radio

Radio is the technology of signaling and communicating using radio waves. Radio waves are electromagnetic waves of frequency between 30 hertz (Hz) and 300 gigahertz (GHz). They are generated by an electronic device called a transmitter connected to an antenna which radiates the waves, and received by a radio receiver connected to another antenna. Radio is very widely used in modern technology, in radio communication, radar, radio navigation, remote control, remote sensing and other applications.
In radio communication, used in radio and television broadcasting, cell phones, two-way radios, wireless networking and satellite communication among numerous other uses, radio waves are used to carry information across space from a transmitter to a receiver, by modulating the radio signal (impressing an information signal on the radio wave by varying some aspect of the wave) in the transmitter. In radar, used to locate and track objects like aircraft, ships, spacecraft and missiles, a beam of radio waves emitted by a radar transmitter reflects off the target object, and the reflected waves reveal the object's location. In radio navigation systems such as GPS and VOR, a mobile receiver receives radio signals from navigational radio beacons whose position is known, and by precisely measuring the arrival time of the radio waves the receiver can calculate its position on Earth. In wireless radio remote control devices like drones, garage door openers, and keyless entry systems, radio signals transmitted from a controller device control the actions of a remote device.
Applications of radio waves which do not involve transmitting the waves significant distances, such as RF heating used in industrial processes and microwave ovens, and medical uses such as diathermy and MRI machines, are not usually called radio. The noun radio is also used to mean a broadcast radio receiver.
Radio waves were first identified and studied by German physicist Heinrich Hertz in 1886. The first practical radio transmitters and receivers were developed around 1895-6 by Italian Guglielmo Marconi, and radio began to be used commercially around 1900. To prevent interference between users, the emission of radio waves is strictly regulated by law, coordinated by an international body called the International Telecommunications Union (ITU), which allocates frequency bands in the radio spectrum for different uses.

View More On Wikipedia.org
  1. chiembe

    Wachambuzi Clouds Radio na E-FM wasema hakuna haja ya kumrejesha Manara, Kamwe anaendana na Gen- Z, sura yake ilifanya watoto katika idara waogope

    Hizi ni kauli za manguli wa uchambuzi wa taifa hili, kwamba pale Yanga tayari vijana wa umri mdogo walishajipata, na wanaendesha idara kwa weledi wa dunia ya mbele. Idara imejaa Generation Z ambao wamefanikiwa kuondoa kizazi cha wasema hovyo katika mpira, na usemaji sasa ni proffession kamili...
  2. U

    Msanii mkongwe nchini Ferooz asema kuwa enzi zao walianza kutoa show kwa kulipwa Tsh.30,000, kiingilio ni buku jero mpaka buku

    Wadau hamjamboni nyote? Soma maneno ya msanii mkongwe nchini Ferooz "Tulianza show kwa kulipwa Tsh.30,000 na kiingilio ilikuwa ni buku jero mpaka buku getini" - Feroozz mkongwe Bongofleva akiongea EA Radio
  3. V

    Nikumbusheni radio inayocheza mziki wa Country and soul

    Kuna jamaa moja anaitwa felix alton huwa anacheza mziki mzuri wa country n soul siku za jumapili ila natafuta simpati Ni muda sikwepo Nimetune redio zote sijapata Atakuwa redio gani huyu mwamba kwasababu anajua sana mziki mzuri na masimulizi ya hapa na pale
  4. BLACK MOVEMENT

    Nchi inapigwa, kutwa nzima ni Mada za Yanga na Simba

    Tanzania ni nchi ya Kipuuzi sana fikiria kutwa nzima,vituo vya Radio na Television maada ni Mpira yaani hata Brazili sio hivyo, Brazili wanao penda mpira bado hatujawafikia. Hakuna Maada nyingine utaisikia kwenye hivi vituo zaidi ya Yanga na Simba kutwa nzima, wanaanza kujadili mpira kuanzia...
  5. BARD AI

    Jinsi Radio Free Afrika ilivyoyumba na kupoteza ubora kutokana na Mmiliki wake kuitumia Kisiasa

    Ukizungumzia miongoni mwa vyombo vya Habari ambavyo vina uwekezaji mkubwa kwenye miundombinu naamini RFA kutoka Sahara Media itakuwa namba 1 kabisa. Radio hii imewahi kuwa na Watangazaji bora kuwahi kutokea na waliokuja kubadili kabisa sekta ya Utangazaji nchini. Lakini Radio Free Afrika...
  6. N

    Clouds Fm Radio, rekebisheni usikivu

    Clouds Fm Radio, tunawaomba mrekebisheni usikivu.
  7. sinza pazuri

    Mjadala East Africa Radio: Diamond ni mkubwa YouTube kuliko Jay Z

    Mjadala ambao umechukua hisia za mashabiki katika viunga mbalimbali Africa ya mashariki ni kuhusu hoja iliyoletwa na watangazaji vijana machachari wa East Africa radio kuwa Diamond Platinumz ni mkubwa kuliko Jay Z kwenye mtandao wa YouTube. Mjadal huo uliendeshwa na vijana wenye vipaji na...
  8. N

    Tunatengeneza website na online radio kwa gharama nafuu kabisa

    Habari wakuu!! Kwa wale wenye uhitaji wa kutengeneza website kwa ajili biashara pamoja na online radio karibu sana , tunatengeneza kwa ubora kabisa unaotaka!! Huu ni mfano wa website pamoja na online radio yake ambayo tunakutengenezea lakini pia tunalink na radio kubwa kwa ajili ya matangazo...
  9. GENTAMYCINE

    Tafadhali aliye na namba za hawa Watangazaji wa Kike wa Kipindi kilichopo Hewani sasa EA Radio awapigie na awape huu Ujumbe wangu kwa Lawama zao Kwetu

    Kwa atakayewapigia anifikishie huu ujumbe wangu muhimu Kwao kwani nawasikia tokea wameanza Kipindi chao leo ( ambacho huwa kinaanza Saa 3 Asubuhi hadi Saa 6 Mchana ) ni kama vile ama Wametendwa na Wapenzi wao au wana Hasira ( Usununu ) na Sisi Wanaume kuwa tunawapa Mimba Wanawake na Kukimbia...
  10. G

    Diamond aliemuangusha Ruge sioni kama bifu litamuathiri, wasanii wanaofungua radio kwa kutegemea majina wajiaandae kunyonywa sana.

    Bifu linalosemekana kuwepo (kama kipo) kati ya Diamond na Kusaga pale wasafi ni marudio yale yale kipindi cha clouds msanii ni aidha ukubaliane nao wanavyotaka wao ama nyimbo zako hazipigwi, Ni Diamond pekee ndie aliweza kuvunja hii cycle, alivyomdindia Ruge watu wengi tulijua ndio mwisho wake...
  11. Heparin

    Kenya: Ndege mbili zagongana angani, wawili wafariki Dunia

    Mamlaka ya Usafiri wa Anga nchini Kenya imethibitisha kisa cha kugongana kwa ndege ya abiria ya kampuni ya Safarilink na ndege ya mazoezi. Uchunguzi umeanza kubaini chanzo cha ajili hiyo. ‘’Uchunguzi umeanza kupitia mashirika mbalimbali ukiongozwa na Idara ya Uchunguzi wa Ajali za Anga na...
  12. maroon7

    East Africa Radio ombeni radhi kwa hiki mlichopost kwenye page yenu

    Hivi kweli media inayojielewa inaweza kupost mada kama hii kwenye kipindi hiki cha msiba? Mkimaanisha nini?
  13. GENTAMYCINE

    Andrew Kisaka, amesema Mamlaka hiyo itawachukulia hatua baadhi ya Watangazaji wanaosoma magazeti kwa mbwembwe

    Meneja wa Huduma za Utangazaji wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Andrew Kisaka, amesema Mamlaka hiyo itawachukulia hatua baadhi ya Watangazaji wanaosoma magazeti kwa mbwembwe huku wakiongezea baadhi ya vitu visivyotakiwa wakati wa usomaji. Chanzo: millardayo GENTAMYCINE nawapongeza...
  14. Peter_John

    Kwa anayeweza kurekebisha android radio ya kwenye gari

    Habari zenu wakuu , kama Kuna fundi anaeweza kurekebisha hii redio anitafute pm, mm nipo Dar so na yeye awe Dar Shida yake ni ukiiwasha inawaka izi taa za pembeni pekee
  15. Meneja Wa Makampuni

    Fungua (Unlock) radio ya gari lako iliyojifunga na CarRadio Unlock Solutions

    Kuna wakati mwingine radio yako inajifunga baada ya kubadilisha betri ya gari lako. Ukipata tatizo hilo usisite kutupigia kwa namba hii 0687746471 tutakufungulia radio yako. Karibuni. Ni sisi CarRadio Unlock Solutions.
  16. TURIAN

    Radio Free Africa na waganga wa kienyeji

    Radio free Africa naona sasa imeshapoteza credibility yake kitambo. Sasa hivi imejaa vipindi vya waganga wa kienyeji tu. Sasa hivi nasikia mtu anajiita chief Magema anajitangaza kuwasaidia watu na kutaja namba zake za simu, kama sio utapeli huu ni nini!!? Hapa RFA mnaelimisha nini zaidi ya...
  17. Hismastersvoice

    Khanga ya leo Radio One: Ni kweli lakini hayakuhusu

    Kama kichwa kinavyojieleza na ni wakati wake, NI KWELI LAKINI HAYAKUHUSU. Hayo ndiyo maneno ya khanga ya leo Radio One Stereo. Ni kweli hakuonekana ofisini kwa muda mrefu lakini inakuhusu nini? Wenyewe wamekasirika kwa sababu wanajua hawakuhusu. NAWE TAFUTA KHANGA UWAJIBU.
  18. DR Mambo Jambo

    Je, Wajua kuwa wimbo wa MB DOG "Mapenzi Kitu Gani" Ubeti wa kwanza ulikuwa unasifia na kutoa shukrani kwa Radio na Sio mapenzi kama wengi wadhaniavo

    Kama ulibahatika kuwa Kijana au kuwa na umri wa utambuzi miaka hiyo Utakumbuka Zaidi Nyimbo Mojawapo iliyokuwa Gumzo miaka hiyo ni Mapenzi kitu gani ya MB DOG.. sasa leo Nataka kukuletea Story kidogo kuhusu Nyimbo hiyo kuwa Nyimbo hyo kwa 90% haikuzungumzia Mapenzi bali ilitoa Sifa na Shukrani...
  19. Magufuli 05

    CHADEMA anzisheni kituo cha television kabla ya uchaguzi wa 2025

    Kwa kuwa kumekuwa na kilio cha muda mrefu kwamba CHADEMA imekuwa ikihujumiwa na media nyakati zote hasa katika mikutano ya hadhara. Kwamba mikutano huwa haionyeshwi kwasababu ya maelekezo kutoka juu. Mimi nawakumbusha tu kwa vile najua hata nyinyi mwalijua hili kwamba kuwa na channel yenu ya...
  20. GENTAMYCINE

    Kumekucha: EFM Radio kuja na Muundo Mpya wa Kipindi kitakachokuwa Kinawazumgumzia Simba SC tu na siyo Wasiojua Wengine

    Wenyewe ( hasa Watangazaji ) wao Wanasema kuwa hata Rangi za Herufi zao Tatu EFM zina Rangi zinazoshabihiana na Rangi ya Klabu Bora na Kubwa nchini Tanzania na Afrika ya Simba Sports Club. Kipindi hicho Kipya kitaitwa Unguruma na Simba SC ambacho kitakuwa kina Udhamini wa Bia nzuri ya Pilsner...
Back
Top Bottom