rafiki

Rafiki (Swahili for 'friend') is a 2018 Kenyan drama film directed by Wanuri Kahiu. Rafiki is the story of romance that grows between two young women, Kena and Ziki, amidst family and political pressures around LGBT rights in Kenya. The film had its international premiere in the Un Certain Regard section at the 2018 Cannes Film Festival; it was the first Kenyan film to be screened at the festival.

View More On Wikipedia.org
  1. L

    House4Sale Nyumba inauzwa Kigamboni bei rafiki sana

    NYUMBA INAUZWAAA BEI CHEEEE NYUMBA IPO KIGAMBONI MWEMBE MTENGU... Master 2 Living room 2 Kitchen 1 Public toilet 1 Dinning 1 Seating 1 Ukubwa eneo 400sqm(20*20) Bei milion 29 MAWASILIANO +255784379396 +255789782415 Email: leonapolinary@gmail.com
  2. Herbalist Dr MziziMkavu

    TANZIA Kwa masikitiko makubwa tunatangaza kifo cha ndugu yetu Mtanzania mwezetu Michael a.k.a Mike kilichotokea Afrika Kusini

    🇿🇦🇿🇦 MZEE BABA🇿🇦🇿🇦 Ndugu watanzania mabaharia watafutaji na wanaharakati....... Kwa masikitiko makubwa tunatangaza kifo cha ndugu yetu manzania mwezetu Michael aka Mike...... Mike Tanzania anatokea kinondoni...... Ndugu watanzania mike aliamisha makazi yake kutoka Tanzania na kuelekea...
  3. Expensive life

    Mwamba anayeruka na mkeo hatoki mbali; ni huyo huyo rafiki yako unayemwita wa kufa na kuzikana

    Wote mpo hapo wizara ya fedha, kidogo wewe una kacheo hivyo huwa unasafi mara kwa mara kwenda mikoa mbalimbali, kutoa elimu ya masuala ya fedha. Kumbuka mkeo ni mtoto wa kinyaturu mweupeee kapanda hewani, rafiki yako mtozee ajalia vitamu kirahisi huku shemu wakati ananyanduliwa anakutukana...
  4. Daspauls 238

    Ni kitu gani mshikaji wako alikufanyia kikakufanya umthibitishe kuwa rafiki wakufa nakufaana

    Rafiki nilienae mimi ameakua akinishauri vitu ambavyo vina matokeo mazuri katika maisha yangu: that why he's my best friend. Share your experience about your best friend na nikitu gani unappreciate kutoka kwake.
  5. 2

    Natafuta rafiki wa kike asiyekula nyama

    Niko Arusha Natafuta rafiki wa kike asiyekula nyama, asiwe mfia dini za wazungu Mimi ni mweupe maji ya kunde, umri wangu miaka 35, sijaoa wala sina mtoto Rafiki ninayemtaka Awe mweusi Awe mrefu Asiyejichumbua Asizidi miaka 28 Asiwe na mtoto Mawasiliano yangu: brightcreeper87@gmail.com
  6. Manyanza

    Adui rafiki

    Unajua nini kuhusu uadui? Unajua nini kuhusu urafiki na unajua nini kuhusu biashara? Hebu jiulize mechi ya SIMBA VS YANGA kisha mtu kama labda Walter Harrison meneja wa Yanga akauze siri za kambi kwa sasa Simba au Try Again achukue mchoro mzima wa mipango ya simba ya miaka 10 ijayo aipeleke...
  7. S

    Natafuta rafiki na mchumba Kisha mke

    Natafuta dada au mama mtumzima chini ya miaka 35. Aliejiajiri au kuajiriwa. Mwenye Elimu yoyote kuanzia la saba. Awe na mtoto au asiwe naye. Awe serious na maisha. Mimi na miaka 40. Ni mkristo na nimjasiriamali. Napenda sana maendeleo. Karibu . P M.
  8. Stability

    Je wewe au rafiki yako u/aliwahi kufanikiwa kibiashara baada ya kumshirikisha mganga?

    Kuna nyakati unaweza kupitia katika biashara yako ambapo unaona unaelekea kuanguka vibaya sana na bado unafamilia na bills nyingine. Inaweza kuwa sio usimamizi mmbaya ila labda ni factors za hali ya kiuchumi na factors nyingine ambazo hata wewe haulewi mambo yamekuharubikiaje. Inapelekea sasa...
  9. KING MIDAS

    Baada ya miaka mingi, wanawake wapenzi wa rafiki zangu wananitaka kimapenzi

    Nasikitika kulisema hili. Ila wanawake wa rafiki zangu ambao walikuwa na mahusiano ya kimapenzi, sasa wanataka kimapenzi. Wengi wamekuwa ni wapweke licha ya kwamba wanajimudu kiuchumi, wananiomba tu niwe amtunza utamu wao, hawatanighasi kwa lolote, wanachotaka ni dushe na togetherness. Jamani...
  10. Friedrich Nietzsche

    Kila rafiki nayempata anataka vita na mimi

    Huwa najiuliza hii inakaaje yaan kila rafiki au marafiki nao wapata wanataka mashindano na vita namm. Mwanzo nilijua ni coincedence baadae nilipofanya Tathmini nikagundua ni pattern kabisa kua kila rafiki lazima awe ni mnafiki au anachukua vitu kwa ajili ya kunitandika navyo baadae. Nikiwa...
  11. Daspauls 238

    Rafiki aligeuka kuwa mnafiki kisa mwanamke

    Wana jf nawapeni hii thread ni very critical Tulikutana na that guy o level mimi alikuwa mgeni mimi ndo niliye mpokea skonga na mtaani Kwa hiyo huo ndo ulikuwa mwazo wa urafiki wetu ilifikia hatua our fellow students wakatuonea wivu kutokana na lifestyle yetu Tulipoizoea shule yeye ndiye...
  12. Mwamuzi wa Tanzania

    Kushika sana dini kunaweza kukupeleka kubaya. Rafiki yangu aliacha kazi ya Ualimu baada ya Mkuu wa Shule kumtaka anyoe ndevu

    Ni jirani yetu huko nyumbani kwetu, pia kuna kaurafiki kwa mbali baina yetu. Likizo sometimes tulikuwa tunajisomea pamoja kwakuwa tulikuwa darasa moja. Jamaa akawa teacher wa Serikali baadaye. Sasa nasikia walimu wana miiko mingi kutokana na mazingira yao ya kazi, sometimes wanakuwa walezi...
  13. Number ni 26

    Muda sio rafiki tena!

    Natamani muda ungerudi nyuma ili niweze kuanza upya, lakini ndo hivyo muda si rafiki tena! Natamani muda ungerudi nyuma ili niweze kurekebisha makosa yangu, lakini ndo hivyo muda si rafiki tena! Natamani muda ungerudi nyuma ili niweze kuisikia hii sauti ya sasa ndani yangu, lakini nagundua...
  14. S

    Rafiki yangu ni Mwinjilisti WA KKKT anahitaji mchumba baadae awe make mwenye sofa zifuatazo Mtumishi WA Umma aliyezaliwa mwaka 1983-1988 antfute inbox

    Rafiki yangu ni Mwinjilisti WA KKKT anahitaji mchumba /mke aliezaliwa 1983-1988 anipigie namba 0755 144 754 nimuunganishe na muhusika. Asante
  15. Eli Cohen

    Wewe au Rafiki yako u/aliwezaje kudhibiti Sex Addiction?

    Too much of something is harmful. Ukishakuwa na uraibu wa ngono ina affect maisha yako katika nyanja za uchumi, afya, perception mbaya kutoka kwa jamii na afya ya mahusiano hususani ndoa. Tofauti kuwa wanaume ndio tunaonekana wapenda ngono sana ila Sex addict anaweza kuwa ni mwanamke pia...
  16. U

    Motsepe Rais wa CAF, ni boss wa Mamelod na rafiki wa Hersi, Mechi na Yanga QF haipo

    Mimi kama shabiki wa Soka na mfuatiliaji wa Ligi ya NBC, nimefurahi yanga kufuzu lakini na Simba Ina chance ya kufuzu 50/50. Kwa uwelewa wangu timu sita tayari zimeingia robo fainali, ikiwemo mamelod na Yanga na Al ahly. Ukiangalia Kwa upande wa Yanga timu ambayo inaweza kumsumbua robo fainali...
  17. Mohamed Said

    Namkumbuka rafiki yangu Ali Abdallah Kazua

    NAMKUMBUKA RAFIKI YANGU ALI ABDALLAH KAZUA Mwaka wa 2021. Utasema jana. Nilikuwa nikikaa na Kazua tunakumbushana mengi sana ya zamani. Kazua siku moja kanipa kisa cha Mzee Mangara Tabu na Ayubu Kiguru. Mangara Tabu alikuwa President wa Yanga na Ayubu Kiguru alikuwa shabiki mkubwa wa...
  18. KIBUGAmk

    Mwanamke wangu kaja ghetto na rafiki yake

    Kuna demu nimemtongoza akanikubali basi baada ya muda akawa ananiuliza " Baby unaish wap Natalie Nike kukuona honey Wang" basi kidume kdume nikamwambia " usijali malaika wangu muda si vilee utaiona kambi yang".. Basi demu akawa anafurahi kweli anasema " jamani we honey utaniandalia zawadi...
  19. Magical power

    Kuna ndugu halafu kuna rafiki

    Kuna ndugu alafu kuna rafiki. Rafiki ni mtu yule ambaye hata uwe na shida kiasi gani hachoki kukusaidia kwenye shida yoyote hata awe amekusaidia kiasi gani (huyu ndo true friend). Kuna hawa ndugu wetu ambao hata uwe na shida gani wao wataona wewe ni mzigo kwako na kukutangaza pale unapo kuwa...
  20. Hidden Diamond

    Niko Mbeya natafuta rafiki wa kike

    Natafuta rafiki wakike awe mstaharabu na mpole pia sichagui dini wala Umri kwa upande wangu Umri wangu ni miaka 27 kama uko tayari nifuate pm tuongee zaidi
Back
Top Bottom