hicho. WASIFU KUZALIWA - Mbobezi wa Sheria Barani Afrika na "Alumni" wa Chuo kikuu bora...
  2. Miss Zomboko

    Pwani: Watatu wafariki kwa kulipukiwa na kitu kinachodhaniwa kuwa bomu

    Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Wankyo Nyigesa, aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa tukio hilo lilitokea juzi majira ya saa 8:00 mchana katika kijiji cha Pongwe Msungura, Kata ya Msata. Wankyo alisema watu hao waliokota chuma kinachodhaniwa kuwa ni bomu ambacho kililipuka mikononi mwao na...
  3. B

    Mkoa wa Pwani watoa Mawaziri watano kwenye baraza jipya; ni bahati mbaya au ndiyo tuseme sasa zamu ya watu wa Pwani?

    1. Ridhiwani Kikwete Mbunge wa Chalinze 2. Mchengelwa Mbunge wa Rufiji 3. Jafo Mbunge wa Kisarawe 4. Kipanga Mbunge wa Mafia 5. Juma Ulega Mbunge wa Mkuranga Je, upi mchango wa mkoa wa Pwani kwenye uchumi wa Tanzania? Upi mchango wa Pwani kwenye kura za Uchaguzi Tanzania? Upi mchango wa...
  4. sanalii

    Nini maoni yako kuhusu bati G30 hasa kwa mazingira ya pwani?

    Wakuu nimeona kuna gap la kama milioni moja kwa bei ya G30 na G28, je bati G30 haina shida?
  5. J

    TMA: Leo Desemba 3, 2021 kutakuwa na mvua kubwa katika maeneo ya Pwani, wa mabondeni chukueni tahadhari

    Utabiri wa hali ya hewa uliotolewa na TMA umeonyesha kanda ya Pwani itakuwa na mvua kubwa siku ya leo. Wananchi wa mabondeni chukueni tahadhari. Chanzo: ITV habari
  6. M

    Rais Samia awapa shavu Wazanzibar: Ajira asilimia 21 za Muungano kuwa za Wazanzibar

    Watu milioni 58 wanagombania asililia 79 ya Ajira Ila watu milioni 1.5 unawapa asilimia 21 ya Ajira Hongera mama, Charity begins at home. Watanganyika huu ni muda wa kukaa na kutafakari huu muungano una faida na sisi au la? Hebu tazama 1. Mzanzibar ana haki ya ardhi yote ya Tanzania...
  7. Frumence M Kyauke

    Diwani wa Wilaya ya Kisarawe Pwani alalamika uhaba wa kondomu

    Diwani wa Kata wa Kibuta wilayani Kisarawe mkoani Pwani Mhandisi Mohamed Kilumbi, amesema kuwa Kata ya Mbuyuni wilayani humo inakabiriwa na upungufu mkubwa wa Condom na kuiomba kamati ya kupambana na UKIMWI kuchukulia kwa uzito jambo hilo na kuhakikisha bidhaa hizo zinafika kwa haraka.
  8. T

    Mbunge wa Pwani analalamika

    Mbunge; Kiwanda cha madawa ya mbu kimebaki MAHAME nini mpango wa serikali huku mkiagiza madawa ya mbu nje. NW Viwanda mbunge muongo kiwanda kinafanya kazi. Spika naagiza kamati ifike kiwandani kama ni mahame au kinafanya kazi. Swali langu kama mbunge wa eneo husika haaminiki kamati ya siasa...
  9. Analogia Malenga

    Mitambo yashindwa kuondoa mti wa asili Hifadhi ya Taifa ya Nyerere

    Menejimenti ya Hifadhi ya Taifa ya Nyerere katika mikoa ya Morogoro na Pwani imelazimika kuuhifadhi mti wa asili jamii ya Marula uliokuwa ukitumiwa na watu mbalimbali wa zamani kufanya matambiko ya asili kuwa kama sehemu ya kivutio ndani ya hifadhi hiyo baada ya kushindwa kukatika kwa zana na...
  10. mdukuzi

    Natafuta shamba la kukodi DSM au mkoa wa pwani

    Nahitaji ekari moja au mbili shamba la kukodi kwa ajili ya kilimo kwa maeneo tajwa hapo juu,kuwe na maji ya kumwagilia,
  11. Red Giant

    Mchanga Dar na miji mingine ya pwani umetoka wapi?

    Habari wandugu, hivi mchanga katika miji ya pwani umetokea wapi? Maana unaweza kuukuta umbali wa kilomita kadhaa kutoka baharini, je bahari imewahi kufika huko?
  12. Ugumu wangu

    Pwani: Utupaji maiti katika msitu wa Pugu Kazimzumbwi, umekithiri

    Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani wameiomba kamati ya ulinzi na usalama kukomesha matukio ya utupaji maiti katika msitu wa Pugu Kazimzumbwi, ambapo Julai hadi Agosti maiti sita zimekutwa kwenye msitu huo. Chanzo: East Africa TV
  13. Ramon Abbas

    Plot4Sale Shamba kubwa linauzwa, miono chalinze mkoa wa pwani.

    Hili hapa shamba pori. Eka 50 liko miono chalinze pwani. source ya maji ipo 24hrs. Tsh 220,000 kwa ekari moja call 0683011003.
  14. Ramon Abbas

    Plot4Sale Nauza viwanja viwili, kimoja kipo Mkuranga Pwani na kingine kipo Madale Dar es Salaam

    Mkuranga: kiwanja square metre 908 kipo km 6 kutoka kongowe eneo lilishajengeka sana bei: 6 million Ramani yake hii hapa kiwanja namba 114
  15. J

    Wanajeshi wa Korea Kusini wapata maambukizi ya #COVID19 wakiwa Pwani ya Afrika Mashariki

    Waziri Mkuu, Kim Boo-kyum ameomba radhi mbele ya Umma kwa Serikali ya Korea Kusini kushindwa kuzingatia #Afya za Askari wake wa Kikosi cha Maji Wanajeshi hao wa Korea Kusini wako kwenye doria maalum ya kukabiliana na Uharamia katika Pwani ya Afrika Mashariki Wizara ya Ulinzi imethibisha kuwa...
  16. Erythrocyte

    Awamu ya pili ya Operesheni Haki kutikisa tena, itaanzia Kanda ya Pwani

    Ile kampeni ya kuhamasisha upatikanaji wa Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi iliyotikisa Nchini Tanzania ya OPERESHENI HAKI , itaendelea tena baada ya kusimama kwa muda kwenye Kanda ya Pwani na baadaye Zanzibar na Pemba , Taarifa hii imetolewa na Katibu Mkuu wa CHADEMA Mh John Mnyika...
  17. A

    Plot4Sale Shamba linauzwa Kibaha Pwani

    Shamba linauzwa, Kibaha Mlandizi Miswe ukubwa eka 55. Chanzo cha maji huakika, kilimo kipindi chote kwa mwaka,maji ya mto ruvu na mto msumbiji. Linafaa kwa kilimo cha mazao mengi, ulimaji wa mboga,na ufugaji Samaki.udongo mweusi,usioitaji mbolea. Njia ya kufika kupitia bagamoyo au mlandizi...
  18. Analogia Malenga

    WAFUGAJI wa mazao ya baharini wametakiwa kujikita katika kilimo cha majongoo ya pwani ambacho mahitaji yake ni makubwa katika soko la nje la kimataifa

    Hayo yalisemwa na Waziri wa Uchumi wa Bluu na Uvuvi, Abdalla Hussein Kombo, wakati akiwasilisha makadirio, mapato na matumizi ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2021-2022 katika kikao cha Baraza la Wawakilishi. Alisema wizara tayari imeanza kuwashajihisha wafugaji wa mazao ya pwani ikiwamo...
  19. Corticopontine

    Pwani: Mmoja afariki dunia baada ya nyumba aliyokuwa amelala na wenzake kuchomwa moto na wasiojulikana

    Mkazi wa Umwerani, Kata ya Kongowe, Kibaha Mkoani Pwani Mrisho Omary amefariki baada ya nyumba ya udongo iliyoezekwa kwa nyasi kuchomwa moto na Watu wasiojulikana akiwa amelala na wenzake ndani. Watu wengine waliokuwa kwenye nyumba hiyo siku ya tukio May 15,201 ni Mwalimu Ally Shaban na...
  20. R

    Ukanda wa Pwani na ukame uliokithiri, TMA ukame huu unasababishwa na nini?

    Mfano Tanga hapakuwa na mvua kabisa. Hapakuwa na masika. Jua ni kali sana, Tatizo linasababishwa na nini? TMA tunaomba maelezo ya kitaalamu
Back
Top Bottom