qatar

Qatar (, (listen), or (listen); Arabic: قطر‎ Qaṭar [ˈqatˤar]; local vernacular pronunciation: [ˈɡɪtˤɑr]), officially the State of Qatar (Arabic: دولة قطر‎ Dawlat Qaṭar), is a country located in Western Asia, occupying the small Qatar Peninsula on the northeastern coast of the Arabian Peninsula. Its sole land border is with neighbouring Gulf Cooperation Council (GCC) monarchy Saudi Arabia to the south, with the rest of its territory surrounded by the Persian Gulf. The Gulf of Bahrain, an inlet of the Persian Gulf, separates Qatar from nearby Bahrain.
In early 2017, Qatar's total population was 2.6 million: 313,000 Qatari citizens and 2.3 million expatriates. Islam is the official religion of Qatar. The country has the highest per capita income in the world. Qatar is classified by the UN as a country of very high human development and is widely regarded as the most advanced Arab state for human development. Qatar is a high-income economy, backed by the world's third-largest natural gas reserves and oil reserves.Qatar has been ruled by the House of Thani since Mohammed bin Thani signed a treaty with the British in 1868 that recognised its separate status. Following Ottoman rule, Qatar became a British protectorate in the early 20th century until gaining independence in 1971. In 2003, the constitution was overwhelmingly approved in a referendum, with almost 98% in favour. In the 21st century, Qatar emerged as a significant power in the Arab world both through its globally expanding media group, Al Jazeera Media Network, and reportedly supporting several rebel groups financially during the Arab Spring. For its size, Qatar wields disproportionate influence in the world, and has been identified as a middle power. Qatar is currently the subject of a diplomatic and economic embargo by Saudi Arabia, the United Arab Emirates (UAE), Bahrain, and Egypt, which began in June 2017. Saudi Arabia has proposed the construction of the Salwa Canal, which would run along the Saudi-Qatar border, effectively turning Qatar into an island.

View More On Wikipedia.org
  1. C

    Qatar nchi isiyo na maskini duniani,Je wanatheolojia wanatuficha baadhi ya taarifa?

    Ninaposoma baraka za Ibrahim,naona wazi kabisa kama vile wapo watu wanaofurahia nchi ya maziwa na asali. Nikiangalia nchi hii ya Qatar imebarikiwa na chemi chemi ya mafuta kiasi kwamba hata mtu asiye na ajira wala kazi analipwa na serikali dola 2000 kila mwezi. Watu hawalipii matibabu,mtu...
  2. Mfalme wa Saudi Arabia amezitaka Misri, Jordan na Qatar kuunganisha nguvu katika kulaani haki za binadamu za Israel

    Wanaukumbi. Mkutano Mkuu wa Nchi za Kiarabu kuijenga upya Gaza. Mfalme wa Saudi Arabia amezitaka Misri, Jordan na Qatar kuunganisha nguvu katika kulaani ukiukaji wa haki za binadamu wa Israel huko Gaza na kuishinikiza Israel kuruhusu misaada ya kibinadamu kufika katika eneo hilo...
  3. Droo ya robo fainali ya CAFCL & CAFCC itafanyika katika mji mkuu wa Qatar, Doha Alhamisi, Februari 20, 2025.

    Droo ya robofainali ya #TotalEnergiesCAFCL & #TotalEnergiesCAFCC itafanyika katika mji mkuu wa Qatar, Doha, kwa ushirikiano na mshirika wa haki za vyombo vya habari wa CAF, @beINSPORTS_EN siku ya Alhamisi, Februari 20, 2025. Hatua iko tayari tunapopanga ratiba ya kusisimua ya robo fainali...
  4. Connection ya Ajira Nchini Canada, Dubai, Qatar & Scandinavian Countries

    Habarini Wakuu!!!! Nahitaji mwenye Connection ya Ajira kwa nchi hizi (Canada, Dubai, Qatar, Denmark, Finland, Iceland, Norway,Sweden). Kama mnavyojua Bongo ajira ni kipengele kidogo, Sasa katika kuangalia mtandaoni naona wenzetu Wakenya wanasafiri sana nchi hizo kwenda kufanya kazi, na siku...
  5. Ndugu Zangu Waislamu, Kwanini Waarabu Wanakimbilia Kwenye Mataifa ya Makafiri Badala ya Nchi za Kiarabu Kama Saudia na Qatar?

    Katika miongo ya hivi karibuni, Ulaya imekuwa ni eneo la mchanganyiko wa tamaduni, ambapo mamilioni ya wahamiaji kutoka sehemu mbalimbali za dunia wamekuwa wakielekea huko. Miongoni mwao, kuna idadi kubwa kutoka nchi zenye Waislamu wengi, wakiileta tamaduni zao mbalimbali na mitazamo tofauti...
  6. M

    Haya maisha jamani nimejifunza sana kupitia Qatar world cup 2010

    Mzuka wanajamvi! Shirikisho la mpira duniani tarehe 2 December 2010 kupitia rais wake wakati huo Sepp Blatter walitangaza taifa dogo tajiri la uarabuni kuwa mwenyeji wa kombe la dunia 2022. Yani kumbuka hiyo 2010 nikawa najiuliza 2022 mbona mbali jamani wakati ndo mgeni mgeni kwenye Facebook...
  7. R

    Tujikumbushe: Mossad walivyomua Ismail Haniyeh. Kwanini hawakumuulia Qatar ambako ilikuwa rahisi, wakaenda kumuulia almost ndani ya Ikulu ya Iran

    Ilikuwa majira ya saa saba usiku na dakika 37, tarehe 31 July 2024, ndani ya jiji la Tehran nchini Iran. Mlipuko mkubwa ulisikika sehemu ambayo daima dumu usingetarajia. Mlipuko ule ukaondoka na maisha ya Ismail Haniyeh, aliyekuwa kiongozi mkuu wa Hamas. Mgogoro wa Mashariki ya Kati umekuwa...
  8. Kumbe ni Obama aliyeiomba Qatar iwape Hamas ruhusa ya kuweka kambi yao na ofisi huko

    Historia bwana tamu sana. Leo wakati natazama vintage mwadada Palki akanirudisha mwaka 2007, ambapo hamas ilishinda uchaguzi na nchi zote zikakataa kutambua serikali yake isipokuwa Turkey na Qatar. Mwaka 2011, Obama akaomba Qatar iwapatie hamas ruhusa ya kuweka ofisi zao Doha na isaidie...
  9. Qatar yakanusha uvumi kuhusu kuwafukuza Hamas, yafafanua msimamo wao kuhusu usuluhishi huo

    Wanaukumbi. Qatar inakanusha rasmi ripoti zinazosambaa kuhusu kuwatimua Hamas na kufafanua msimamo wao kuhusu upatanishi huo. Msemaji Rasmi wa Wizara ya Mambo ya Nje: Juhudi za Qatar kupatanisha Hamas na Israel zimesitishwa kwa sasa. Dk. Majed bin Mohammed Al-Ansari, msemaji rasmi wa Wizara...
  10. Maelfu ya waarabu wanakimbilia Marekani kuishi. Kwanini hawaendi Qatar, Iran au Saudia?

    Sielewi ni kwa nini maelfu ya waarabu wanakimbilia na kung'ang'ania kwenda Marekani kuishi badala ya kwenda Qatar, Iran au Saudia!!
  11. S

    Utafiti unafanywa kupendekeza Israel ifukukuzwe uanachama wa Umoja wa Mataifa, Indonesia, Malaysia, Norway, Namibia, Qatar zikiunga mkono wazo hili

    Matukio ya hivi karibuni huko Gaza na Lebanon ambayo yameonwa na wadau wengi kuwa ni ukiukwaji mkubwa wa Israel wa haki za binadamu na kuvunja kanuni za Umoja wa Mataifa, yamefanya baadhi ya nchi kuanza mkakati wa kuandaa pendekezo la kuwaondolea Israel uanachama wa Umoja wa Mataifa. Nini...
  12. Mbona mlikaa kimya sakata la rushwa ya Qatar kwa maafisa wa E.U au kwa sababu haikuwa Israel au U.S.A

    Hapo juu ni pesa alizokutwa nazo mwanadada Eva Kaili aliekuwa makamu rais wa bunge la EU. Eva Kalili alikuwa mmoja kati ya watano waliokamatwa katika sakata hili linalohusu kupokea rushwa kutoka katika serikali ya Qatar ili wawa peti peti Qatar katika umoja wa ulaya na kuinfluence umoja wa EU...
  13. Qatar Air Yanunua Hisa 25% Za South African Air Link

    Qatar Airways has acquired a 25% equity stake in South African airline Airlink, one of Africa’s largest carriers. The deal, which was signed on August 20, 2024, in Doha, builds upon years of collaboration between the two airlines, which already codeshare some of their flights. After this...
  14. Olimpiki 2036 huenda ikafanyika Qatar

    1. Kama mnavyojua Wamanga hawana dogo, wameshaanza maandalizi kuomba ku-host 2036 Summer Olympics. Hapa kwetu Lisu anakashifu "Sponsors" wanaoweza kumnunulia gari ndani ta Sekunde. 2. Tujipange tukachukue Medali Qatar. 3. Mwaka 2036 sijui Rais atakua Nani aisee
  15. Tanzania na nchi ya Qatar kusaini(Memorandum of Understanding-MOU) kushirikiana katika Utalii

    TANZANIA, QATAR KUSHIRIKIANA SEKTA YA UTALII Na Happiness Shayo- Dar es Salaam Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na nchi ya Qatar ziko mbioni kusaini Hati ya Makubaliano (Memorandum of Understanding-MOU) kushirikiana katika nyanja mbalimbali za Sekta ya Maliasili na Utalii. Hayo...
  16. Barabara za blue Qatar.

    Taifa pekee lenye lami zilizopigwa rangi ni Qatar.
  17. Marekani watoa sharti kwa Qatar kwamba HAMAS wafukuzwe mara moja kama watakaidi azimio la sasa la Israel

    Sijui watahamia wapi au waje huku kwa wanaopenda kufia haya mavitu... US Secretary of State Anthony Blinken warned Qatar last month that they should expel Hamas senior officials if the terror group rejects another ceasefire proposal, the Washington Post reported Saturday morning. Qatar...
  18. Mkuu wa HAMAS apoteza watoto watatu na wajukuu watatu huku akiendelea kula maisha Qatar

    Poleni kwa msiba, familia imepigwa bomu wakafa ndugu, watoto wake na wajukuu, yote hii kisa aliamrisha HAMAS wavamie Israel na kuchinja watoto wa Wayahudi...... Jamaa anakula maisha tu, kayapatia... ====================== Three sons of Hamas leader leader Ismail Haniyeh were killed in an...
  19. Qatar kuwafukuza HAMAS kutoka kwake kama hawataisikiliza

    Jamaa wamekomalia misimamo mikali huku wakiishi maisha mstarehe kwenye majengo ya kifahari Qatar, ilhali kule Gaza wenzao wanapokea kichapo kila siku, Qatar imeanza kuonyesha dalili za kuwatimua...... According to Egyptian and Hamas officials, Qatar has threatened to expel Hamas officially from...
  20. B

    Qatar Charity yatoa msaada wa tani 90 kwa wananchi wa Hanan’g

    Ubalozi wa Qatar Tanzania kwa kushirikiana na Tasisi ya Qatar Charity, kwa niaba ya Serikali ya Qatar, imewasilisha misaada muhimu ya kibinadamu kwa waathirika wa Maporomoko ya Udongo yaliyotokea Hanang mkoani Manyara. Shehena ya misaada hiyo iliyotolewa leo tarehe 18 Februari 2024 kwa kutumia...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…