Kuna mlolongo mrefu sana ili Mabomu ya nuclear yatumike. Sio maamuzi ya mtu mmoja, wawili, watu tu hapana.
Kunahitaji maamuzi ya kina na ya watu wengi. Bado rais wa nchi kama Putin hana maamuzi ya moja kwa moja ya KUTUMIA nuclear. Yeye kama kiongozi anaweza kuamua lakini kikwazo kikawa kwa...