rais ruto

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mr Chromium

    Ruto amewaondoa Wabantu wote katika Serikali yake na kuwapatia vyeo wasomali. Lengo ni kuwaua Kisiasa milele nchini Kenya!

    Kwa wanaofuatilia Siasa za Kanda ya Ziwa mtakua pamoja namm kuiona pattern inayojichora ya Paul kagame,Mseveni na Ruto Hatimaye Ruto kaingia kwene 18 za hawa jamaa saizi nayeye kaanza kupambana na wabantu. Anahakikisha kenya haitakuja kutawaliwa na wabantu milele kwa kuwaweka mawazili wenye...
  2. masai dada

    DP Gachagua aliapa, Ruto aliapa na Joho pia aliapa lakini…

    Nafikiri ili ufiti vizuri kwenye siasa za panda shuka ukanda huu wa Afrika Mashariki, inabidi uwe mnafiki na unajitoa ufahamu kweli kweli. "Handshake" ya Raila na Ruto haikutegemewa kabisa kutokana na msimamo wa wafuasi na viongozi wa ODM, kama ilivyo kwa upande wa Ruto, mvulana kutoka Sugoi...
  3. Black Butterfly

    Rais Ruto awataka wanaofadhili maandamano wajitokeze na washauri Serikali ifanye nini kuonda changamoto

    Rais William Ruto amewataka wanaosababisha machafuko kwa kufadhili watu kufanya vurugu nchini humo wajitokeze hadharani na washauri Serikali ifanye nini ili kuondokana na hali iliyopo. Akizungumza baada ya Ibada ya Jumapili, Ruto amesema "Wale wanaofadhili, kuandaa na kufadhili ghasia hizi...
  4. data

    Kwa mara ya kwanza katika maisha yangu nimemsikia Rais akikubali kushindwa

    Sijawahi sikia mahali popote pale Rais akikiri kufeli..kushindwa. Hii na zaidi ya Democracy. Ruto ana kitu. Tumpe muda. He simply conceded the defeat.
  5. U

    Rais Ruto atangaza Baraza la mawaziri awarejesha baadhi ya mawaziri

    Wadau hamjamboni nyote? Rais William Ruto wa Kenya atangaza Baraza jipya la mawaziri huku akiwarejesha baadhi ya mawaziri aliowaondoa kwenye mabadilko ya awali President William Ruto has named his new Cabinet members nominees a week after announcing the dismissal of the entire cabinet save...
  6. Tlaatlaah

    Rais Ruto anajiamini mno, ni miongoni mwa marais wenye nguvu na ushawishi zaidi Afrika Mashariki

    Anaongoza Serikali yenye viongozi wakuu waandamizi watatu tu serikali kuu, yaani Naibu wa Rais RigyG, Musalia Mudavadi Prime Cabinet Secretary ambae pia ni Waziri wa mambo ya nje na kaimu wa waziri wa wizara zote Kenya zilizovunjwa majuzi.. Ni katika harakati za kubana matumizi, lakini pia...
  7. B

    Ruto alaumu Mashirika ya Nchi Beberu kwa maandamano Kenya

    16 July 2024 Nakuru, Kenya Mheshimiwa rais William S. Ruto wa Jamhuri ya Kenya alaumu mashirika ya kijamii yasiyo ya kiserikali pamoja NGOs kama mfuko wa wakfu wa US-Funded Ford Foundation. NGOs nyenye makao yake katika nchi za kibeberu kwa kufadhili maandamano yasiyo na kikomo ya vijana wa...
  8. Lady Whistledown

    Rais Ruto: Waliohusika na Mauaji ya Miili iliyotupwa Kware watakiona cha Mtema Kuni

    William Ruto ameagiza mamlaka husika kuharakisha uchunguzi kuhusu miili iliyopatikana ikiwa imefungwa kwenye mifuko ya plastiki kwenye dampo la Kware huko Mukuru kwa Njenga, Jijini Nairobi ili wahusika washughulikiwe kwa Mujibu wa Sheria za Nchi Ruto amesema hakuna sababu yoyote inayoweza...
  9. J

    Ruto sasa kuunda Serikali ya Vyama Vingi kama Kikosi Kazi Cha Prof Mkandala

    Hatimaye Rais Ruto amesema ataunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa itakayokuwa na Mawaziri kutoka vyama vyote vya Siasa na Taasisi za Kijamii na Kidini. --- Ruto To Form Inclusive Govt: President pledges to form an all-inclusive CabinetRuto says new Cabinet will have the face of Kenya Ruto...
  10. J

    Raila akubali Maridhiano na Serikali ya Ruto lakini Washirika wake Kilonzo, Kijana na Karua wamtenga na kuwaunga mkono Gen Z!

    Rais Ruto atangaza siku 6 za mazungumzo ya kitaifa. Mazungumzo kujumuisha wadau mbalimbali nchini. Kikao hicho kuanzia Julai 15 kujumuisha pia vijanaRais: Kikao hiki kitaangazia mustakabali wa taifa Gen Z wamegoma kujumuishwa kwenye Kikosi Kazi cha Maridhiano na Serikali Raila Odinga akubali...
  11. GENTAMYCINE

    Wakati Rais Ruto wa Kenya akiwataka Maafisa wa Serikali wenye Umri wa miaka 60 Kustaafu, mwingine duniani anawapa Uteuzi ili wamsaidie Kumdanganya

    Rais Ruto anatakiwa aje kujifunza nchini Tanzania ambapo Maafisa wote wenye huo Umri wa miaka 60 hakuna aliyeko bado Serikakini katika Utumishi wa Umma na kwamba Waajiriwa wote Tanzania ni Vijana watupu wa kuanzia miaka 25 hadi 45 walioko huko. Na ndiyo maana Utawala wa Rais Samia unafanya...
  12. J

    Ila Gen Z wanatisha: Rais Ruto afuta Bajeti ya Ofisi ya Mke Wake!

    Hii nimeona ni kali zaidi yaani Ruto amebanwa hadi amefuta Bajeti ya Ofisi ya Mke wa Rais Kwa sasa Gen Z ndio wanatengeneza Sera za Nchi yao, Wazee wamepumzishwa. --- Rais wa Kenya, William Ruto ameondoa bajeti ya fedha zilizotengwa kwa ajili ya ofisi ya Mke wa Rais, Mke wa Naibu Rais na Mke...
  13. BARD AI

    Tetesi: President William Ruto is reportedly set to conduct a major Cabinet reshuffle

    President William Ruto is reportedly set to conduct a major Cabinet reshuffle which will result in the abolition of about seven ministries. A front-page publication by a local media house citing State House sources suggests that the current 22 ministries will be reduced to 15 in the...
  14. Tlaatlaah

    Imetosha sasa, ni wakati muafaka Rais Ruto kuchukua hatua za makusudi za kimamlaka kuwadhubiti wahalifu nyuma ya Gen z na kurejesha amani

    Ni dhahiri sasa, Kumbe nia na dhamira ya vijana wahalifu nyuma ya Gen Z haikuwa kupinga ushuru, kodi, na tozo zilizokuwako kwenye muswada wa sheria ya fedha kwa mwaka 2024/2025 ulioipitishwa na Bunge la Kenya. Muswada ule umefutwa tayari na Mh. William Samoei Ruto. Ni nini kingine mnahitaji...
  15. U

    WITO Mhesh Ruto jahazi lazama, chutama, usione fedhea , fanya hima mtafute mheshimiwa Uhuru, kumbuka jungu kuu halikosi ukoko!

    Wadau hamjamboni nyote? Huu ni wito wangu binafsi kwa Mheshimiwa William Ruto Rais wa Jamhuri ya Kenya ambao umezingatia maslahi mapana ya nchi hiyo! Mheshimiwa Nikuombe Ndugu yangu usione aibu wala fedhea, chutama, zika ufahari wako, usisite, usijali, usiogope, usione aibu wala fedhea ...
  16. Mr Why

    Zifahamu sababu za Wakenya kuanzisha vurugu zinazodaiwa chanzo cha mvutano kati yao na raisi Ruto

    Hizi ndizo sababu za Wakenya kuanzisha vurugu inayoendelea hivi sasa.
  17. JanguKamaJangu

    Rais Ruto akanusha mauaji ya ziada, athibitisha vifo 6, majeruhi 14 kwenye maandamano

    President Ruto Denies Extra-Judicial Killings, Confirms 6 Deaths, 14 Injuries In Protests President William Ruto has announced that a total of six people lost their lives during the anti-Finance Bill 2024 protests, contrary to reports that more than 20 people have been confirmed dead...
  18. Hismastersvoice

    Rais Ruto awapongeza vijana kwa kuthubutu.

    Akihutubia kutoka Ikulu rais Ruto amewapongeza vijana wa Kenya kwa kuthubutu kuitumia demokrasia ya nchi yao, wakati huohuo ametangaza kuufuta muswada wa bajeti mwaka 24/25 na kusema Kenya itaendelea na ule wa 23/24, pia ametoa pole kwa wote walioathirika kwenye kadhia iliyosabsbishwa na muswada...
  19. R

    Tutegemee athari zipi kiusalama nchini Tanzania baada ya Rais Ruto kutangaza Hali ya hatari?

    Salaam,Shalom!! Ile Hali ya wanasiasa kujifanya viziwi Kwa kutosikiza MAONI ya wananchi ambao ndio hasa boss wao, imesababisha Bunge kutekwa kuchomwa na waandamanaji baada ya Polisi kuzidiwa nguvu na namba. Swali: Tutegemee athari gani kiuchumi,Kijamii, na hasa KIUSALAMA mipakani Kwa siku...
  20. D

    Rais Ruto aje ajifunze tanzania penye peace and tranquility.

    Namshauri mr president ajifunze mbinu za jpm za kuweka usalama.wa taifa mpaka kwenye dalaldala ukiisema serikali tu unakamatwa na unapotezwa mazima.na waliobaki wanaogopa. Hata samia ajifunze mbinu za jpm ili hawa chadema wanaoshawishi maandamano wakimbie nchi tena watarudi baadae. Kama jpm...
Back
Top Bottom