pwani

For the province in Kenya known as "पानी" in Swahili, see Coast Province.Pwani Region is one of Tanzania's 31 administrative regions. The regional capital is the town of Kibaha. According to the 2012 national census, the region had a population of 1,098,668, which was slightly lower than the pre-census projection of 1,110,917. From 2002 to 2012, the region's 2.2 percent average annual population growth rate was the seventeenth-highest in the country. It was also the 21st most densely populated region with 34 people per square kilometre. With a size of 32,407 square kilometres (12,512 sq mi), the region is slightly larger than the U.S. state of Maryland (32,133 square kilometres (12,407 sq mi)).
The region is bordered to the north by the Tanga Region, to the east by the Dar es Salaam Region and the Indian Ocean, to the south by the Lindi Region, and to the west by the Morogoro Region. The word "पानी" (pānī) in Kiswahili means "coast".

View More On Wikipedia.org
  1. Kasri Homes Tz

    Plot4Sale Kibaha: 3,886 Sqm Plot For Sale - Pwani

    • Direction: Picha ya Ndege • Survey: Surveyed and planted with beacons • Plot Area: 3,886 sqm • Document: Sales agreement (title still on process) • Price: TSH 100 million • Viewing charge: TSH 30,000 . ✓ iko levo ✓ miundo mbinu yote ipo ✓ inafaa ujenzi wa makazi au biashara ...
  2. Kasri Homes Tz

    Plot4Sale Kibaha: 1,998 Sqm Plot For Sale - Pwani

    • Direction: Tanita, 1 km off Morogoro Road • Plot Area: 1,998 sqm • Document: Title deed • Price: TSH 75 million • Viewing charge: TSH 30,000 . ✓ iko levo ✓ ina uzio ✓ miundo mbinu yote ipo ✓ inafaa ujenzi wa makazi au biashara . #InRealEstateWeConnect ☎💬 +255767157788
  3. Kasri Homes Tz

    Plot4Sale Kibaha: 1,500 Sqm Plot For Sale - Pwani

    • Direction: Kibaha Bus Terminal, 100 meters off Morogoro Road • Plot Area: 1,500 sqm • Document: Title deed • Price: TSH 70 million • Viewing charge: TSH 30,000 . ✓ kiko levo ✓ miundo mbinu yote ipo ✓ kinafaa ujenzi wa nyumba ya kuishi; nyumba za kupangisha; nyumba ya kulala wageni; hoteli...
  4. P

    Je, tutatarajia maandamano kufanywa na wanaume wa Dar na Pwani?

    Kesho itakuwa tarehe 23 Sept 2024. Siku ambayo chadema wamepanga kufanya maandamano ya amani kuishinikiza serikali kuwarudisha makada wote wa chadema waliotekwa na wasiojulikana lakini pia kuomba haki itendeke kwa waliouawa. Serikali kupitia jeshi la polisi imepiga marufuku maandamano haya kwa...
  5. Q

    Kamati Kuu CHADEMA imemteua Boniface Jacob kugombea Uenyekiti Kanda ya Pwani

    TAARIFA KWA UMMA Kamati Kuu ya Chama iliyoketi kwenye kikao chake cha kawaida tarehe 17-18 Septemba, 2024 Jijini Dar Es salaam pamoja na ajenda nyingine imefanya uteuzi wa wagombea wa nafasi mbalimbali katika Kanda za Pemba, Kusini na Pwani. Soma Pia: Wafuasi Chadema wamsindikiza Meya...
  6. Sir John Roberts

    Ndege Vita za Russia ndani ya saa 48 katika ya pwani ya Marekani na Canada. USA alalamikia Uchokozi wa Russia

    Saa 48 zilizopita urusi amerusha ndege za kivita karibu na pwani ya Marekani na Canada kutokea baharini upande wa Jimbo la Alaska kitendo kilichoikasirisha sana marekani na kuita ni kitendo cha uchokozi kutoka kwa urusi . Safari hii hii marekani ajiandae kuonja utamu wa vita. Rais Putin...
  7. Cleverman324

    Mkoa gani nje ya Dar naweza kufanya kilimo cha mboga na matunda?

    Wasalam wadau, Naomba mawazo yenu. Binafsi nimekuwa mid town hunter kitambo Sina ujanja wa kutosha kuhusu haso za nje ya Dar, sasa naomba ushauri wenu kuhusu location nzuri ya haso za uhakika nje ya jiji la Dar kwa mtaji wa mil 7+ Natamani nijue eneo nitakapoweza kufuga na kufanya kilimo cha...
  8. ngara23

    Mkoa wa Pwani una vijiji na Mapori ya kutisha sana

    Licha ya huu mkoa kupakana na jiji la Dar es salaam ambalo ndo jiji kubwa Tanzania na Africa Mashariki Kwa ujumla, lakini mkoa wa Pwani unatishia, Mkoa wa Pwani una Mapori mazito yamefunga Giza na ya kuogopesha sana. Me natokea Kanda ya ziwa, mkoa wa Kagera tuna vijiji na Mapori ila Kwa mkoa wa...
  9. Roving Journalist

    Pwani: Mtuhumiwa afariki kwa kujinyonga katika Mahabusu ya Mahakama

    Tarehe 13.08.2024 majira ya 12:20hrs huko katika Mahakama ya Wilaya ya Kisarawe, Mkoa wa Pwani, Seleman Mzirai Kibiki, Miaka 49, Fundi magari na Mkazi wa Kiluvya, Kisarawe alijinyonga akiwa mahabusu ya Mahakama akisubiri kupelekwa gerezani mara baada ya kutiwa hatiani. Marehemu alihukumiwa...
  10. Mr Chromium

    Wasomali wameungana dunia nzima kupinga Ethiopia wasipewe bandari walini Rasi wao kawapa uturuki pwani nzima ya somali??Hiii Kitaalamu ni akili gani??

    Coast ya Somalia kwasasa inamilikiwa na uturuki!! Lakini huwezi wakutaka wakiongea. Ila nguvu zote wameelekeza kwa somaliland ambayo imempa kipisi tu Ethiopia ijenge Bandari!! Ni chuki au Akili ya kufirikir ndo tatizo
  11. C

    Kuna utekaji na mauwaji Kisemvule Pwani, nani anajali?

    Jana usiku wakati naongea na moja ya ndugu zangu anaishi kisemvule kwa pembe au wanaita kisemvule mpera. Tumeongea mengi pamoja na salamu za hapa na pale akanisimulia kuwa huku baba hali imebadilika sana kuna hali ya sitofahamu watu tunaishi kwa mashaka sana na watoto zenu. Kwa sababu hivi...
  12. M

    Viwanda vya nondo Mwanza, Pwani na Dar wanalipa kiasi gani kwa siku?.

    Ok straight to the point. Hivi viwanda vya nondo katika mikoa ya Mwanza na Dar wanalipa kiasi gani kwa siku?. Kwasasa nipo Nzega Tabora, Sehemu ya kufikia kwenye hayo majiji ninayo. NB: Nimejaribu kuulizia kwa masela nao hawajui, nikaona niulize shida yangu hapa.
  13. Riskytaker

    Ngome ya CCM ipo Dodoma, Tanga na Pwani

    Ngome ya CCM ipo Dodoma, Tanga, na Pwani. Mikoa hii inathaminiwa na CCM, kwani wanapewa fadhila kwa kuwapa wabunge wao nafasi za uwaziri. Katika kipindi kijacho, tunaweza kuona viongozi kama: 2025: Samia Suluhu Hassan 2030: Kassim Majaliwa 2040: January Makamba 2050: Ridhiwan Kikwete...
  14. C

    Mkoa wa Pwani mnastahili pongezi kwa kutoa Mawaziri wengi

    Hakika nyie Ni maalum haswa nchini, 1. Jafo, 2. Mchengerwa, 3. Ulega, 4. Ridhiwani, 5. Kipanga.
  15. The Supreme Conqueror

    Serikali yaendelea kuboresha miundombinu ya barabara mkoani Pwani

    Pwani Serikali kupitia Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imeendelea kuboresha na kufanya matengenezo ya miundombinu ya barabara katika mkoa wa Pwani ili kurahisisha shughuli za usafiri na usafirishaji kwa wananchi. Hayo yamesemwa na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za...
  16. ndege JOHN

    Faida ya mvua ya June mikoa ya Pwani

    Mwezi wa Sita Pwani ya mashariki na ya kusini mwa Tanzania lazima mvua inyeshe Kwa ajili ya maua hasa ya mikorosho na maembe pia mvua inasaidia kupunguza baridi ndo maana Jana maeneo ya Dar na Mtwara imeendelea kunyesha.
  17. beeper

    Njoo bàriadi mjini nije pwani, morogoro au dar idara ya msingi

    Habari walimu.Mimi ni mwalímu nipo elimu idara ya msingi halmashauri ya mji bàriadi -simiyu nahitaji mtu wa kubadilishana naye Mimi nije pwani , morogoro au dar.Namba za simu 0745388532
  18. green rajab

    Nyambizi ya Kinyuklia ya Russia yashtukiwa pwani ya Uingereza

    🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧 Saa chache zilipita Ndege ya kusaka Nyambizi ya Uingereza (RAF Poseidon P8 anti-submarine) imeigundua Nyambizi ya Ki nyuklia ya Russia ikiwa katika pwani yake na kuzua hofu na kuitisha kikao Cha dharura. Ikumbukwe Nyambizi zingine za Urusi zipo Cuba 60 km toka Pwani...
  19. LICHADI

    Siku moja fanya huu utalii kwa kwenda mikoa ujawahi enda, utaenjoy

    Utalii sio lazima uende Serengeti Moja ya utalii ni kwenda mikoa ambayo hujawahi kufika unaweza ukajikuta unafurahia pia Kuna siku nilipanda basi tu nikasema ngoja nikaione Mtwara kama masihara Ile napita Mkuranga, Kibiti, Rufiji Daraja la Mkapa, Nangukuru, Lindi aisee Mkoa Wa PWANI, LINDI...
  20. B

    Mariam Ulega achangia milioni 3 kampeni kusaidia baiskeli mtoto mwenye ulemavu Pwani

    Na Mwandishi Wetu, Michuzi TV MJUMBE wa Baraza Kuu UWT Taifa ambae pia ni Mwenyekiti wa Jukwaa la Uwezeshaji Kiuchumi Wanawake Mkoa wa Pwani Mariam Ulega amechangia Sh. milioni 3 kwa kikundi cha Pwani Generation Queens (Mwanamke Sahihi Fete) ili kuunga mkono kampeni ya kumsaidia baiskeli mtoto...
Back
Top Bottom