rais samia suluhu

Samia Suluhu Hassan
Samia Suluhu Hassan (born 27 January 1960) is a Tanzanian politician who is serving as the sixth and the first female president of Tanzania since 2021. She is a member of the ruling social-democrat Chama Cha Mapinduzi (CCM) party and the third female head of government of an East African Community (EAC) country.

A native of Zanzibar, Suluhu served as a minister in the semi-autonomous region during the administration of President Amani Karume. She served as the Member of Parliament for the Makunduchi constituency from 2010 to 2015 and was the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015. In 2014, she was elected as the vice-chairperson of the Constituent Assembly tasked with the drafting of the country's new constitution.

Suluhu became Tanzania's first female vice-president following the 2015 general election, after being elected on the CCM ticket with President Magufuli. Suluhu and Magufuli were re-elected to a second term in 2020. She briefly served as the second female interim Head of State in the EAC – 27 years after Sylvie Kinigi of Burundi, spanning a period around the end of the year 1993.

More on WikiPedia
  1. Yericko Nyerere

    Rais Samia, Bado hujaona hili ni tatizo tu?

    Ukimsikiliza Ndugai wa leo sio yule wa miezi miwli nyuma kipindi Mama Samia anashika madaraka, huyu wa sasa amerejea kwenye jeuri na kejeri zilezile za utawala wa Magufuli, Anauhakika na anakokwenda. Ukimsikiliza Mwigulu wa sasa, sio yule wa mwanzo wa utawala wa Mama Samia, Mwigulu wa sasa ana...
  2. Shing Yui

    Yu wapi Rais Samia? Baada ya matukio haya, ni vema aongee na Taifa

    Ukweli ni kwamba, yanayoendelea kwenye hii nchi yanaumza. Lakini kabla hatujatupa lawama kwa Amiri Jeshi mkuu lazima tujue kwanza alipo na tujue nini msimamo wake kwenye mambo yanayowafanya wananchi wake wanong'one chinichini kama makinda yasiyo na watoto. Tangu tumepandishiwa miamala...
  3. A

    Je, Samia ni Rais kivuli kama inavyodaiwa na vyombo vya habari vya nje?

    Jarida la The African Intelligence liliripoti wiki iliyopita kuwa Rais mstaafu Jakaya Kikwete ndio mshauri mkuu asiye rasmi wa Rais Samia na anatumia ushawishi wake kusukuma agenda za uongozi wake zilizopigwa chini na Magufuli kama mradi wa Bagamoyo. Jarida lengine la the Africa Report...
  4. N

    Rais Samia, usikubali hasira dhidi ya Hayati Dkt. Magufuli zihamishiwe kwako!

    Hata mimi nimeanza kuumia kwa baadhi ya mambo yanavyoenda. Niliamini tumepata relief na kufungua ukurasa mpya (ndiyo maana nikajibrand kama New Page). Mambo yanavyoenda kwa kweli hamna chema ambacho umekifanya sasa. Juzi niliongelea nyongeza ya mishahara na kweli imeongezwa pungufu ya elfu...
  5. Mystery

    Polisi "wame-underestimate impact" ya kumtuhumu Mbowe kwa makosa ya ugaidi?

    Ukiacha kelele zinazopigwa kwa nguvu Sana hapa nchini Tanzania za kutakiwa, Freeman Mbowe aachiwe huru, kutokana na makosa yanayoonekana wazi kuwa Jeshi la Polisi nchini limeamua "kubambika" ya ugaidi, lakini vyombo mbalimbali vya dunia navyo vimeungana na wapigania haki wa hapa nchini, kama...
  6. Mzalendo2015

    Rais Samia Suluhu Hassan usikubali kuyumbishwa

    Mama yetu wa Taifa, mpendwa wetu nani kama Mama? Umeanza vzr sana ktk siku zako 100 kwa kusimamia Haki, Sheria, Amani, Upendo na Mshikamano. Katika siku 100 tumehuhudia kesi za kubambikiwa zikifutwa, watu waliodhulumiwa wakirudishiwa haki zao, wapinzani wakijumuishwa kwene Serikali yako etc...
  7. Komeo Lachuma

    Rais Samia, unaona upunguze bei ya Pombe uongeze kwenye Mafuta na Miamala ya Simu kweli?

    Rais ambaye umekulia mazingira ambayo unayafaham vizuri. Unabana kwenye Mafuta ambako ni usafiri uti wa mgongo wa maendeleo. Unaongeza kodi huko. Kuumiza wakulima, wafanyabiashara na wafugaji. Unaachia kwenye kilevi ili wote tuwe tunalewa tusitumie tena akili. Si ndiyo? Unaongeza kodi kwenye...
  8. Mzalendo_Mwandamizi

    Uwapi "wembe wa Mdude uliotumika kumnyoa Mwendazake" ambao Samia Alitishiwa nao majuzi?

    Kwamba kilichojiri Mwanza hakipendezi, ni suala la wazi kwa mtu yeyote anayetaka kuona Tanzania yenye amani na mshikamano. Hata hivyo, matukio kama haya yanaibua tafakuri ambazo baadhi ya wenzetu wanaweza wasizipende. Majuzi tulimsikia Mdude akimtahadharisha Mama Samia kuwa "wembe uliotumika...
  9. Countrywide

    Rais Samia shikilia hapohapo, usirudi nyuma. CHADEMA hawahitaji kubembelezwa

    Mama Samia kwanza nikupe hongera kwa kuwa hadi sasa umeonyesha ukomavu mkubwa sana kwenye uongozi wako. Kwa lugha nyepesi tunasema "sasa umeiva", mwanzo ulivyoanza kiukweli ulianza kutupa wasiwasi Kama ungeweza kweli kwa kuwa ulionekana kama unahitaji sana kubembeleza yale magenge. Mama katika...
  10. Rufiji dam

    Rais Samia kuwa makini, una upinzani ndani ya CCM yako

    Kwanza nikupongeza sana kwa kuupiga mwingi mpaka unaotea. Kwa wale waliokaa Tabora wanajua hadithi ya mcheza maarufu wa mpira wa miguu kutokea mkoani humu YUNGE MWANA NSALI huyu inasemakana alikuwa anauwezo wa kupiga faulo akikonga mwamba inaenda kufunga upande wao. Mama unapigiwa kila aina ya...
  11. K

    Barua ya wazi kwa Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu Tanzania

    Mhe. Rais, nakusalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwanza nianze kukupongeza kwa nafasi uliyonayo ambayo ni nafasi kubwa kiutawala wa mwanadamu katika Taifa letu. Pili, nikupongeze kwa jitiada zako na kiu yako yakutaka kuiona Tanzania inasonga mbele. Baada ya salamu naomba...
  12. A

    Mdau: Mlitaka Rais afanye nini kuhusu tozo ya miamala ya simu?

    Katika awamu hii ya sita hakuna jambo ambalo linapaswa kupongezwa kama utulivu, hekima na maarifa aliyoyaonyesha Rais Samia Suluhu Hassan kwa kipindi hiki ambacho alipitia magumu kama Rais wa Nchi kwa kupambana na mtikisiko wa kiuchumi kutokana na janga la korona ambalo ni kwa Dunia nzima kila...
  13. K

    Rais Samia kutana na viongozi wa upinzani mapema zaidi

    Wanaomshauri Rais Samia wamshauri akutane na viongozi wa upinzani sasa na akisubiri zaidi ndiyo itakuwa ngumu zaidi. Kwa sasa ni rahisi kukutana nao na kuwaambia umma ni kujadili corona, katiba, kujuana, amani ya nchi na miradi ya nchi. Usisubiri ukafanya mkutano wakati upinzani wana nguvu...
  14. J

    Ng'wasi Kamani: Vijana endeleeni kumuunga mkono Rais Samia

    Mbunge wa Viti Maalum Kundi la Vijana UVCCM Mhe. Ng'wasi Kamani amewaasa Vijana kuendelea Kumuunga Mkono Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan ambaye anaendelea kuleta Maendeleo makubwa sana kwa Vijana na Jamii kwa ujumla. Ameyasema hayo kwenye Baraza Kuu la UVCCM Mkoa wa Shinyanga.
  15. JERUSALEM 2006

    Rais Samia asante sana, shikilia hapo hapo

    Kwa mara ya kwanza jana (tar.17/07/21) nilipata joto halisi la ongezeko la kodi katika miamala ya simu za mkononi. Niliumia sana kwani nilishindwa kutoa kiwango fulani cha pesa kwa ukosefu wa hela ya kutolea. Lakini katika tafakuri yangu, nilijikuta namsifu sana Mhe. Rais Samia kwa ujasiri wake...
  16. reg edit

    Tozo za Miamala: Ushauri kwa Rais Samia Suluhu

    Mh. Rais, Inaonekana hili suala la tozo za serikali kwenye miamala ya simu halijapokelewa vizuri na watanzania walio wengi, hivyo basi mimi nikushauri ujitokeze mbele ya watanzania kwa unyenyekevu kabisa uwaombe watanzania wakubali hizo tozo na uwahakikishie kuwa hizo pesa zitatumika...
  17. M

    Burundi: Kwanini Viongozi wetu wakuu wameelekeza nguvu zao huko?

    Leo Rais Samia Suluhu Hassan anaanza ziara ya siku mbili nchini Burundi. Huyu ni kiongozi wa tatu wa juu kutembelea nchi hiyo ndani ya awamu hii ya sita. Alianza Makamu wa Rais Dr. Philip Isidor Mpango akafuata Waziri Mkuu Kassim Majaliwa. Nchi hii inaumuhimu gani kwetu kwa viogozi wetu wakuu...
  18. Maneno Meier

    Rais Samia, nani kakushauri kununua Treni zenye muundo mbovu namna hii?

    Kusema kweli leo nimesikitika sana kuona aina ya muundo wa treni ambayo serikali yetu imeweka mkataba na kampuni ya Hyundai-Rotem ni treni zenye mwonekano wa ki-Hitler! Mimi nilifikiri tunaondokana na treni zenye muundo wa kutisha za enzi za George and Robert Stephenson na kuingia kwenye era ya...
  19. R

    Siku 100 za Rais Samia Suluhu, Tundu Lissu Amsifia sana, ataka maboresho zaidi ya kimfumo

    Akiwa katik maahijiono ya maswala mbali mbali ya kisaisa, kijamii na uchumi nguli huyo wa sheria na siasa za afrika mashariki amejikita ktk maswala ya 1. Haki 2. Ukweli na usuluhishi 3. Mabadiliko ya katiba 4. Harakati za kisiasa 5. Mageuzi katika uchumi wa Tanzania 6. Maendeleo endelevu. Tundu...
  20. Shujaa Mwendazake

    Rais Samia hivi CCM hawajakuelewa au hukueleweka suala la mikutano ya kisiasa?

    Ni wiki sasa tukianzia kule Zanzibar tumeona kamati ya Uongozi ya CCM ikifanya mikutano ya kisiasa , lakini pia nimeona trend ya Chadema wakiendelea na oparesheni haki kwenye mikoa mbalimbali hapa nchini japo nadhani wao wanafanyia ndani (sina uhakika). Lakini Mh Rais alikuwa ametoa kauli kuwa...
Back
Top Bottom