qatar

Qatar (, (listen), or (listen); Arabic: قطر‎ Qaṭar [ˈqatˤar]; local vernacular pronunciation: [ˈɡɪtˤɑr]), officially the State of Qatar (Arabic: دولة قطر‎ Dawlat Qaṭar), is a country located in Western Asia, occupying the small Qatar Peninsula on the northeastern coast of the Arabian Peninsula. Its sole land border is with neighbouring Gulf Cooperation Council (GCC) monarchy Saudi Arabia to the south, with the rest of its territory surrounded by the Persian Gulf. The Gulf of Bahrain, an inlet of the Persian Gulf, separates Qatar from nearby Bahrain.
In early 2017, Qatar's total population was 2.6 million: 313,000 Qatari citizens and 2.3 million expatriates. Islam is the official religion of Qatar. The country has the highest per capita income in the world. Qatar is classified by the UN as a country of very high human development and is widely regarded as the most advanced Arab state for human development. Qatar is a high-income economy, backed by the world's third-largest natural gas reserves and oil reserves.Qatar has been ruled by the House of Thani since Mohammed bin Thani signed a treaty with the British in 1868 that recognised its separate status. Following Ottoman rule, Qatar became a British protectorate in the early 20th century until gaining independence in 1971. In 2003, the constitution was overwhelmingly approved in a referendum, with almost 98% in favour. In the 21st century, Qatar emerged as a significant power in the Arab world both through its globally expanding media group, Al Jazeera Media Network, and reportedly supporting several rebel groups financially during the Arab Spring. For its size, Qatar wields disproportionate influence in the world, and has been identified as a middle power. Qatar is currently the subject of a diplomatic and economic embargo by Saudi Arabia, the United Arab Emirates (UAE), Bahrain, and Egypt, which began in June 2017. Saudi Arabia has proposed the construction of the Salwa Canal, which would run along the Saudi-Qatar border, effectively turning Qatar into an island.

View More On Wikipedia.org
  1. X_INTELLIGENCE

    Connection za kazi nje ya nchi: Qatar, Oman, Dubai, Saudi, UAE

    Ndugu zangu wana JAMIIFORUMS hapo mwanzo nilikuwa muhanga wa kutafuta Ajira hapa nchini kwakweli nilihangaika sana. Nilibahatika kupata kazi kwenye kampuni mbali mbali ikiwemo GARDAWORLD baadae WS INSIGHT kampuni zote hizi ni za ulinzi ambazo kwa hapa nyumbani ndizo zenye malipo mazuri...
  2. Kaka yake shetani

    Mnakumbuka jeuri ya pesa ya Qatar kupandisha ndege ng'ombe wa maziwa 4000 sababu Saudia ilizuia kupitisha maziwa

    Watu na pesa zao, yaani wana kitu kimoja kinacho wapa pesa lakini kimewapa zaidi ya vitu vingi duniani. Miaka ya nyuma Saudi Arabia alimuwekea vikwazo Qatar ila mwisho wa siku kapandisha ndege ng'ombe! Mwenye kisa hiki tuelezeni.
  3. Jamii Opportunities

    Admin Coordinator Officer at Qatar Charity January, 2024

    Position: Admin Coordinator Officer Location: Dar es Salaam Reports to: Country Director Main tasks and responsibilities - Provides the necessary logistical support for all office work, especially for communications, transportation, reservations, warehousing, permits, etc. - Follow up on all...
  4. MK254

    Tajiri wa HAMAS anayeishi kwa raha Qatar asema hadi Israel ifutwe ndio amani ipatikane

    Akataa Wapalestina wasipewe dola yao, (yaani two-state) msimamo wake ni mapigano yaendelee hadi Israel ifutwe, tatizo anayasema yote haya akiishi kwa raha na starehe huko Qatar wakati wana Gaza wanaendelea kuuawa na majengo yao kubomolewa kote. Hii iwafikie mashabiki wa maugaidi ya HAMAS, msio...
  5. E

    Qatar Airways route za Dar/KIA analeta mikangafu!

    Hawa wamanga wanatuchukulia poa Siku ya kuondoka tulipandishwa kwenye Ngalangala (chata la Oman Air) siti mbovu, in-flight entertainment hamna, Ila Doha-New York full chuma, siku narudi nako DOHA-Dar full kangafu limepauka mpaka rangi. Hii Imekaaje?
  6. JanguKamaJangu

    Qatar yabadili adhabu ya kifo ya Maafisa wa zamani wa Jeshi la India waliotuhmiwa kwa kufanya ujasusi

    Mahakama Nchini Qatar imebadili hukumu ya adhabu ya kifo kwa Maafisa 8 za wamani wa Jeshi la Maji la India ambao walikuwa Wafanyakazi wa Kampuni ya Al Dahra baada ya kukutwa na hatia ya kufanya ujasusi. Wizara ya Mambo ya Nje ya India imesema adhabu imepunguzwa lakini haijfafanua imepunguzwa...
  7. Exile

    Viongozi wa HAMAS waliokuwa wanaishi Qatar waenda kusikojulikana. Netanyahu awataka Mossad kuchukua hatua

    Viongozi kadhaa wa Hamas wameondoka Qatar kuelekea kusikojulikana, na wamezima simu zao. Kulingana na idhaa ya lugha ya Kiarabu ya KAN, Saleh al-Arouri, mwanachama mkuu wa Hamas, pia aliondoka katika makazi yake ya kawaida huko Beirut kuelekea Uturuki. Netanyahu amewambia Mossad kuchukua hatua...
  8. JanguKamaJangu

    Qatar yawahukumu kifo Wahindi 8 kwa tuhuma za ujasusi

    Mahakama ya Qatar imetoa hukumu ya kifo kwa raia nane wa India ambao ni wafanyakazi katika Kampuni ya Al Dahra Nchini Qatar baada ya kukutwa na hatia ya kufanya ujasusi. Maafisa hao walikamatwa Mwaka 2022 wakidaiwa kufanya ujasusi kwa kutumia teknolojia ya Qatar wakati wakiwa watumishi wa...
  9. B

    Rais Samia Hassan awasili Doha, Qatar maonesho ya kilimo expo 2023

    Doha 2 October 2023 Mheshimiwa rais Samia Suluhu Hassan awasili Doha, Qatar kwa ajili ya International Horticultural Expo 2023 Doha Picha na habari : Rais Samia Hassan na Waziri wa Nchi anayeshughulikia Ushirikiano wa Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje wa Qatar mheshimiwa Lolwah bint...
  10. Kamanda Asiyechoka

    Swali Rais Samia yupo Doha Qatar kimyakimya? Kwanini uteuzi wa Mobhare Matinyi ufanyike akiwa Uarabuni?

  11. Jamii Opportunities

    Business Services Coordinator at Qatar Airways

    Position: Business Services Coordinator Term: Temporary Contract Key Accountabilities Able to follow and understand local payroll practice, processes, requirements, local labor law changes all in cooperation with outsourced consultant Assist in verifying all commercial support related invoices...
  12. J

    Ziara ya Rais Samia Qatar inavyozidi kuleta neema kwenye sekta ya mifugo.

    Ziara ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan aliyoifanya Oktoba, mwaka jana nchini Qatar, imeendelea kuvuta wawekezaii kutaka kuwekeza kwenye sekta; ya mifugo nchini. Katika kikao kati ya Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega na Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Widam Food, Al Noubay Al Marri, wa...
  13. Victoire

    Machi 5-9 ni Qatar LDC's summit, Mkutano wa nchi 46 maskini Tanzania ikiwemo

    Jamani kama ni kulia leo nimelia, enough is enough, yaani miaka 60 plus ya uhuru bado tupo kwenye ‘Least developed countries?’ Jamani watanzania tuamke, wenzetu Kenya hawapo kwenye hii list
  14. JanguKamaJangu

    Rasmi mabilionea wawili waweka dau kuinunua Man. United, ni kutoka Qatar na Uingereza

    Sheikh Jassim bin Hamad Al Thani wa Qatar na Sir Jim Ratcliffe wa Uingereza ndio wawekezaji walioweka dau rasmi kwa lengo la kuichukua klabu kutoka kwa wamiliki wa sasa Familia ya Glazer ambao wamekuwa wamiliki tangu Mwaka 2005. Wote wawili kila mmoja kwa upande wake amejinasibu kuwa nia yao ni...
  15. Kaka Yaoh

    Matajiri wa Qatar kuinunua Man United kwa £6b ambayo ni sawa na Tshs trilioni 16.9

    Kikundi cha wawekezaji kutoka Qatar wapo tayari kutoa ofa ya kuinunua Manchester United, ambayo haitowezwa kufikiwa na matajiri wengine wanaotaka kuinunua timu hiyo. Familiya ya Glazer, ambao ndio wa miliki wa klabu hiyo wanataka kuiuza kablu hiyo katikati mwa mwezi huu wa February. Mtandao...
  16. J

    Zanzibar turudishe heshima yetu, tuige mfano mzuri wa Qatar, pombe ipigwe marufuku kabisa

    Nchi ya Qatar imenivutia sana kwa kuwa na msimamo mzuri dhidi ya uozo wa kimagharibi wa pombe, ngono, ushoga etc Zanzibar ni nchi nzuri ya kistaarabu sana lakini naona kuna uozo unaongezeka kwa kasi kubwa. Nyimbo na video za uchi, unywaji pombe, kuvaa vivazi vya nusu uchi hadharani n.k. Ni...
  17. MSAGA SUMU

    Diamond kaonesha msimamo sana kukataa kutumbuiza Qatar kwa bilioni 2

    Huyu mwamba ana msimamo sana. Walitaka kumpa bil 2 kuperform siku ya fainali jamaa akasema kama Beckham amekula bil 200 kuwa balozi basi yeye apewe bil 4 jamaa wakakataa, Diamond naye akachomoa kuperform. Huu ni mfano mzuri kwa wasanii wetu kuwa na msimamo na vipaji vyao.
  18. JanguKamaJangu

    Karim Benzema akataa kurudi Qatar kujiunga na Ufaransa

    Mshambuliaji huyo amekataa ofa ya Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron ambaye ametoa ndege yake binafsi kwa wachezaji wote majeruhi wa taifa hilo kwa ajili ya kwenda Qatar kushuhudia mchezo wa fainali dhidi ya Argentina, leo Desemba 18, 2022. Inadaiwa Banzema alikasirishwa na maamuzi ya Kocha wa...
  19. M

    Kwanini nasema na najiamini Argentina anaenda kuwa Bingwa wa 2022 QATAR FIFA WORLD CUP tarehe 18/12/2022?

    1. Wanacheza Kimkakati zaidi kama Simba SC 2. Wana Wachezaji Wapambanaji kama wa Yanga SC 3. Wana Golikipa Bora sana 4. Messi anawarahisishia Kazi Wengine 5. Wana Morali ya Kiuzalendo hasa 6. Argentina ni Timu ya Mungu 7. Lionel Messi hakabiki na Kabarikiwa Nami MINOCYCLINE namalizia kwa...
  20. Execute

    Shughuli imemalizika pale Qatar, Argentina ya Lionel Messi inaenda kubeba Ubingwa wa Dunia 2022

    Tumekuwa na wakati mzuri sana kuangalia kombe la dunia na sasa tunakaribia kufika mwisho. Kila timu imevuna ilichopanda. Argentina ndio timu bora zaidi kwenye michuano hii. Lionel Messi anaenda kuwa kinara baada ya mchezo mkali dhidi ya Ufaransa. Atastaafu kwa heshima kama mchezaji bora zaidi...
Back
Top Bottom